OK, ila wakifanya hivi wengine, wanaonekana wehu

OK, ila wakifanya hivi wengine, wanaonekana wehu

Naton Jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
7,867
Reaction score
19,250
Wakenya huko tweeter wamekuwa wakimshukia Rais wetu kama kipanga kwa hasira na ghadhabu kubwa sana kisa tu Rais kahamasisha pamoja na tahadhari kubwa kuchukuliwa za kitaalam lakini pia tusisahau kuomba pia

Namuelewa sana Magufuli anapohamasisha kuomba sababu kwa he's a devoted to his belief, mama yake alikua mgonjwa sana lakini kila alipotembelewa na mgeni hata wa kitaifa (Rais Uhuru Kenyatta akiwemo) amekua akionekana kusisitiza wamfanyie maombi mama yake akiwa kitandani, vipi kama Magu kaona nguvu ya maombi kupitia mama yake sababu huenda kapona kabisa

Nashindwa Kuelewa ni kwamba we are living in the most atheistic world au vipi lakini Marekani pamoja na maendeleo yote ya kiteknolojia na uchumi bado kwenye dollar bill kuna maneno "In God We Trust" na vile vile kwenye janga hili la Corona wanaonekana jeshi ambayo ni secular entity ikifanya ritual practices

Je ni kwamba kunya anye kuku, bata ameharisha au ni inferiority za kiafrika?

Mpaka saivi sijaelewa kwanini wakenya wapo upset sana mitandaoni na kauli ya JPM kuhusu kufanya maombi maalum juu ya janga la Corona

 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Someni comments
Wabongo siwawezi 😂😂😂😂
 
Maneno mengi point zero!
Mimi nimemuelewa. Point ya kwanza ni kwamba mtakatifu asikashifiwe. Point ya pili ni hii hapa;
gado_05032020.jpg
 
Nadhani inachangiwa na ukosefu wa shughuli za kufanya, njaa pamoja na stress,
Hata ukisoma comments zao humu jf utagundua hilo.
Mmenoa, ni uchambuzi makinifu wa taarifa ya mleta mada ambayo ni "ramblings" za mfia chama. Kwa kimombo wanaita "reading between the lines". Mtakatifu alikashifiwa na akakemewa, so what? Hiyo ni kawaida kwa viongozi wote na viumbe wote chini ya jua. Deal with it and move on buggers!
But why wakenya wengu ni kama Vichaa hivi, hii inatokana na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenyans Wana shida..mbona wao lockdown haijawasaidia?..victims wengi kuliko TZ?

Halafu mbona hata China haikuweka lockdown nchi nzima?

Kulikuwa hakuna lockdown Beijing wala Shanghai..

Ujerumani hawana lockdown wamekufa elfu 4 Tu Hadi sasa wakati UK yenye lockdown zaidi ya elfu 15..

Lockdown sio only option
 
Back
Top Bottom