ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
dah! hapa sidhani kama dish lina kamata satelliteKonde Boy aliuzwa kiasi gani kwenda Al Ahly, timu namba moja Afrika ndiyo umlinganishe na Okrah? Sakho alichukua kiatu cha goli bora la CAF la msimu mzima. Nani hapo Deportivo de Utopolo amefikia mafanikio hayo toka kikundi chenu kianzishwe?
Allende wa mamelodySijasema wachezaji wote wafupi hawafai. Kwa timu za level ya Simba, ukiwa mfupi inabidi uwe na kipaji cha hali ya juu sana na mchango wako uwanjani uwe juu sana kiasi kwamba ufupi wako unakuwa siyo ishu. Bila kwenda EPL, niambie mchezaji wa kimo cha Okrah anayechezea Al Ahly, Mamelodi au Wydad
Halafu unajitajia tu wachezaji ni kama umepanick inaonyesha hii mada imekuumiza. Lomalisa, Cannavaro, Puyol, Pedro, wote hao siyo wafupi kwa standard za kimpiraSimba ilipigwa 4 na Kaizer, Al Ahly, AS vita n.k wote hawa walimchapa Simba tano tano, rudi katazame zile mechi, mengi ya magoli hayo yalifungwa kwa vichwa, katazame squad za Simba nyakati hizo kisha nambie hao warefu walikuwa na mchango gani kuzuia zile goli.
Yao Kwasi, Lomalisa ni mabeki wafupi, unaweza ukantajia full backs bora Tanzania kwenye ligi yetu kuwashinda hao?
Italy waliwahi kuwa na beki kisiki, team captain anaitwa Cannavaro, alikuwa ni mfupi mithili ya Shedrack Nsajigwa au ila hakuwa kusumbuliwa na washambuliaji warefu, kubwa zaidi akawa anafunga magoli ya vichwa.
Kwahiyo ujinga unakuwa wa simba au wachezaji?Naskia sio tabia Tu jamaa ana matatizo ya kiafya hasa hasa kwenye mazingira ya baridi Sana na kwenye high attitude anashindwa kupumua vizuri na hata akipanda ndege Tu kidogo ni shida tupu..
Simba sio wajinga kumuacha mchezaji mzuri bila kuwa na tatizo
Ana rekodi nzuri kuliko onana. Fresh kabisa.Msimu huko kwao kishafunga goli 9 na assist 2,okrah si mbaya kihivyo
Mbona
Mbona wapo wengi TU waangalie wale raia wa america wanaocheza mamelodi ni vimo vifupi na nitegemeo hatari kwenye timu
Katika hao wa Mamelodi kutoka America ya kusini, Allende pekee ndiye unaweza kusema ni mfupiAllende wa mamelody
Ehee ndio mfupi kwani Kuna okra wanne wafupi wanaosajiliwaKatika hao wa Mamelodi kutoka America ya kusini, Allende pekee ndiye unaweza kusema ni mfupi
Umesema wapo Waamerica wengi wafupi pale Mamelodi, wengine ni wapi hao?Ehee ndio mfupi kwani Kuna okra wanne wafupi wanaosajiliwa
Wapo wengi ACHA uvivu Lucas ribeiro wewe unamuonaje na si yeye pia angalia mamelodi wapo wengi sanaUmesema wapo Waamerica wengi wafupi pale Mamelodi, wengine ni wapi hao?
Ribeiro ana urefu wa futi 5.9, huyo si mchezaji mfupi. Anamzidi urefu Peter ShalulileWapo wengi ACHA uvivu Lucas ribeiro wewe unamuonaje na si yeye pia angalia mamelodi wapo wengi sana
Sirino na seabiRibeiro ana urefu wa futi 6.2 inayomfanya kumzidi urefu Saido Kanoute
Mnajitajia tu watu ambao hawaendani na tunachoongelea. Kumbe mnaotea hamjui mnachoongeaSirino na seabi
Huko watakuwa walevi wa kutupwa maana hawabanwi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila utopolo....View attachment 2855801
Konkoni ni mrefu, lakini garasa la kutupwaKwa sababu ya ufupi wanakuwa siyo tegemeo sana kucheza mipira ya juu, siongelei kupiga. Saidoo anakimbilia kupiga kona na free kicks kwa sababu anajijua hana msaada sana kuicheza kwa kichwa
Siyo hoja hiyo. Kumbe Hersi anasajili magarasa, wakikusikia wenzio....Konkoni ni mrefu, lakini garasa la kutupwa