Okra Agustine amfuata mwenzake Mkude Yanga

Okra Agustine amfuata mwenzake Mkude Yanga

Konde Boy aliuzwa kiasi gani kwenda Al Ahly, timu namba moja Afrika ndiyo umlinganishe na Okrah? Sakho alichukua kiatu cha goli bora la CAF la msimu mzima. Nani hapo Deportivo de Utopolo amefikia mafanikio hayo toka kikundi chenu kianzishwe?
dah! hapa sidhani kama dish lina kamata satellite
 
Sijasema wachezaji wote wafupi hawafai. Kwa timu za level ya Simba, ukiwa mfupi inabidi uwe na kipaji cha hali ya juu sana na mchango wako uwanjani uwe juu sana kiasi kwamba ufupi wako unakuwa siyo ishu. Bila kwenda EPL, niambie mchezaji wa kimo cha Okrah anayechezea Al Ahly, Mamelodi au Wydad
Allende wa mamelody
 
Simba ilipigwa 4 na Kaizer, Al Ahly, AS vita n.k wote hawa walimchapa Simba tano tano, rudi katazame zile mechi, mengi ya magoli hayo yalifungwa kwa vichwa, katazame squad za Simba nyakati hizo kisha nambie hao warefu walikuwa na mchango gani kuzuia zile goli.

Yao Kwasi, Lomalisa ni mabeki wafupi, unaweza ukantajia full backs bora Tanzania kwenye ligi yetu kuwashinda hao?

Italy waliwahi kuwa na beki kisiki, team captain anaitwa Cannavaro, alikuwa ni mfupi mithili ya Shedrack Nsajigwa au ila hakuwa kusumbuliwa na washambuliaji warefu, kubwa zaidi akawa anafunga magoli ya vichwa.
Halafu unajitajia tu wachezaji ni kama umepanick inaonyesha hii mada imekuumiza. Lomalisa, Cannavaro, Puyol, Pedro, wote hao siyo wafupi kwa standard za kimpira
 
Naskia sio tabia Tu jamaa ana matatizo ya kiafya hasa hasa kwenye mazingira ya baridi Sana na kwenye high attitude anashindwa kupumua vizuri na hata akipanda ndege Tu kidogo ni shida tupu..

Simba sio wajinga kumuacha mchezaji mzuri bila kuwa na tatizo
Kwahiyo ujinga unakuwa wa simba au wachezaji?
 
Hili Jambo La Ufupi inabidi Lifanyiwe Kazi Seriously pale Yanga...!

Mambo Ya Kusema Ooo mbona Messi alikuwa Mfupi sio Sawa..! Ni nani pale Yanga Ana Kipaji Kama cha Messi..?

Ogopaaa...Jidanganyeee...!

Robo ya CL sio Lelemama...!
 
Mda si mrefu Simba na Yanga watakuwa hawachekani kwenye wachezaji wazee
 
Kwa sababu ya ufupi wanakuwa siyo tegemeo sana kucheza mipira ya juu, siongelei kupiga. Saidoo anakimbilia kupiga kona na free kicks kwa sababu anajijua hana msaada sana kuicheza kwa kichwa
Konkoni ni mrefu, lakini garasa la kutupwa
 
Back
Top Bottom