Okra Agustine amfuata mwenzake Mkude Yanga

Timu inatakiwa kuwa na mchanganyiko wa vimo wafupi pia wana nafasi zao

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
UWONGO
 
Uwongo
 
Mwanetu karudishwa tena batani, tegemeeni kumuona tena kidimbwi na mishangazi ya dar aliimisi kinoma yani [emoji16]
Sanaaaa ukizingatia wanawe wote bado wapo
 
Robo ya cl ni jambo la kawaida mno ndio maana hata simba ambaye ni mbovu huwa anaingia kwa mtazamo wangu kuingia robo ligi ya mabingwa na kuchukua ubingwa wa NBC kigumu ni NBC
Ahahahaha asante sana.
 
Robo ya cl ni jambo la kawaida mno ndio maana hata simba ambaye ni mbovu huwa anaingia kwa mtazamo wangu kuingia robo ligi ya mabingwa na kuchukua ubingwa wa NBC kigumu ni NBC
Kanywe AZUMA haraka nakuja kulipa
 
Kwa sababu ya ufupi wanakuwa siyo tegemeo sana kucheza mipira ya juu, siongelei kupiga. Saidoo anakimbilia kupiga kona na free kicks kwa sababu anajijua hana msaada sana kuicheza kwa kichwa
Uko sahihi,messi ni mrefu sana
 
Mnajitajia tu watu ambao hawaendani na tunachoongelea. Kumbe mnaotea hamjui mnachoongea
Wewe jamaa ni mbishi niliamua kuacha kuquote text zako Kwa sababu watu wote ninaokutajia hao awajafika futi 6 ni WA futi 5 mamelodi wanawachezaji zaidi ya kumi Wana futi 5 no wafupi hata huyo Lucas unayeaema wewe ana futi 6 sio kweli
 

Attachments

  • Screenshot_20231229-082921.jpg
    36.9 KB · Views: 2
Wewe jamaa ni mbishi niliamua kuacha kuquote text zako Kwa sababu watu wote ninaokutajia hao awajafika futi 6 ni WA futi 5 mamelodi wanawachezaji zaidi ya kumi Wana futi 5 no wafupi hata huyo Lucas unayeaema wewe ana futi 6 sio kweli
Sasa wewe kwa akili zako unadhani 5 ft 7 in na 5 ft 11 in ni vimo vinavyolingana?
 
Kama ni jambo jepesi NBC mbona simba anamisimu zaidi ya miwili hajachukua?
Sasa kama jambo jepesi kufika ROBO CL mbona yanga msimu wa 50 hajafika robo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nyie mbona vichwa vigumu,makundi tu imewachukua 25yrs alafu unaibeza robo khaaaa
 
Mods rudisheni kichwa cha habari cha uzi wangu kinachosema OKRA AUGUSTINE AMFUATA MLEVI MWENZAKE MKUDE YANGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…