Mmefika hadi huku?Simba siku 1,345 bila ushindi kwa Yanga Simba siku 1,345 bila ushindi kwa Yanga
Wewe taarifa zako tunazo kuwa Bwana Mkubwa wa Chadema anakupasua kitobo 😅.Mlete mama yako atakuoa feedback
take time uka angalie tena hio mechi labda ulikua na wengeNimeona kwani shot on taget ndo nini mkuu unaweza ukawa unapiga shot on target dhaifu tuu.
aaah kuna mwanangu hamuaminii Matola hata kidogoShida sio mgunda ni matola. Mimi nilivyomuona mkude nikajua Simba wameamua kuitupa hii mechi.
Nimempa anachostahili. Anitusi nimemtusi, hakuna kupepesa machoUmeandika nini hapa sasa!
Come again please topolo. I can understand only two words ... Rage and club.Baada ya kuandika Kiingereza ambacho haieleweki mleta mada katelekeza uzi. Hawa ndio Rage alikuwa anawasema wamejaa kwenye club.
Ras Simba aje huku kuna mteja wake.
Ndio umlete alokuzaa sasa atakwambia kama nina kitobo au jinsi alivyosuguliwa kipochi. Imagine kipochi kilichokuzaa kinasuguliwaWewe taarifa zako tunazo kuwa Bwana Mkubwa wa Chadema anakupasua kitobo 😅.
Jamaa wanahesabu mpaka siku. Ama kweli malengo yanafanyiwa analysisMmefika hadi huku?
Na bado hampendi tukiwaambia ukweli kuwa mechi ya Derby ndio kitovu cha malengo yenu kama Club
Haya kesho itakuwa ya 1,346
Unafikiri huyu ni mtotot wa chekechea au secondary school?
Pole sana.
Umemcheka mwenzako kuhusu kiingereza chake. Ni grammar gani inaruhusu neno analyses kufuatana na neno events katika hali ya wingi (plural forms). Kubali tu kuwa watu hujifunza kila siku.This's how a pundit analyses events in a match.
Keep it up!
Ukweli ni kwamba hii mechi ilikua ya simba ni vile tuu sijui nini kimetokea..moyo unaumaa
Huo mshale wako ume point asilimia za possesion ambazo mlizidiwaIn turn they got 2 shots on target.[emoji1][emoji1]
Ukiwa na akili timamu utajua kwamba Yanga ndio walitakiwa kushinda hiyo ni kwa mujibu wa mtazamo wa kikocha.View attachment 2395822
Tunajua na nasikia saizi ushahamia kwa Bawacha mmoja anakupasua??. Au nikutajia na location unayopsuliwaga hilo tobo?Ndio umlete alokuzaa sasa atakwambia kama nina kitobo au jinsi alivyosuguliwa kipochi. Imagine kipochi kilichokuzaa kinasuguliwa
Mnanang'ang'ana na shot on target si mngefunga sasa hazikua na maana kwenu na hazikua na madhara kwa mpinzani. Andika vzr sio lede ni rede. Halafu nani kakwambia sijui hebu soma vzr nilichoandika.Hebu kashangilie lede huko, kama hujui hata maana Jambo dogo km hili unatafuta nini kwenye mpira wa 🦵?
Mwafrika ni mtu anayemshangaa mwenzake akishindwa kuongea kwenye lugha ambayo si ya kwakeAcha ujinga kwani lugha yake ya asili hii? Mbona mzungu akiongea kiswahili kibovu unakenua meno ati ona amejitahidi! Tuache kukatishana tamaa.