Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,758
- 6,299
Acha ujinga kwani Okrah anajua KiswahiliAcha kutetea ujinga,.. angeandika kiswahili tu. Poor you!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga kwani Okrah anajua KiswahiliAcha kutetea ujinga,.. angeandika kiswahili tu. Poor you!
Tufanye mmeshida leo maana mpka mnavua blauziShot on target mlizozifanya ni butua butua tu, hamkuwa na mikakati na ni mwendelezo ule ule mlioufanya kwa Zalan na Al Hilal
Ona sasa! yale yale ya kuzungumzia miaka 50 iliyopitaSiyo mwendelezo mlioufanya MAKOLO kwa Galaxy kwa au Keizer Chiefs [emoji848][emoji16]
Azizi Ki sio kama hapendi kuvua shatiTufanye mmeshida leo maana mpka mnavua blauzi
Narudia mara ya mwisho, jikumbushe tena "tense(s) na grammar".Aisee mbona mgumu hivyo? Nimesema analyses haliwezi kufuatana na events. Sirudii tena kukuelimisha, baki na unachokiamini. Ila acha kuwashambulia wenzako ati wanakosea kuandika kiingereza fasaha. Waelimishe kwa upendo huku ukiwahimiza kukitumia zaidi. Kwaheri.
Lakini nimetukanwa,hujaliona hilo? Au kutukanwa kwako ni burudani?Acha kupanic ww,huu mpra burudan unaleta had mambo ya mama,unazngua.
Acha kutetea ujinga,.. angeandika kiswahili tu. Poor you!
Kwahiyo alitaka kocha akae jukwaa la VIP? hivi akili zenu ziko sawa sawa kweli?aaah kuna mwanangu hamuaminii Matola hata kidogo
Yani mechi kabla haijaanza alipomuona tu yuko bench akasema hapa hamna kitu
Nawewe acha kuwa Mjinga pronoun You inatumika kuendana na matamushi hivyo You haiwezi kutumia were... In many cases you unakwenda na was.rekebisha kiingereza chako you haiendi na was inaenda were
Haya mambo nimwkuja kuyazoea baada ya kuwa mkubwa, tukumbuke hawa jamaa wako sokoni, wanataka kutengeneza nafasi na kufunga wenyewe wapost youtube...
Whatever the case, Yanga hawaamini kama wametoka salama kwa Mkapa licha ya zile kelele zao.
Ujumbe hueleweka vema zaidi kwa lugha sahihi.Wewe ni mpumbavu nambari moja,badala ya kudili na ujumbe aliotoa wewe unaangalia kaandikaje
Unamjua? mlisha wahi vuliana nguo?Azizi Ki sio kama hapendi kuvua shati
Ila afya na muonekano wa tumbo unaweza kuzua mjadala mwingine
Japo angeweza kuvua shati kama mbinu ya kumtoa mpinzani mchezoni kutokana na kile kinachoonekana
Ndio mvue nguo dakika ya 15?Haya mambo nimwkuja kuyazoea baada ya kuwa mkubwa, tukumbuke hawa jamaa wako sokoni, wanataka kutengeneza nafasi na kufunga wenyewe wapost youtube...
Whatever the case, Yanga hawaamini kama wametoka salama kwa Mkapa licha ya zile kelele zao.
Brother umekomaa sana,unataka kupatia umaarufu kwangu?Ujumbe hueleweka vema zaidi kwa lugha sahihi.
Pang'au wewe.
Jezi zenu ni transparent kwa kiasi fulani mwili unaonekanaUnamjua? mlisha wahi vuliana nguo?
So ulikua busy kuchungulia vifua vya wanaume wenzako?Jezi zenu ni transparent kwa kiasi fulani mwili unaonekana
Ila jana alivaa mbili mbili
Kile ni kifua au mbele ya mgongo?So ulikua busy kuchungulia vifua vya wanaume wenzako?
Ikabidi ugune
Aisee...Hujajibu chochote ndugu. Ni kwamba umekosea. Neno analyses halikupaswa kuwa hivyo. Ulipaswa kuandika analyse kwa kuwa linalofuatia (events) liko ktk plural form. Hili nalo utalipinga. Kubali kujifunza ndugu. Nimeamua kukukosoa kwa kuwa umemshambulia vibaya mwenzako.