Okrah Magic you let us down today

Okrah Magic you let us down today

Unategemea nini mtoa mada ana diploma kutoka makumira college[emoji23][emoji23] ungeandika tu kiswahili u ngeeleweka ona sasa umeandika broken
 
Baada ya kuandika Kiingereza ambacho haieleweki mleta mada katelekeza uzi. Hawa ndio Rage alikuwa anawasema wamejaa kwenye club.
Ras Simba aje huku kuna mteja wake.
 
Unategemea nini mtoa mada ana diploma kutoka makumira college[emoji23][emoji23] ungeandika tu kiswahili u ngeeleweka ona sasa umeandika broken
Kile chuo kawapa mkatoliki mkapa mmekigeuza kuwa kituo cha unajimu na mafunzo ya kuwasiliana na majini. Hopeless idiots.
 
This was our game, we supposed to win.

We can actually blame you for Simba' failure. I say failure cause it was a must-win game. I think the one problem you had was that purely selfish. I can firmly say so.

You played a stunning game and you deserved to be a man of the match. However, you could do better than that.

There's many, many times where you could pick out a good pass, deliver a good cross, and you went for a shot yourself. That's the one area I would say you let Simba down, you were a bit too selfish and other players might looking for you too eagerly.

I recommend to you and the technical team, you are required to stop selfishness.
Mnapenda sana kulalamikia wachezaji! Ungecheza wewe ungefunga?

Kwa hiyo na Yanga nao wawalaumu wachezaji wao kwa kupoteza nafasi walizopata!
 
Mzungu alikuwa sahihi kugombana naye pia mgunda ametuangusha kumweka kanoute nje
Kanuti ni mgonjwa nimemsikia mgunda akitolea ufafanuzi swala hilo baada ya mechi

Lakini pengine angeweza kutu cost kwenye mechi ya leo kwa kupewa kadi nyekundu kutokana na mfululizo wa kupewa kadi karibia kila mechi ambazo sometimes zingine huwa ni mechi za kawaida
 
Back
Top Bottom