Okrah Magic you let us down today

Siyo mwendelezo mlioufanya MAKOLO kwa Galaxy kwa au Keizer Chiefs [emoji848][emoji16]
Ona sasa! yale yale ya kuzungumzia miaka 50 iliyopita

Wakati mifano yangu niliyowapa ni currently kwenye mechi zenu za tatu za mwisho
 
Narudia mara ya mwisho, jikumbushe tena "tense(s) na grammar".
 
Haya mambo nimwkuja kuyazoea baada ya kuwa mkubwa, tukumbuke hawa jamaa wako sokoni, wanataka kutengeneza nafasi na kufunga wenyewe wapost youtube...

Whatever the case, Yanga hawaamini kama wametoka salama kwa Mkapa licha ya zile kelele zao.
 
Haya mambo nimwkuja kuyazoea baada ya kuwa mkubwa, tukumbuke hawa jamaa wako sokoni, wanataka kutengeneza nafasi na kufunga wenyewe wapost youtube...

Whatever the case, Yanga hawaamini kama wametoka salama kwa Mkapa licha ya zile kelele zao.

Limbukeni mwingine huyu hapa. Anataka sifa binafsi. Ningekuwa na uwezo ningemrudisha Luis
 
Azizi Ki sio kama hapendi kuvua shati

Ila afya na muonekano wa tumbo unaweza kuzua mjadala mwingine

Japo angeweza kuvua shati kama mbinu ya kumtoa mpinzani mchezoni kutokana na kile kinachoonekana
Unamjua? mlisha wahi vuliana nguo?
 
Haya mambo nimwkuja kuyazoea baada ya kuwa mkubwa, tukumbuke hawa jamaa wako sokoni, wanataka kutengeneza nafasi na kufunga wenyewe wapost youtube...

Whatever the case, Yanga hawaamini kama wametoka salama kwa Mkapa licha ya zile kelele zao.
Ndio mvue nguo dakika ya 15?
 
Aisee...
Jamani tuachaneni na hizi lugha sasa! Duh hii khatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…