permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Hii comment nimeiangalia, baadae kuangalia aliyeitoa. Ingekuwa imetolewa na mwanamke ingekuwa sawa.Azizi Ki sio kama hapendi kuvua shati
Ila afya na muonekano wa tumbo unaweza kuzua mjadala mwingine
Japo angeweza kuvua shati kama mbinu ya kumtoa mpinzani mchezoni kutokana na kile kinachoonekana
Jinga jingine hili hapa.Poor Queen's lingo, can you drop up?
Ficha upumbavu..Okra anakifahamu kiswahilli?Acha kutetea ujinga,.. angeandika kiswahili tu. Poor you!
Kama mi nilivyoangalia ID yakoHii comment nimeiangalia, baadae kuangalia aliyeitoa. Ingekuwa imetolewa na mwanamke ingekuwa sawa.
Mzungu alikuwa sahihi kugombana naye pia mgunda ametuangusha kumweka kanoute nje
You dropped us down [emoji777]
You let us down [emoji736]
Shida sio mgunda ni matola. Mimi nilivyomuona mkude nikajua Simba wameamua kuitupa hii mechi.
Yupo akpan na kapama
Si afadhali ya OKW BOBAN SUNZU , vipi kuhusu yule rais na waziri wake wa elimu, profesa Jike shupa?Poor Queen's lingo, can you drop up?
Nadhani kuna-mpango wa hovyo Kati ya Hawa kutoka Ghana ......Simba tusipo ufuta ughana na u-,Zambia hatutatoboa Hawa waghana wako very selfish ....hovyokabisa na ufupi waoKweli kabisa,alitaka amu-outshine Phiri na Matokeo yake akaharibu zaidi!
Aache umimi yuko vizuri ajifunze roho ya Chama.Ndiyo maana Dejan alimlalamikia. Ni mbinafsi sana. Kapoteza mipira mingi sana bila sababu.
Sasa kwanini hua mnavua blauzi?Kuifunga yanga siyo lengo kubwa la simba! lengo kubwaq la simba ni kufika mbali kwenye mashindano ya kimataifa na kubeba taji la ligi kuu musimu huu!! Lengo kuu la uto ni kuifunga simba! Kimataifa wanatia huruma.
Fei toto hakuvua blauzi kule Zanzibar, ukiwalinganisha na Okrah si bora hata huyu aliyevua kwenye mechi ya ligi kuu. Yule dogo kule zenji alivua na bado mkatolewa kwenye lile kombe la kuku.Sasa kwanini hua mnavua blauzi?
I agree with your opinions. He was too selfish indeed. What he needs to understand is that, whoever scores the goal, is just for the victory of the team. So the technical bench should sit down and talk to him wisely.Okrah has a big opportunity to let us lead the game, unfortunately he decided to be selfish.