Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Maendeleo tulianza sisi kabla hata ya ujio wa wakoloni.
Magufuli alikuwepo? Maana ulivyoongea ni kama maendeleo yameanza na yeye, na akiondoka hayatakuwepo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendeleo tulianza sisi kabla hata ya ujio wa wakoloni.
Nimeelewa tatizo... unatumia upande uliyopo kutafsiri nilichokiandika.Magufuli alikuwepo? Maana ulivyoongea ni kama maendeleo yameanza na yeye, na akiondoka hayatakuwepo.
Nimeelewa tatizo... unatumia upande uliyopo kutafsiri nilichokiandika.
Jambo ambalo hatuwezi elewana mkuu. Asante.
Kazi Iendelee!Kuna hatua tulifika tukamhitaji mtu wa aina ya Magufuli. Na bado tunamhitaji saana ndani ya miaka mitano ijayo.
Sisi watanzania tunakwenda na Magufuli.Unamuhitaji wewe sio watanzania tunaojali utu na maendeleo ya watu
Mkuu labda ni mwanaccm pekee anayeweza kutokuwa huru na still akaendeleaUnajua kuna namna nyingi ya kuhitaji
Ili uweze kuwa huru unaweza kumhitaji lissu
Ili uweze kusogea mbele kimaendeleo utamwitaji magufuli
Hawa watu wawili sio wanafiki na hawajui kuficha maneno kama ilivyo kwa wanasisa wengine
Wagombea prominent mwaka huu ni watatu Magufuli, Lissu na Membe, lkn wanaopewa nafasi kubwa zaidi ya kushinda ni wawili Magufuli na Lissu.
Wagombea hawa wawili tayari wameshajipambanua wazi nini vipaumbele vyao 'first priorities'.
Wakati anachukua fomu ya NEC mgombea wa CCM Rais Magufuli alisema tumuongeze miaka 5 ili amalizie miradi yake aliyoianzisha, madaraja, barabara, ndege, meli, reli, mabwawa nk. miradi ambayo anadhani bila yeye hakuna wa kuiendeleza, akaongeza kusema wakiwapa upinzani watayavunja madaraja aliyoyajenga.
Mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu mara nyingi amekuwa akisema akichaguliwa kitu cha kwanza ni kujenga MIFUMO, mifumo bora ya utawala wa sheria unaozingatia haki za binadamu na utawala bora, mfumo bora wa kodi, mfumo bora wa jeshi la polisi, mfumo bora wa mahakama nk., yaani ni mifumo inayogusa maisha ya mtanzania moja kwa moja.
Kiufupi (summary), nionavyo mimi, uchaguzi wa mwaka huu tunachagua kati ya Utu na Vitu.
Nini kipaumbele chako, maendeleo ya watu au maendeleo ya vitu.
[/QUOTE
Ongeza sauti