Okwa: Baada ya Zoran kuondoka mambo yalibadilika

Okwa: Baada ya Zoran kuondoka mambo yalibadilika

Uto wenye akili ni wawili tu.

Yaani kasema "ikawa kama..."

Kwa ufupi ni kuwa maelezo yamejaa mashaka na yasiyo na chembe ya hakika. Hana uthibitisho wowote kama kinafanyika ama. Uthibitisho ungekuwa umenyooka. Kwamba 'Try again ndiye anapanga kikosi'.

Alafu aina gani ya mchezaji anasema? Ambaye alishindwa kudhihirisha uwezo wake. Sawa wanapangiwa na Viongozi.

Tulimpeleka kwa mkopo kwingine, mbona alishindwa ku-outshine? Au viongozi wa Simba wanaenda mpaka huko Ihefu?

Tumia huo Ubongo vizuri kuliko kuufanya mzigo juu ya mabega.
Ina maana Kila mtu akiwa na uwezo mkubwa....watacheza wote 22....

Kafunguka Kwasababu alikuwa hapew muda wa kuprove kiwango chake.....Kila siku walicheza wateule[emoji23][emoji23]
Mfano...prof Nabi hakuwa na special first eleven.....Kila mtu alicheza
 
Kama ni kweli hiyo siyo nzuri kabisa, lakini mchezaji wa kubaniwa atakuwa okwa? Like seriously, okwa amuweke benchi chama?[emoji3][emoji3]
Hakupewa muda wakutosha
 
Hapana mkuu, hata angepewa miaka mitatu bado ingekuwa tatizo tu. bora angekuwa anacheza namba hata pamoja na sakho au kibu au saidi ila kwa chama big NO asingeweza.
Ndo anaenda ulaya sasa
 
Watu wanabidi wajue kuwa hakuna mtu anayeweza kuingilia majukumu ya kocha ikiwa kikosi chake kinapata matokeo mazuri.

Na sina maana kupata matokeo mabaya ndio tiketi ya kupata uhalali wa kumpangia Kocha.

Bali performance mbovu ya wachezaji.

Unajua kwanini Gongowazi walikuwa na confidence ya kusema no Feisali no problem?

Ni kwasababu walikuwa wanapata matokeo mazuri yaliyofanya wasione pengo la Feisali , ila isingewezekana kwa namna yeyote ile wapate matokeo mabovu under poor performance then wasipige kelele kuhusu Feisali.
Taaluma za watu lazima ziheshimiwe hawa viongozi ndo wawe makocha, madaktari, wahasibu n.k
Sasa kama waliingilia wameambulia nini
Si hawa wametoka mikono mitupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko IHEFU napo kulikuwa na viongozi wanapanga kikosi? Cha msingi sasa hivi adai tu hela yake anayo wadai Simba.
 
Back
Top Bottom