Okwa: Baada ya Zoran kuondoka mambo yalibadilika

Okwa: Baada ya Zoran kuondoka mambo yalibadilika

Uto wenye akili ni wawili tu.

Yaani kasema "ikawa kama..."

Kwa ufupi ni kuwa maelezo yamejaa mashaka na yasiyo na chembe ya hakika. Hana uthibitisho wowote kama kinafanyika ama. Uthibitisho ungekuwa umenyooka. Kwamba 'Try again ndiye anapanga kikosi'.

Alafu aina gani ya mchezaji anasema? Ambaye alishindwa kudhihirisha uwezo wake. Sawa wanapangiwa na Viongozi.

Tulimpeleka kwa mkopo kwingine, mbona alishindwa ku-outshine? Au viongozi wa Simba wanaenda mpaka huko Ihefu?

Tumia huo Ubongo vizuri kuliko kuufanya mzigo juu ya mabega.
Kuhusu Try again kupanga kikosi jaribu kumuuliza Kakolanya Kwa nini Ally Salim aligeuka kuwa kipa namba mbili ghafla wakati yeye yupo na kusababisha timu kutolewa kizembe na Wydad.
 
Kuhusu Try again kupanga kikosi jaribu kumuuliza Kakolanya Kwa nini Ally Salim aligeuka kuwa kipa namba mbili ghafla wakati yeye yupo na kusababisha timu kutolewa kizembe na Wydad.
Daaah inawezekana kabisa
 
Back
Top Bottom