Uto wenye akili ni wawili tu.
Yaani kasema "ikawa kama..."
Kwa ufupi ni kuwa maelezo yamejaa mashaka na yasiyo na chembe ya hakika. Hana uthibitisho wowote kama kinafanyika ama. Uthibitisho ungekuwa umenyooka. Kwamba 'Try again ndiye anapanga kikosi'.
Alafu aina gani ya mchezaji anasema? Ambaye alishindwa kudhihirisha uwezo wake. Sawa wanapangiwa na Viongozi.
Tulimpeleka kwa mkopo kwingine, mbona alishindwa ku-outshine? Au viongozi wa Simba wanaenda mpaka huko Ihefu?
Tumia huo Ubongo vizuri kuliko kuufanya mzigo juu ya mabega.