Olaf Scholz: Ujerumani itatuma silaha zaidi kwa Israel hivi karibuni

Olaf Scholz: Ujerumani itatuma silaha zaidi kwa Israel hivi karibuni

Hiki ndo tunachokijua alafu anatokea mjinga mmoja kutoka nyamisati eti Israel inalindwa na mungu wakati ujerumani,uingereza ,marekani wote wanapeleka silaha na wanajeshi pia. Narudia tena Israel bila marekani na chawa wake hawana tofauti na mbwa mwitu genge la ukabaji la kule msasani
Hasira za nini Israel ananunua silaha ulitaka asinunue apigane vita na nini na mdomo au maana kobazi ndio mmezoea vita ya kuchambana lakini kidume netanyahu anaua tu magaidi Kwa vitendo mbona kama mmedata kama vipi muambieni Allah awasaidie wavaa kobazi maana wanaangamia tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni wakati wa Ujerumani ku-focus kwenye uchumi wake unaodorora kila siku

Olaf ndio chancellor wa hovyo kutokea Ujerumani ndani ya miongo kadhaa iliyopita

Mpaka sasa kampuni zaidi ya elfu 10 zimetangaza kufirisika.

Mwaka huu inakadiriwa uchumi wa Ujerumani utashuka kwa 0.2%

Manufacturing PMI index imeshuka kwa alimia 40%

Kwa miaka mingi uchumi wa Ujerumani umeshikiliwa na chemicals, automobiles na machinery

Upande wa chemicals imeshajifia autos na machinery napo inakabili ushindani mkali sana

Ukiwa U.S vassal state lazima uyumbe sana. Japan nayo inakabili hali inayofanana na ya Ujerumani kwenye uchumi wake

China's machinery export value iliizidi Ujerumani tangu mwaka 2020

Upande wa automobiles industry Chinese EVs imekuwa tishio kwa German auto industry sio kwa soko la China tu hata soko la dunia

Kwa kifupi Ujerumani inatakiwa isiwe occupied na Marekani kwenye sera zake kwenye masuala ya foreign policy.

Hizi vita na silaha hazina tija yoyote kwenye uchumi wa Ujerumani ni kupelekeshwa tu na Marekani

They will learn the hard way

 
Ujerumani inauza na kununua silaha Israel. Wakati Israel inanunua kama Dolphin II class submarines (silaha yenye bei ghali zaidi jeshi la Israel) bado Ujerumani inanunua silaha Israel mfano kama sign yao ya kununua Arrow 3 anti missile systems kwa $3.5 billion.

Ni kuuza na kununua, Israel ina components nyingi na technologies inazouza kwa superpowers.
why buying if you can just make it yourself ? Aren't they soooo technologicaly advanced society? On planet earth? (Allegedely).
 
Serikali za Marekani,Uingereza,Ufaransa na sasa Ujerumuni kushirikiana na Israel mwaka sasa wameshindwa kufanikiwa kuwashinda mgambo wasio na ndege ,vifaru,deraya na silaha za kisasa.
Hii ndio NATO inayotaka kupambana na Urusi,China na Korea 😩

Urusi yupi huyu ambaye nae kakopa silaha Kwa kiduku na china

Hv mnafikir vita kama kukusanya mawe na kurushiana.. inahitajika pesa.. Vita ni gharama hata kama utashinda..

We ona huo mzunguko.. Urusi ananunua/kopa silaha au anapewa msaada kutoka china na korea.. wakat huo huo anauza silaha zake kwa iran na syria na turkey, india na kwingineko.. iran nae anauza silaha zake kwingine same goes to israel anauza na kununua

silaha nchi nyingine
Zama hizi nchi zimegundua biashara ya silaha so nao wanaanza kutengeneza au kununua teknolojia kwa wengine na kufotoa version zao na kuuza kwa wengine, hasa ndege za kivita na missile

Watu kama pakistan, india, turkey na iran wote wananunua teknolojia kwa wengine wanatengeneza silaha zao lengo mama ni kuuza.. maana ukitengeza kwa ajili ya ww kutumia ni hasara tu maana gharama ni kubwa huwez kuwekeza sana kutengeza silaha kisha uziwekw nda. Had uje upate vita

Dunia ya sasa kila tasisi inatakiwa ichangie pato la taifa.. Africa tu ndo tumegeuzwa consumers ndo maana tunaona ajabu ukisikia US kanunua silaha india au Ufaransa tunaona kama wameishiwa..
Hv ujiulizi kwa nini Urusi silaha zake za gharama kubwa anauza hazitumii ukraine.. halafu yeye. Anapewa aidha msada/mkopo na china na korea hapo anafaidika mara mbili atalipa kwa awamu na oia na yeye kuna vitu atawauzia.. bjia ya kutengeneza mteja wa kudumu na yeye mfanye supplier wako upande Mwingine
 
Hasira za nini Israel ananunua silaha ulitaka asinunue apigane vita na nini na mdomo au maana kobazi ndio mmezoea vita ya kuchambana lakini kidume netanyahu anaua tu magaidi Kwa vitendo mbona kama mmedata kama vipi muambieni Allah awasaidie wavaa kobazi maana wanaangamia tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona umekurupuka kama una kipisi cha ub@@ matrakoni kijana,, kaa kwatulia ikuingie vizuri,,, Israel toka lini akanunua, waliomuweka pale mashariki ya kati kimchongo ndio hao wanaompa kila kitu ,, zakuambiwa changanya na zako kijana
 
Atume hata na askari wa Germany wote pia Israel hawezi shinda vita vya Gaza au Lebanon
 
why buying if you can just make it yourself ? Aren't they soooo technologicaly advanced society? On planet earth? (Allegedely).

Hizo biashar za silaha za nipe nikupe.. Sometimes it's cheaper to buy something than to produce it yourself, especially when it comes to military equipment.

Mfano. kama mafuta tu unaweza ukachimba nchini kwako ila gharama ya ku refine ni kubwa kuliko ku import

India china wananunua sana crude oil Urusi
in-fact kwenye kuuza refined oil anaengoza ku export refined petroleum product ni US na mmoja ya wateja wake wakubwa ni Saudia ..

Cha ajabu Saudia ni ndie anaeongoza kwa kuuza crude oil nje.. ila ananunua sana refined oil kutoka india na Europe na india yeye na china ni biggest importers wa crude kutoka Urusi ila kamzid Urusi kwa kuuza refined oil nje

kwanza india .. ukanda wake unampa faida ya kupata soko .. matumiz yake ya ndan tu ni nakubwa.. wanashika nafasi ya 3 dunian kwa kuwa na matumiz makubwa ya mafuta...

So utaona swala la kununua nje haimanishi kuwa hawawez kuproduce au wameishiwa.. Ni makakat wa uchumi na biashara
 
Uingereza siyo super power si kiuchumi wala kivita,china super power kiuchumi hatujui kivita,urusi na USA super power kivita na kiuchumi
Uingereza kuhusu vita ni nchi iliyopigana vita vingi na ikashinda kuliko hata hiyo Urusi,
 
why buying if you can just make it yourself ?
Even if a Israel has an absolute advantage in many weapons compared with other countries, it will benefit from importing the weapons in which it has the higher opportunity cost that is the weapon that uses more resources in production compared with other arms that are produced domestically.

By importing the higher opportunity cost weapons, Israel can allocate more resources to design & manufacture and export the weapon systems that are characterized by lower opportunity cost and gain from this. This is all about the concept of trade, not even a military concept.
Aren't they soooo technologicaly advanced society? On planet earth? (Allegedely).
Who alleges?
 
Even if a Israel has an absolute advantage in many weapons compared with other countries, it will benefit from importing the weapons in which it has the higher opportunity cost that is the weapon that uses more resources in production compared with other arms that are produced domestically.

By importing the higher opportunity cost weapons, Israel can allocate more resources to design & manufacture and export the weapon systems that are characterized by lower opportunity cost and gain from this. This is all about the concept of trade, not even a military concept.

Who alleges?
Ooooh "oppotunity cost " the term that represents "trade offs" lets see

Israel: 🤗 As a country we can't produce weapon 'A' due to its high costs of resources envolved, although we get 3.8B$ each year as a millitary aid from the U.S not to mention other millitary aid . lets just buy a complete thing which will cost us even more than the resources envolved not to mention transportation fees.🤣🤣 WHAT A JOKE.

And speaking of oppotunity costs do you know it is always cheaper to make a food at home than just buying it in food joints/stores?, chicken chips costs more in kfc than what you could've prepared at home .

Also someone already tried this and prooved that doing something yourself regardless of resorces scarcity costs a bit less than buying a whole thing if you have knowledge +skills +required tools ( because the israeli are just technologicaly advanced i"ll assume they have more sophisticated machinery in their disposal right). A youtuber by the name "phone repair guru" bought individual parts of iphone in ali express assembled them and guess what he have his own iphone 15 which costs even less than the price of a whole thing.

Speaking of iphone do you know that apple spends less money in manufacturing iphone in "china" than what they sell as a final product? In real figures apple spends 500$ usd in manufacturing one unit of iphone 15 then sells that one unit 1000+ $ in the market twice or even thrice the manufacturing money .

DO YOUR HOMEWORK MY BRODA .
 
Hizo biashar za silaha za nipe nikupe.. Sometimes it's cheaper to buy something than to produce it yourself, especially when it comes to military equipment.

Mfano. kama mafuta tu unaweza ukachimba nchini kwako ila gharama ya ku refine ni kubwa kuliko ku import

India china wananunua sana crude oil Urusi
in-fact kwenye kuuza refined oil anaengoza ku export refined petroleum product ni US na mmoja ya wateja wake wakubwa ni Saudia ..

Cha ajabu Saudia ni ndie anaeongoza kwa kuuza crude oil nje.. ila ananunua sana refined oil kutoka india na Europe na india yeye na china ni biggest importers wa crude kutoka Urusi ila kamzid Urusi kwa kuuza refined oil nje

kwanza india .. ukanda wake unampa faida ya kupata soko .. matumiz yake ya ndan tu ni nakubwa.. wanashika nafasi ya 3 dunian kwa kuwa na matumiz makubwa ya mafuta...

So utaona swala la kununua nje haimanishi kuwa hawawez kuproduce au wameishiwa.. Ni makakat wa uchumi na biashara
We are speaking of people who developed the iron done technology tell me only one piece of millitary deffence technology that is more sophisticated than that ? And yet they import some even lesser weapons which they can just manufacture them in a heartbeat ?

Enlight me mr paragon of knowledge
 
Kama nchi inatengeneza siraha pia inategemea kuuza hizo siraha hiyo ni biashara,pia ni gharama kubwa katika kutengeneza vile wapi sehemu ya majaribio kwa maana nchi inaweza kukopeshwa siraha ili baadae alipe na pia huwapa mafunzo.Kwa mfano Iran anauza siraha katika makundi mbalimbali ya mashariki ya kati na anapeleka wakufunzi huko na wengine wanaendelea kupewa mafunzo huko Iran,Israel anajua hilo na ndiyo maana ana majina ya makanda wote wa vikundi vyote vya hizbollah,Hamas.
 
Back
Top Bottom