Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Wapinzani ndio walituma , ateke , aibe , abake , aue , atese ,ajeruhi , asingizie watu kesi za uonezi za uhujumu uchumi utakatishaji fedha ?
Screenshot_20210601-121259.png
 
Ngoja uchunguzi ukamilike tuone.

Natamani sana wafike kufanya uchunguzi dhidi ya mkurugenzi wa Jiji la Tanga.
Nae amenyanyasa watu sana,amefukuza ambao hawakutaka kupalilia rushwa,ameshirikiana na baadhi ya wakuu wa idara kulinda rushwa na ubadhirifu.
Mkurugenzi huyo ameweza kuwanyamazisha RC na DC. TAKUKURU hawakohoi kwake.
Nae ana kikundi chake cha kutishia watu maisha,kuchafua watu wakivaa uhusika wa ukada
Mkurugenzi huyo bwana Mayeji nikama vile kwa mbali anaendana na Sabaya.
Mh. Rais mteule wako siku huyu nae vyombo vyako vimfuatilie
 
Hapo vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili suala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Kama mama yupo sereous na viongozi wanaoteleza kwenye uongozi, asianze na Sabaya ila aanze na Makondo...kama sivyo hii itakuwa chuki binafsi.
Ni mwendawazimu tu atakayemtetea Sabaya
 
Hapo vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili suala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Kama mama yupo sereous na viongozi wanaoteleza kwenye uongozi, asianze na Sabaya ila aanze na Makondo...kama sivyo hii itakuwa chuki binafsi.
Tangu lini dc sabaya akawa mkusanya kodi ya serikali? Hii tabia yake kila kazi kuitangaza kwa media ni mbinu ya kujitakasa kwa kashfa zake nyingi. Lkn tuache sheria ifate mkondo wake na siyo vinginevyo.
 
Sabaya anapitishwa kwenye mkondo wa kisheria, Sabaya hatotendewa kama alivyowatendea wenzake.
Kama kweli alibaka, aliteka, alitesa, alipora, alidhulumu hiyo ni jinai, na jinai ina hukumu zake.
Vinginevyo kama hakufanya jinai ataibuka mshindi.
Kwahiyo huna sababu ya kulalamika, tulia sheria ichukue mkondo wake.
 
Jamaa alijisahau sana !! wacha aonje joto ya jiwe!! kwa mfano utampigiliaje msumari wa inchi nne mwanadamu nwenzako kwenye ugoko!!
 
Sabaya anapitishwa kwenye mkondo wa kisheria, Sabaya hatotendewa kama alivyowatendea wenzake.
Kama kweli alibaka, aliteka, alitesa, alipora, alidhulumu hiyo ni jinai, na jinai ina hukumu zake.
Vinginevyo kama hakufanya jinai ataibuka mshindi.
Kwahiyo huna sababu ya kulalamika, tulia sheria ichukue mkondo wake.
alitaka kula mzigo wa nandi bila makubaliano naye.... hahaha ha - kilichosaidia Mwenye hotel akagoma kumruhusu jamaa atinge kwa room!!
 
Hapo vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili suala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Kama mama yupo sereous na viongozi wanaoteleza kwenye uongozi, asianze na Sabaya ila aanze na Makondo...kama sivyo hii itakuwa chuki binafsi.
Sijaona ukiongelea pesa alizo kutwa nazo ndani
 
Hapo vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili suala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Kama mama yupo sereous na viongozi wanaoteleza kwenye uongozi, asianze na Sabaya ila aanze na Makondo...kama sivyo hii itakuwa chuki binafsi.

Mkuu sio kufurahisha umesikia ushahidi wa mabaunsa wake kuhusu ubakaji wa sabaya? mabaunsa wamekiri kabisa kwamba walikuwa wanaagizwa wakawateke mabinti na kuwapeleka kwa sabaya,na ilo bwana swai alishawai kusema sabaya alienda kwenye hotel yake akataka kwenda kumbaka Nandy kilazima.

Huyo Ole Subai anavuna alichopanda...bado bashite tu naye kulipa alichofanya.
 
Back
Top Bottom