Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Mkuu kwani vipi? Ndani ya siku moja umeleta uzi huu huu mmoja mara mbili ila kwa title tofauti. Utafanya watu wafikiri kuwa una ajenda yako binafsi.

Kaa utulie na usubiri uchunguzi ukamilike na ndio utakaokuja na majibu kuwa ana hatia ama la.
Sawasawa...tuwaachie wenye dhamana na uchunguzi wafanye kazi yao
 
vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili swala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Naomba Melo kama wewe ni mkurugenzi wa hili jukwaa uwe makini sana kwasabsbu kuna madmin wanaukabila na usiasa na wakishaona thread isiyoendana na matakwa yao wanaunganisha ili mradi wavuruge maana husika ya thread kwa maslahi yao..NB Melo kunawatu waanza kuleta ukabila wa kishamba mpaka jf...au kama umesha muuzia m#shi niache kuandika thread kuanzia leo.

Ninapata wasi wasi kwanini umeliona hili sasa hivi wakati hizo clip unazosema zipo siku zote.
Ninakuomba uache uchunguzi ukamilike ndio uje na mada hii maana kwasasa bado hana hatia yoyote ndio maana yupo maabusu toka 25 may.
 
vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili swala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Naomba Melo kama wewe ni mkurugenzi wa hili jukwaa uwe makini sana kwasabsbu kuna madmin wanaukabila na usiasa na wakishaona thread isiyoendana na matakwa yao wanaunganisha ili mradi wavuruge maana husika ya thread kwa maslahi yao..NB Melo kunawatu waanza kuleta ukabila wa kishamba mpaka jf...au kama umesha muuzia m#shi niache kuandika thread kuanzia leo.
Kuna watu wana roho ya kishetani na wafitini kupitiliza.
Mimi naamini kwa sehemu kubwa shutuma za Sabaya zimepikwa.
Sababu wapika ni nawajua vizuri historia yao.

Tusisahau walishachoma ofisi moto na kusingizia ni upande wa utawala, wana tuhuma za kumwagia watu tindikali, walisha danganya kutekwa wafuasi wao na mengine mengi. Watu waliothubutu kufanya hayo watashindwa vipi kudanganya na kupika mazingira ya kumu implicate Sabaya ambaye ni mwiba mchungu wa kupata ubunge kiongozi wao?

Naamini kuna siku watz walio wengi watajua roho ya kiuaji aliyonayo kiongozi moja wa upinzani.
 
vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili swala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Naomba Melo kama wewe ni mkurugenzi wa hili jukwaa uwe makini sana kwasabsbu kuna madmin wanaukabila na usiasa na wakishaona thread isiyoendana na matakwa yao wanaunganisha ili mradi wavuruge maana husika ya thread kwa maslahi yao..NB Melo kunawatu waanza kuleta ukabila wa kishamba mpaka jf...au kama umesha muuzia m#shi niache kuandika thread kuanzia leo.


Huoni kuwa ni ajabu na kweli kuwa nchi nzima DC anayelelemikiwa awe Sabaya peke yake? Ebu tafakari.
 
Mei 13, 2021 Rais Samia Suluhu alimsimamisha Lengai Ole Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya na kuamuru uchunguzi dhidi yake. Zaidi soma Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya

Baada ya kusimamishwa kazi, iliripotiwa kuwa Ole Sabaya anapanga kutoroka nchini. Zaidi soma Ole Sabaya apanga kutoroka nchini
View attachment 1800070
Picha: Raia Mwema​


Sabaya mbaroni

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya, amekamatwa jijini Dar es Salaam, Raia Mwema limeelezwa.

Taarifa kutoka mkoani Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam zinasema, Sabaya amekamatwa wilayani Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, Jumanne iliyopita.

Kwa sasa, bado anahojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa (TAKUKURU), akituhumiwa kwa mambo mbalimbali, ikiwamo matumizi mabaya ya madaraka wakati akiwa mtumishi wa umma.

Kukamatwa kwa Sabaya, kumekuja takribani wiki mbili tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Samia Suluhu Hassani, kumsimamisha kazi Sabaya na kuelekeza kufanyika uchunguzi dhidi yake.

Sabaya anakabiliwa na tuhuma mbalimbali, ikiwamo uporaji wa fedha kutoka kwa baadhi ya wafanyabiashara wakubwa na wawekezaji; ukiukaji wa haki za binadamu, ukatili dhidi ya binadamu na matumizi mabaya ya madaraka.

Aidha, Sabaya anadaiwa kuwaandika barua baadhi ya wafanyabiashara, akitaka wachangie mamilioni ya shilingi, kinyume na sheria na misingi ya utawala bora.

Mtoa taarifa wa gazeti hili amesema, Sabaya alikamatwa na kikosi kazi (Task Force), kinachohusisha taasisi mbalimbali za ulinzi na usalama, kufuatilia kuwapo kwa tuhuma mbalimbali katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.

Tayari kikosi kazi hicho, kimefanya mahojiano na watu mbalimbali, katika mikoa hiyo na kwamba jana kilikuwa mkoani Kilimanjaro, ambako kilifanya mahojiano na watu kadhaa, wakiwamo wahanga wa uongozi wake.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, kabla ya kwenda Kilimanjaro, kikosi kazi hicho, kilifanya kazi kama hiyo, mkoani Arusha, ambako kilipata nafasi ya kuzungumza na viongozi na watendaji, kwa lengo la kukusanya ushahidi wa kutosha dhidi ya Sabaya.

Anasema, wakati Sabaya anakamatwa alikuwa ameongozana na “vijana wake kadhaa,” baadhi yao wakiwa wanahusishwa na matukio mbalimbali ya uhalifu mkoani Arusha na Kilimanjaro.

“Huyu bwana alikuwa na watu kadhaa, wakati anakamatwa. Alikuwa na magari matatu, ambayo yalikuwa katika msafara wake, uliokuwa na vijana wake, wakiwamo mabaunsa wanaomlinda,” kimeeleza chanzo cha taarifa.

Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Salum Hamduni, amethibitisha Raia Mwema jana Alhamisi, kwamba taasisi yake, inamshikilia Sabaya kwa ajili ya mahojiano yanayotokana na tuhuma mbalimbali zinazomkabili.

Amesema, "ni kweli kuwa Takukuru inamshikilia Sabaya, kwa mahojiano ya tuhuma mbalimbali za matumizi ya madaraka na rushwa, wakati akiwa mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.”

Hata hivyo, Hamduni hakutaka kueleza kuzungumzia kwa undani swala hilo, badala yake alisema, “mara baada kukamilisha upelelezi wetu, tutatoa taarifa rasmi kwa umma.”

Mbali na tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu, Sabaya anakabiliwa na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, ikiwamo kukusanya mamilioni ya shilingi kutoka kwa baadhi ya wafanyabiashara kwa matumizi yake binafsi.

Katika kutekeleza mradi huo, Sabaya amekuwa akitumia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa fedha hizo zinakwenda kutumika kwa ajili ya shughuli za chama hicho tawala. Wengine waliochukuwa fedha zao, walielezwa kuwa zinatumika kwa ajili ya shughuli za serikali na maendeleo ya wilaya ya Hai.

Lakini taarifa ndani ya gazeti hili zinasema, hakuna hata shilingi iliyokusanywa ilitumika kwa ajili ya maendeleo ya Hai au CCM. Mamilioni yote ya fedha yaliyokusanywa yaliishia kwenye shughuli zake binafsi.

Katika kipindi cha takribani miaka mitatu ya uongozi wake, maisha ya Sabaya yalikuwa yakitawaliwa na anasa na ubabe usioelezeka. Baadhi ya wanaomfahamu wanasema, alikuwa akiishi maisha ya anasa kuliko baadhi ya viongozi wakuu wa serikali.

Sabaya alikuwa akitembea na kundi kubwa la mabaunsa, wanawake warembo na magari ya kifahari. Msafara wake ulikuwa wa magari matatu, moja anapanda yeye, nyingine mabaunsa wake, huku lingine likibeba wanawake warembo.

Pamoja na hayo, alilalamikiwa na baadhi ya watu, kwa uporaji na uvamizi wa maduka na biashara mbalimbali.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, Sabaya alipokuwa akifika Arusha, alifikia kwenye hoteli za kitalii na kukodi vyumba viwili vya hadhi ya juu, kimoja akilala yeye, huku mabaunsa wakilala sebuleni kumlinda.

Kama huduma za hoteli hiyo na mandhari havikumfurahisha, alihamia hoteli nyingine, huku akigoma kulipa chochote kwenye hoteli alizokuwa akifikia yeye na watu wake.

“Alikuwa akiandika barua kwa mfanyabiashara au mwekezaji yeyote mwenye fedha, akimtaka achangie kati ya Sh. 15 milioni au Sh. 20 milioni. Akifanya hivi kwa wawekezaji 30, tayari anakusanya mamilioni kwa ajili ya matumizi yake,” kilisema chanzo chetu cha habari.

Moja ya barua za aina hiyo ni pamoja na ya 18 Januari 2019, aliyomwandikia mmoja wa wawekezaji katika wilaya ya Hai.

Katika barua hiyo, Sabaya alimtaka mfanyabiashara huyo kuchangia Sh. 15 milioni kwa ajili ya hafla ya kutimiza miezi sita ya utumishi wake tangu alipoteuliwa kushika wadhifa wa mkuu wa wilaya na Rais John Magufuli.

Barua hiyo ambayo Raia Mwema imeiona nakala yake, imeeleza kuwa sherehe hiyo inafanyika tarehe 30 Januari 2019, siku ambayo anaitumia kusoma utekelezaji wa Ilani ya CCM.

Ili kufanikisha shughuli hiyo, kupitia barua hiyo iliyoandikwa kwa Kiingereza, Sabaya anamtaka Mkurugenzi wa kampuni hiyo kuchangia Sh. 15 milioni kwa ajili ya bajeti ya shughuli hiyo.

Taarifa zinaeleza kuwa Sabaya alikuwa akifanya hivyo mara nyingi na mbinu hiyo pia, ilimfanya aishi maisha ya anasa pengine kuliko wafanyabiashara mabilionea nchini.

Mwekezaji Cuthbert Swai, Mkurugenzi wa hoteli ya kitalii ya Weruweru River Lodge, aliwahi kulalamika hadharani, kwamba Sabaya aliwahi kumtisha akitaka apewe mamilioni ya fedha.

Anadaiwa pia kutumia madaraka yake vibaya, kudai na kupokea rushwa ya Sh 10 milioni kutoka kwa mfanyabiashara huyo, ikiwa ni mwendelezo wa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na wawekezaji wengine wilayani Hai.

Swai alidai kuwa amekuwa akifanyiwa vitendo kadhaa na Sabaya, ikiwamo kuombwa rushwa ya kati ya Sh milioni mbili na milioni tano.

Pamoja na kutoa mamilioni hayo ya fedha, Swai aliamriwa ndani ya saa 48 kuhamisha akaunti za hoteli ya Weruweru River Lodge kutoka Moshi mjini kwenda Hai.

Swai ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Utalii ya Ahsante Tours, alieleza mbele ya Naibu Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Msafiri Mbibo, kwamba Sabaya amekuwa akitumia madaraka yake, kunyanyasa wafanyabiashara.

Tangu Sabaya asimamishwe kazi na Rais Samia Suluhu Hassan, amekuwa akiishi kwa kujificha huku vyombo vya dola vikiendelea na uchunguzi dhidi yake.

Alisimamishwa ukuu wa wilaya kwa tuhuma mbalimbali, ikiwamo matumizi mabaya ya madaraka, rushwa na ukiukwaji wa haki za binadamu.

Taarifa zinasema Sabaya yuko Dar es Salaam, akiishi kwa kuhama hoteli moja baada ya nyingine.

Wiki iliyopita, Raia Mwema iliripoti kuwa Sabaya amejichimbia kwenye hoteli moja ya kisasa iliyoko Mbezi Beach, Dar es Salaam.

Juzi, Raia Mwema ilibaini ‘chimbo’ jipya la Sabaya kwenye hoteli isiyo maarufu sana, jirani na Mlimani City.

Aliingia hotelini hapo siku moja baada ya gazeti hili kufichua taarifa za kuwapo kwake kwenye eneo la Mbezi Beach, ambako alikuwa amejichimbia tangu alipotumbuliwa.

Taarifa kutoka hoteli hiyo, zilidai kuwa Sabaya alikuwa katika hoteli hiyo, akiwa amekodi vyumbo vitatu, kimoja kwa ajili yake na vingine viwili kwa matumizi ya mabaunsa wanaomlinda.

“Sabaya yuko hapa hotelini kwetu tangu mwishoni mwa wiki iliyopita, yuko chumba cha juu namba 323, walinzi wake wako chini…,” alisema mmoja wa wafanyakazi wa hoteli hiyo ambayo jina tunalihifadhi.

Msafara wake, ulikuwa unatumia magari matatu, moja aina ya Harrier na Toyota Land Cruiser V8 zote nyeusi na nyingine ni Toyota Crown, yenye rangi nyeupe.

mwisho
Basi Na Paulo Makonda naye akamatwe ili haki itendeke
 
vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili swala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Naomba Melo kama wewe ni mkurugenzi wa hili jukwaa uwe makini sana kwasabsbu kuna madmin wanaukabila na usiasa na wakishaona thread isiyoendana na matakwa yao wanaunganisha ili mradi wavuruge maana husika ya thread kwa maslahi yao..NB Melo kunawatu waanza kuleta ukabila wa kishamba mpaka jf...au kama umesha muuzia m#shi niache kuandika thread kuanzia leo.
Danganya mengine tu, wakati ukimtetea mumeo, lakini suala la Ulaya, acha kulinganisha kifo na usingizi! Ingekua Ulaya, Sabaya asinge dumu uraiani kwa muda wote ule!
 
vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili swala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Naomba Melo kama wewe ni mkurugenzi wa hili jukwaa uwe makini sana kwasabsbu kuna madmin wanaukabila na usiasa na wakishaona thread isiyoendana na matakwa yao wanaunganisha ili mradi wavuruge maana husika ya thread kwa maslahi yao..NB Melo kunawatu waanza kuleta ukabila wa kishamba mpaka jf...au kama umesha muuzia m#shi niache kuandika thread kuanzia leo.
Hivi ni kazi ya DC kuwasaka wakwepa kodi? Nchi hii ina wajinga wengi sana

Sent from my vivo 1611 using JamiiForums mobile app
 
Thread ya kipumbavu iliyojaa uchonganishi na ukabila.
Unadiriki kusema eti Melo kamuuzia Mushi JF!
 
Kuna watu wana roho ya kishetani na wafitini kupitiliza.
Mimi naamini kwa sehemu kubwa shutuma za Sabaya zimepikwa.
Sababu wapika ni nawajua vizuri historia yao.

Tusisahau walishachoma ofisi moto na kusingizia ni upande wa utawala, wana tuhuma za kumwagia watu tindikali, walisha danganya kutekwa wafuasi wao na mengine mengi. Watu waliothubutu kufanya hayo watashindwa vipi kudanganya na kupika mazingira ya kumu implicate Sabaya ambaye ni mwiba mchungu wa kupata ubunge kiongozi wao?

Naamini kuna siku watz walio wengi watajua roho ya kiuaji aliyonayo kiongozi moja wa upinzani.
Jamaa yenu upuuzi wake umefikia mwisho,sheria ifuate mkondo.
 
vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili swala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Naomba Melo kama wewe ni mkurugenzi wa hili jukwaa uwe makini sana kwasabsbu kuna madmin wanaukabila na usiasa na wakishaona thread isiyoendana na matakwa yao wanaunganisha ili mradi wavuruge maana husika ya thread kwa maslahi yao..NB Melo kunawatu waanza kuleta ukabila wa kishamba mpaka jf...au kama umesha muuzia m#shi niache kuandika thread kuanzia leo.
Itakuwa vyema ukijitokeza na kuungana na upande wa utetezi mahakamani iwapo atashitakiwa maana huko haya unayosema yatapimwa kwa uzito unaostahili. Hapa ni kama unapoteza muda.
 
vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili swala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Naomba Melo kama wewe ni mkurugenzi wa hili jukwaa uwe makini sana kwasabsbu kuna madmin wanaukabila na usiasa na wakishaona thread isiyoendana na matakwa yao wanaunganisha ili mradi wavuruge maana husika ya thread kwa maslahi yao..NB Melo kunawatu waanza kuleta ukabila wa kishamba mpaka jf...au kama umesha muuzia m#shi niache kuandika thread kuanzia leo.
Hofu yako nini? au nawe una interests zako. Hili la Sabaya, hata mtoto mdogo mwenye akili inayoweza kujitegemea analiona kuwa huyu alikuwa kiongozi wa aina yake kuwahi kutokea-uadilifu =0, uongozi=0, haki za binadamu=0, uungwana =0.
 
vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili swala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Naomba Melo kama wewe ni mkurugenzi wa hili jukwaa uwe makini sana kwasabsbu kuna madmin wanaukabila na usiasa na wakishaona thread isiyoendana na matakwa yao wanaunganisha ili mradi wavuruge maana husika ya thread kwa maslahi yao..NB Melo kunawatu waanza kuleta ukabila wa kishamba mpaka jf...au kama umesha muuzia m#shi niache kuandika thread kuanzia leo.
Panua vizuri, dawa ikuingie
 
Anawasaka wakwepa Kodi kwani yeye ni TRA au yeye ni polisi? Pia unayajua majukumu ya mkuu wa wilaya?........

Kuna clip mabaunsa wake wanawapiga watu nayeye akiwepo karibu tena ni usiku je hizo kodo mnadai usiku wa maneno? Na hizo kodi mnaenda dai na namba za UN?
 
vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili swala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Naomba Melo kama wewe ni mkurugenzi wa hili jukwaa uwe makini sana kwasabsbu kuna madmin wanaukabila na usiasa na wakishaona thread isiyoendana na matakwa yao wanaunganisha ili mradi wavuruge maana husika ya thread kwa maslahi yao..NB Melo kunawatu waanza kuleta ukabila wa kishamba mpaka jf...au kama umesha muuzia m#shi niache kuandika thread kuanzia leo.
Mkuu,
TRA walisema yule mfanyabiashara aliyefungiwa na Mhe., Alikuwa anafanya biashara kihali kabisaa
 
Ulitaka majambazi waendelee kukaa ofisini kwa mwamvuli wa uongozi
 
vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili swala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.

Naomba Melo kama wewe ni mkurugenzi wa hili jukwaa uwe makini sana kwasabsbu kuna madmin wanaukabila na usiasa na wakishaona thread isiyoendana na matakwa yao wanaunganisha ili mradi wavuruge maana husika ya thread kwa maslahi yao..NB Melo kunawatu waanza kuleta ukabila wa kishamba mpaka jf...au kama umesha muuzia m#shi niache kuandika thread kuanzia leo.
Hai wanaishi wachaga! na ndiko alikuwa DC! Kwa hiyo tuhuma nyingi zielekezwe na kufikiriwa katika muktadha wa wanahai. Acha upelelezi uibue ukweli. Hakuna haja ya kumlinda au kumuonea! Mkuu wa mkoa mstaafu Bi Ana Mgwira ni shahidi tosha kama hatutaki wanahai waseme.
Uporaji, Ubakaji, Ulawiti, utesaji na mauaji ni tuhuma tu acha vifanyiwe kazi. Mama SSH ni mtu mwelewa na vyombo vyake vipo makini nina imani hakuna influence ya uchama au ukabila itakayoharibu ushahidi.
 
Mleta mada nakuunga mkono ktk baadhi ya hoja zako hasa hili la Mods kuonesha mahaba ktk itikadi za kisiasa au kikabila humu JF na namna linavyoshughulikiwa na JF Moderators

Kumekuwa na nyuzi nyingi zenye elements ya ukabila na hasa kumponda na kumdhihaki Magufuli na kuonesha chuki dhidi ya kabila lake la wasukuma.
Matusi, kebehi yamekuwa mengi dhidi ya kabila la wasukuma na waanzisha nyuzi na Wachangiaji ni wale wale ila Mods wale hawachukui hatua yoyote

Ila cha ajabu juzi nyuzi iliyoletwa ikionesha namna Mbowe akiongea maneno yaliyojaa chuki ya kikabila dhidi ya Magufuli na Jamii ya wasukuma na huku akilitetea wazi wazi kabila lake la wachaga, na kwakuwa nyuzi ile Wachangiaji wengi sana walioneshwa kukerwa na maneno ya Mbowe basi MODS WAKAIONDOA HARAKA SANA ile thread
Sababu kubwa tu ni kuwa Mbowe na kabila lake wamepata negative response humu JF

Sasa bw Melo na Mods naombeni mtoe majibu ya wazi kwamba hii JF ni kwaajili ya watu wenye itikadi fulani tu za kisiasa na mlengo fulani wa kikabila..!????
 
Back
Top Bottom