Uchaguzi 2020 Ole Sabaya anategemewa na CCM kumng'oa Mbowe jimbo la Hai

Q
Kibongoto na Sanya juu ziko jimbo la Siha.
 


👆 Kwa taarifa tu na erufi kubwa...

AJIFUNZE KWA YALIYOMKUTA MTIA NIA MAKONDA.... tupo nae street.

CHEO NI DHAMANA MTU HAZIKWI NACHO..
 
Hapo kwenye udhaifu wa Mbowe unaposema hakuna jambo kubwa ambalo amelifanya kwake ningependa uelezee ulitaka afanye jambo gani?

Nahisi umeshindwa kuelezea zaidi hiyo pointi kwasababu siamini kama mbunge anaweza peleka maendeleo jimboni yeye binafsi bila kuungwa mkono na serikali, tena serikali hii inayomchukia Mbowe bila sababu.

Sabaya hawezi kumtoa Mbowe Hai, labda amuondoe Mbowe kwa kumvurumishia mawe kama anavyofanya na hao wahuni wake.
 
Sabaya ameharibu mashamba ya Mbowe, JPM amemvunjia billcanas na kufanya pawe parking, sasa Mbowe hata kutoa gari la wagonjwa CCM Hai wapo radhi wamama wafe nyumbani kuliko gari lipokelewe, na ikawa hivyo , na bado walionyweshwa mataptap wanashangilia hawajui ndugu zao ndio wanakufa, hii nchi ilishalogwa
 
Asante kwa ushauri mkuu .. chadema hai tutahakikisha mbowe anarudi tena bungeni na majimbo yote nchi nzima
 
Sabaya atang'oka yeye.
 
Hiyo ni ndoto yako, hat sie tuliemueka hapo tunajua, Ile sio size ya Mbowe, bali tuliamua kumuweka chakaramu Mmoja asiye na haya hapo hai, ili amsumbue na kumvunjia heshima Mbowe, na anatimiza kazi aliyotumwa.
 
Tuna utawala wa kipumbavu sana, enzi za Nyerere watawala wa namna hii aliwaita WASHENZI NA WENDAWAZIMU. Kushindwa kuwajibika kwa serikali hii katika matukio ya kifedhuli yanayoendelea nchini, inamaana TANZANIA HATUNA SERIKALI. Bali kuna GENGE TU linalotawala kihuni na kihalifu, utawala wa namna hii SASA BASI.

MITANO YA MKONO WA CHUMA, INATOSHA...
 

Attachments

  • Makonda ajitangaza mla raha namba moja duniani..mp4
    857.8 KB

Nilipenda sana nichangie kuelimisha lakini naona hapa unajenga uwongo zaidi, nadhani unatengeneza propaganda tuu. Wana Hai wengi ambao ni walala hoi tuu wanataka mabadiliko, na wao mabadiliko ni kuingiza CCM Jimbo la Hai.

Walicho fanikiwa sana ni wao kusimama katika upande wa wananchi wa kawaida wa Hai na sio sisi wafanya biashara Wenye makampuni ya kupandisha watu milimani na wenye mashamba ya kibiashara.

Kwa kuwa zile kero zilizo kuwa zikiwasumbua sana, zote zimeondolewa. Sabaya anachukiwa sana na wenye uwezo lakini wanahai wengi wa kawaida wanamuona sabaya kama muokozi wao, anapendwa sana na watu wa kawaida.

Amehakikisha malalamiko ya Waislamu na mali zao, ugomvi wa Misikiti na shule, mashamba na mali zao imesimamia kikamilifu na ameimaliza . Ila siasa kuna uwongo mwingi tukubali hilo.

Japo wengi wenu mmefungwa macho, Mh Mbowe sio tajiri hivyo kama watu wa sehemu zingine mbali ya Wanahai wanavyo aminishwa. Watu wa Hai tunafahamu vizuri, ila siasa ni pamoja na uwongo.
 
Mbona hueleweki unataka kusema nini? Be specific
 
Yaani tambarare(boma ngombe)kuna watu wengi kuliko Nkuu, Makeresho, Lyamungo Sind, Ndoo, Kati, Narum na Kilanya ?
Acha zako
Asante...kwanza Mbowe hajatokea milimani, kwao ni Lambo jirani kabisa na Machine Tools(Njiapanda ya Machame)all in all hakuna Ccm itakuja kutawala Hai mpaka dunia inaisha..
 
Halafu kasema hajafanya kitu Hai huku anasema huwezi pata kura kwa hoja za umeme, maji,barabara na mahospitali maana zipo toka uhuru...Sasa hicho kitu ambacho hajafanya ni kipi??
 
Lkn anakiri kuwa, mkuu wa wilaya anajenga barabara na hospitali.
 

Samahani,Nyerere alikuwa mwanademokrasia?
 
Mleta mada Hai inakuwaje wilaya ngumu kuliko zote Tanzania??
Vigezo vipi umetumia??
Ina ukame, ni jangwa, milima haifikiki, hakuna barabara, hakuna umeme, hakuna shule wala zahanati, hakuna huduma za maji???
Fafanua ugumu wa hiyo wilaya!

Uwepo wa Mbowe kama mbunge hakuifanyi hiyo wilaya iwe ngumu kuliko zote.

Ila naona uneducated kuacha namba za simu, hope watakutafuta wahusika!

Everyday is Saturday..........................😎
 
Wachaga siyo wapumbavu wamsikilize masai mtu wa kupita wamuache Mbowe mtoto wa nyumbani ambaye amewasaidia mambo mengi. Uchagani kuna elimu pia wanathamini mtu wa nyumbani kuliko mpita njia.
 
Unachuki binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…