Ole Sabaya anatetewa na Wananchi wasiokuwa na mihemko wala Visasi vya Siasa Uchwara za Jimbo la Hai. Acheni haki itendeke

Chadema ni genge LA majambazi na wahalifu. Ole Sabaya alilijua hilo na ndio maana kama Mwenyekiti wa Kamati Ulinzi na Usalama wa Wilaya alipambana nao kisawasawa. Hasira za kushughulikiwa wamezihamishia mitandaoni na magazeti uchwara! Hawatashinda!
sasa kwa nn hao chadema ambao unadai ni majambazi na wahalifu hawajafungwa.?
kwa nn msipeleke kesi mahakamani kudhibitisha kesi?

badala yake sabaya ndio kaondolewa hapo?
 
Sabaya kwene hili hachomoki Yani kiongozi wa umma hata uwe na mazuri mangapi ila dosari ndogo za maadili ya kiutumishi zinakupiga chini,Yani like it or not sabaya hachomoki
 
Chadema ni genge LA majambazi na wahalifu. Ole Sabaya alilijua hilo na ndio maana kama Mwenyekiti wa Kamati Ulinzi na Usalama wa Wilaya alipambana nao kisawasawa. Hasira za kushughulikiwa wamezihamishia mitandaoni na magazeti uchwara! Hawatashinda!
Chadema ni chama cha siasa Kama ilivo vyama vingine Kama ccm,tlp,tadea na vingine vingi tuheshimu itikadi za watu Kuna watanzania wenzetu zaidi ya million ni wanachama wa hio taasisi...
 
MATAGA wamekuwa wananchii?
 
Sabaya kwene hili hachomoki Yani kiongozi wa umma hata uwe na mazuri mangapi ila dosari ndogo za maadili ya kiutumishi zinakupiga chini,Yani like it or not sabaya hachomoki
DOSARI NDOGO,? kuchoma watu misumari, kutaka kumbaka Nandy, kuunda genge la utekaji nyara wamachame. kupora fedha arusha, hilo ni doa dogo? kubwa ni lipi mkuu?
 
Unachofanya Anatory Massawe, siyo kitu kipya.
Dikteta Iddi Amin Dadda wa Uganda alitetewa pia na watu wa aina yako ambao wanaamini kuwa ubaya na ukatili aliofanyiwa jirani yako, wewe haukuhusu.
Kijamii, watu wa aina yako ni wale wenye hulka ya Kishetani.
 
nimeona nitumie neno dogo mkuu ili Hawa majambazi wanaomtetea wajitafakari kijana atakapo liwa kichwa rasmi
Mkuu aliyofanya SABAYA , haki ya nani na watetezi wake walitakiwa washasomea mashitaka kama 200 mpaka sasa.
 
Kwa hiyo wewe zanku ndiyo Anatory Masawe?! Ungeweka na namba yako ili jamaa akishitakiwa, uitwe kumtolea ushahidi!
 
Unashauri tupitie YouTube kwa ajili ya kuona 'mazuri' ya Sabaya.

Swali,
Mosi, nani kapost hayo 'mazuri'?
Pili, kwanini 'mazuri' pekee ndio yako YouTube?
Tatu, yeye ni nani haswa mpaka awe na mazuri pekee?


Nadhani, tuache mamlaka za uchunguzi zifanye kazi yake!
 
Mazaa ni mwenyekiti wa ccm taifa, ambacho ni chama tawala, Kwa hiyo kitakua lini chama cha upinzani, sheick Yahaya Hussein?!
 
Maswali kuntu kabisa, Lakini mimi naona hakuna kuziacha mamlaka zifanye kazi yake! Tungezishinikiza zifanye kazi yake, kwa maandamano na kila aina ya nguvu ya umma, kwa sababu walioumizwa na utawala mbovu na Sisi raia!
 
Kwa hiyo kama alimtetea binti yako ndio ina justify kuwa sio jambazi? Yaani watu wengine sijui akili zenu huwa mnaziweka wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…