Ole Sabaya anatetewa na Wananchi wasiokuwa na mihemko wala Visasi vya Siasa Uchwara za Jimbo la Hai. Acheni haki itendeke

Kwa hiyo Sabaya amethibiti uhalifu hai akaja kuufanya yeye Arusha mjini?
Alimpiga mtu risasi night club
Aliingia kwenye maduka ya wafanya biashara na kuwapora pesa zao
Ameingia kwenye mabaa mengi tu na kunywa pombe bila kulipa
Yako mengi tu sana

Nadhani wewe umetumwa kumsafisha
Ila ukweli upo wazi kabisa
Huyu Ndugu ni mhalifu kabisa
 
umenikumbusha utotoni kule usukumani tulikuwa tunafuwa nguo na udongo mweuqe tukiamini inatakata
 
Hii nchi ukitetea wanyonge unakua dikteta,ukiwaacha waendelee kuibiwa na kunyanyaswa unaitwa dhaifu.

kwa future ya watoto wa masikini ni afadhari kiongozi dikteta.
 
Chadema ni genge LA majambazi na wahalifu. Ole Sabaya alilijua hilo na ndio maana kama Mwenyekiti wa Kamati Ulinzi na Usalama wa Wilaya alipambana nao kisawasawa. Hasira za kushughulikiwa wamezihamishia mitandaoni na magazeti uchwara! Hawatashinda!
Hukutakiwa kuishi ktk karne hii, wewe mwisho wako ilikuwa iwe karne 15!
 
Inawezekana kweli kuna kndi la wananchi wanaomtetea, maana hata wakati anapora mashamba toka kwa matajiri alileta wabibi toka Arusha (akiwemo bibi mmoja maarufu kwa uuzaji wa ndizi. Challi ya Ara) wakidai kuwa ni wananchi wa hai na wamiliki wa hayo mashamba
 
Chadema ni genge LA majambazi na wahalifu. Ole Sabaya alilijua hilo na ndio maana kama Mwenyekiti wa Kamati Ulinzi na Usalama wa Wilaya alipambana nao kisawasawa. Hasira za kushughulikiwa wamezihamishia mitandaoni na magazeti uchwara! Hawatashinda!
Vipi kuhusu wale matajiri wa arusha alioenda kuwavamia usiku na yule diwani wa ccm aliyemteka na kumtesa kisa tu alitaka haki itendeke, nao ni majambazi na wahalifu?
 
Mademu wa Sabaya mnahangaika kweli kumtetea bebi wenu
 
Chadema ni genge LA majambazi na wahalifu. Ole Sabaya alilijua hilo na ndio maana kama Mwenyekiti wa Kamati Ulinzi na Usalama wa Wilaya alipambana nao kisawasawa. Hasira za kushughulikiwa wamezihamishia mitandaoni na magazeti uchwara! Hawatashinda!
CCM ni genge la kihalifu linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala
 
Sabaya ni jambazi hakuna ubishi, mporaji kwa kutumia silaha anatakiwa afunguliwe kesi ya armed robbery.
Aliyeleta Mada atakuwa ni mmojawapo wa mabaunsa wa sabaya anaolewa nao pale SG hotel
 
Tulieni dawa iingie.. Wanasema Karma is a Bitch! Dhuluma ina mwisho na haijwahi kua na mwisho mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…