Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Tatizo la kutokuzingatia job discription linaweza kutusumbua kwa muda mrefu.
 
Mbona hamna la ubakaji?
Nadhani ushahidi wake ni mgumu kuupata labda kama kamera zingerekodi.
Hayo yanamtosha kama ni mtu wa kujifunza..
Miaka 34 ,bado kijana sana ,ana muda wa kujipanga.
 
🤔😥😣😇🤗😏🙄😶☺😑😐😐
Rise And Fall Of The Kingdom!!


Ahadi Ya Mwana Tanu
Cheo Ni Dhamana,Rushwa Ni Adui Wa Haki
 
Kaa kwa kutulia bwana wako zama zake zimekwisha.
 
Na hili la kuvamia hoteli usiku wa manane na akitumia magari yenye plate namba za UN vipi?

Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
 
Haya halafu mseme Magufuri alikuwa mzalendo,tuliibiwa sana kipindi cha Magufuri,Tulidhulumiwa sana kipindi chake na kunyanyaswa sana utafikiri Tanzania siyo nchi yetu kwa kukumbatia vibaka kama Ole Sabaya na Makonda.
Kwaiyo unaamini jamaa(Sabaya na Hayati? Wameiba simu ya tochi na elfu 35?

Ndio hujue hata kama jamaa wana makosa sio kwa kuiba simu ya kitochi,waendesha mashtaka wa kitanzania wanateleza sana.
 
Do you think JPM sent him to do those criminal things???
-Na 'ujinga wako' kama jinalo,
Tusichoshane kwa 'Kinge' wengine hadi tulewe.

Nipe jibu;
Unadhani huyo uliemtaja hakuwa akipata angalau tetesi za matendo ya wateule wake?
kama ndivyo itakuwa maajabu ya Dunia.

Wakati mwingine inahitaji akili ndogo tu kuelewa nani anabariki nini wala usitumie 'karoli' nyingi kufikiri.

Tafakari.
 
Wapo wapi wanaharakati wa haki za wanawake, kuongelea mabinti na wanawake waliobakwa na huyu jamaa. Mbona wanakuwa kimya katika mambo ya msingi ila kazi kupiga kelele mbunge wa kike kutolewa nje sababu ya kuvaa suruali.

Hebu wajitokeze waje kupambana na huyu jamaa.....
 
aaanh...MAKONDA JEEH?
 
Umenikumbusha mbali hapo kwenye karoli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…