cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu atapewa Wilaya ya Mafia akakuze ushoroba kule
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu atapewa Wilaya ya Mafia akakuze ushoroba kule
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
hayo ndo matunda yake. Anapata sawa na hesbau yake.MKUU WA WILAYA HANA DHAMANA?
Kidplomasia ikoje
Nadhani ushahidi wake ni mgumu kuupata labda kama kamera zingerekodi.Mbona hamna la ubakaji?
Mimi ningekuwa gereza la kisongo ningepaka vumbi la kongo nimchape naoMKUU WA WILAYA HANA DHAMANA?
Kidplomasia ikoje
Dada mbona hunipendi ila mimi nitaendelea tu kukupenda.Bado wewe , Wanafiki wakubwa nyie ! wewe si ndio kinara wa kutetea uchafu humu ?
Kaa kwa kutulia bwana wako zama zake zimekwisha.Lazima muanze kujiandaa kisaikolojia mjue kbs mmepanga kufanya Nini endapo huyu mnayemuona Ni mtesi wenu hatafungwa..tatizo lenu Ni Moja tu hamuwajui watu wa Kanda ya kaskazini tabia zao..ukitaka kuwajua tabia zao angalia maisha ya mbowe,sumaye,lowasa n.k angalieni walichowafanyia..kwanza Mimi nashangaa eti mnaona ajabu kwa aliyekuwa kiongozi kupelekwa vyombo vya dola mnasahau hata Kuna mawaziri wa awamu ya tatu na mabilionea fulani washapelekwa rumande na wengine kufungwa kabisa.Sasa sijui mtaandamana au mtafanyaje?.
Kwanini msishupalie na vitu vyingine mfano watoto wenu kupatiwa ajira maana Ni haki Yao na pesa zipo nyie mnakomalia ishu zisizo na maana kivile.Simtetei sabaya lakini najua Kama kijana mwingine yoyote mihemko Ni Jambo la kawaida huenda alipokuwa DC alikuwa kweli akilewa na kutongoza wasichana wa watu ndo maana akajengewa chuki lakini Hilo sio tatizo kisheria.ila hili la kusema eti ameonea wafanyabiashara Hili hapana Bali alikuwa akitimiza majukumu yake na hakuwa peke yake walikuwa wanaenda sehemu na kamati yote ya ulinzi ya wilaya kwa hivyo Hapo poleni mtaangukia pua mapema sana.
Naona kashika Beretta
Na hili la kuvamia hoteli usiku wa manane na akitumia magari yenye plate namba za UN vipi?Aliyekuwa mkuu DC wa Hai amesomea mashaka yake sita UHUJUMU UCHUMI UJAMBAZI KWA SILAHA KUTAKATISHA FEDHA NK AMEKWENDA RUMANDE MPAKA TAREHE 18/6/2021
View attachment 1808139
View attachment 1808140
View attachment 1808141
=======
Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (34) na walinzi wake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha wakikabiliwa na makosa mbalimbali likiwemo la uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na kupokea rushwa.
Sabaya ambaye alisimamishwa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 13, 2021 kupisha uchunguzi alifikishwa mahakamani hapo akiwa amefungwa pingu na baada ya wote kushuka kwenye magari ya polisi, walitakiwa kuchuchumaa na kisha kupelekwa katika chumba maalum na baadaye kuingizwa mahakamani.
Waendesha mashtaka wa Serikali, Tumaini Kweka, Abdallah Chaula na Tresla Garvas mbele ya Hakimu Mfawidhi, Martha Mahumbuga na Hakimu Mkazi Mkuu, Salome Mshasha wamesema Sabaya na wenzake walitenda makosa hayo Januari 20 na Februari 9, 2021.
Kweka amesema Sabaya na wenzake watano anatuhumiwa kwa makosa ya kuunda genge la uhalifu, uhujumu uchumi, kujipatia fedha kwa njia ya rushwa na utakatishaji fedha ambapo Sabaya alijipatia Sh90 milioni kutoka kwa mfanyabiashara, Francis Mroso mkazi wa kwa Mromboo ambaye alikuwa anatuhumiwa kwa makosa ya ukwepaji kodi ili amsaidie jambo ambalo ni makosa.
Pia, Sabaya na walinzi wake wawili, Sylivester Nyengu (26) maarufu kicheche na Daniel Mbura (38) wanakabiliwa na makosa mawili ya ujambazi wa kutumia silaha wakidaiwa kuyatenda Februari 9, 2021.
Wanadaiwa walimfunga pingu na kumpiga Bakari Msangi ambaye ni diwani wa CCM kata ya Sombetin na kumuibia Sh390,000 na pia katika eneo la Bondeni jijini Arusha wakitumia silaha, Sabaya na walinzi hao wanatuhumiwa kumpiga, kumtishia silaha na kumpora Ramadhani Ayoub simu na Sh35,000.
Kwa kuwa makosa hayo hayana dhamana watuhumiwa hao walipelekwa mahabusu Gereza Kuu la Kisongo na kesi hiyo kuahirishwa hadi Juni 18, 2021.
Kwaiyo unaamini jamaa(Sabaya na Hayati? Wameiba simu ya tochi na elfu 35?Haya halafu mseme Magufuri alikuwa mzalendo,tuliibiwa sana kipindi cha Magufuri,Tulidhulumiwa sana kipindi chake na kunyanyaswa sana utafikiri Tanzania siyo nchi yetu kwa kukumbatia vibaka kama Ole Sabaya na Makonda.
-Na 'ujinga wako' kama jinalo,Do you think JPM sent him to do those criminal things???
aaanh...MAKONDA JEEH?Aliyekuwa mkuu DC wa Hai amesomea mashaka yake sita UHUJUMU UCHUMI UJAMBAZI KWA SILAHA KUTAKATISHA FEDHA NK AMEKWENDA RUMANDE MPAKA TAREHE 18/6/2021
View attachment 1808139
View attachment 1808140
View attachment 1808141
=======
Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (34) na walinzi wake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha wakikabiliwa na makosa mbalimbali likiwemo la uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na kupokea rushwa.
Sabaya ambaye alisimamishwa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 13, 2021 kupisha uchunguzi alifikishwa mahakamani hapo akiwa amefungwa pingu na baada ya wote kushuka kwenye magari ya polisi, walitakiwa kuchuchumaa na kisha kupelekwa katika chumba maalum na baadaye kuingizwa mahakamani.
Waendesha mashtaka wa Serikali, Tumaini Kweka, Abdallah Chaula na Tresla Garvas mbele ya Hakimu Mfawidhi, Martha Mahumbuga na Hakimu Mkazi Mkuu, Salome Mshasha wamesema Sabaya na wenzake walitenda makosa hayo Januari 20 na Februari 9, 2021.
Kweka amesema Sabaya na wenzake watano anatuhumiwa kwa makosa ya kuunda genge la uhalifu, uhujumu uchumi, kujipatia fedha kwa njia ya rushwa na utakatishaji fedha ambapo Sabaya alijipatia Sh90 milioni kutoka kwa mfanyabiashara, Francis Mroso mkazi wa kwa Mromboo ambaye alikuwa anatuhumiwa kwa makosa ya ukwepaji kodi ili amsaidie jambo ambalo ni makosa.
Pia, Sabaya na walinzi wake wawili, Sylivester Nyengu (26) maarufu kicheche na Daniel Mbura (38) wanakabiliwa na makosa mawili ya ujambazi wa kutumia silaha wakidaiwa kuyatenda Februari 9, 2021.
Wanadaiwa walimfunga pingu na kumpiga Bakari Msangi ambaye ni diwani wa CCM kata ya Sombetin na kumuibia Sh390,000 na pia katika eneo la Bondeni jijini Arusha wakitumia silaha, Sabaya na walinzi hao wanatuhumiwa kumpiga, kumtishia silaha na kumpora Ramadhani Ayoub simu na Sh35,000.
Kwa kuwa makosa hayo hayana dhamana watuhumiwa hao walipelekwa mahabusu Gereza Kuu la Kisongo na kesi hiyo kuahirishwa hadi Juni 18, 2021.
Umenikumbusha mbali hapo kwenye karoli-Na 'ujinga wako' kama jinalo,
Tusichoshane kwa 'Kinge' wengine hadi tulewe.
Nipe jibu;
Unadhani huyo uliemtaja hakuwa akipata angalau tetesi za matendo ya wateule wake?
kama ndivyo itakuwa maajabu ya Dunia.
Wakati mwingine inahitaji akili ndogo tu kuelewa nani anabariki nini wala usitumie 'karoli' nyingi kufikiri.
Tafakari.
kwani wewe unataka kusemaje hapo?MKUU WA WILAYA HANA DHAMANA?
Kidplomasia ikoje
itakuwa vyemaDuh utani utani tu unashangaa jezi ina namba ya kuingia tu... Ya kutoka hamna!
Mkuu waswahili wana misemo...
Halifichiki pembe la ng'ombe... mficha uchi hazai...