Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #81
I suppose we have yet to see Biden's henchmen go robbing folks at gunpoint.Many of you writes pro or otherwise on the function of governments. For your information : all governments in the world's are criminal enterprises, that's why all heads' seek protection of the law while discharging it's duties.
There is no government enterprise that is people centered, all projects are implemented to serve the best interests of those in power, unless you are lucky that your interests accidentally converge with theirs. ..
Unajitoa ufahamu sio,kakiri mwenyewe alikuwa anafanya ujambazi kutokana na maagizo kutoka juu,weka ushahidi hana.Bado ameomba kukata rufaa atajisafisha tu.
Hapa kazi tu.
Hahahahaha leo hii mnataka kutenganisha maji na mafuta sio,huwezi kutenganisha matendo ya Kayafa,Bashite na Sabaya.Mleta mada usisahau kuwa 90% ya top Govt Officials wa sasa ni wateule wa our beloved The Late Magufuli kuanzia Rais MamĆ” Samia, Dr Mpango, PM Majaliwa, Jaji Mkuu Prof Ibrahim, DG Tiss, CDF, IGP na wengine wengi
Maamuzi ya kesi ya Sabaya isiihusianishe na mkuu wa Serikali iliyopita ilhali watendaji wakuu wengi kama nilivyowataja wenye influence bado ni wale wale toka awamu iliyopita na ni wenye kiwango kizuri cha kukubalika kwa maana ya utendaji wao ktk nchi yetu
Kama Sabaya alifanya makosa basi acha hukumu imuhusu yeye kama yeye
Mkuu ingalau mama Samia kachukua hatua ya kuruhusu uchunguzi wa kijinai ufanyike na mtuhumiwa kupelekwa mahakamani kujibu tuhuma.Hapana wote wanahusika ama kwa kuruhusu, kwa kutokuchukua hatua au kutoachia madaraka kupinga vitendo hivyo. Kwa mantiki unayoisemea hiyo basi hizo jinai zinazofanana na aliyofanya Sabaya hazitakoma. Zinatakiwa zikome kama tunataka Tanzania iwe sehemu ya jamii ya ulimwengu unaoendeshwa kwa mujibu wa utawala wa sheria. Heshima ya Tanzania tuliyokuwa nayo ndiyo inaporomoshwa na uongozi unaotafuta sababu za kukwepa kuwajibika ipasavyo. Mbona Mwenyekiti wetu wa CCM mstaafu, Mzee Mwiny,i amekuwa wazi kwenye kitabu chake jinsi alivyowajibika kwenye vifo vya mahabusu wa Shinyanga wakati yeye hakuhusika moja kwa moja. Cha kushangaza hayo madoa meusi ya Hayati Magufuli yanayoharibu mengine mazuri aliyotufanyia Watanzania bado yanaendelezwa na uongozi wa sasa hata wakati aliyeanzisha hayupo! Simwelewi mtu ye yote mwenye akili ya wastani na ana uwezo wa kusoma historia anaweza kuyaendeleza akawa anakwenda Kanisani au Msikitini au Umoja wa Mataifa kutoa hotuba! Anakwenda kufanya nini!? Mwenyezi Mungu apishe mbali.
Haki imeonekana kutendeka.Alichopata amestahili...
Hahahaaaa....... Sisi sote ni ndugu!Legacy ya JPM haiwezi kamwe kufutika na chuki hizi zinazoendelee.
JPM anabaki kuwa Rais shupavu na hodari tangu Tanzania ipate uhuru akiongozwa na Baba wa Taifa akifatiwa na Mzee Mkapa.
JPM anaishi na ataendelea kuishi huyo ras wenu mwambieni akanyoe rasta aache na kuvuta bangiš”
Acha chuki binafsi bwashee!Yaani mpaka Ras Mtimanyongo akwambie,Magufuli alishachafuka siku nyingi.
Fikiria mtu anaiba kura,anawanyima haki waTanzania ya kuchagua huyu ni hovyo wa viwango vyote unavyojua.
Kuchafua legancy haimaanishi Magufuri hakua Shupavu.Legacy ya JPM haiwezi kamwe kufutika na chuki hizi zinazoendelee.
JPM anabaki kuwa Rais shupavu na hodari tangu Tanzania ipate uhuru akiongozwa na Baba wa Taifa akifatiwa na Mzee Mkapa.
JPM anaishi na ataendelea kuishi huyo ras wenu mwambieni akanyoe rasta aache na kuvuta bangiš”
Sukuma gang @ workLegacy ya JPM haiwezi kamwe kufutika na chuki hizi zinazoendelee.
JPM anabaki kuwa Rais shupavu na hodari tangu Tanzania ipate uhuru akiongozwa na Baba wa Taifa akifatiwa na Mzee Mkapa.
JPM anaishi na ataendelea kuishi huyo ras wenu mwambieni akanyoe rasta aache na kuvuta bangiš”
Legacy ya JPM haiwezi kamwe kufutika na chuki hizi zinazoendelee.
JPM anabaki kuwa Rais shupavu na hodari tangu Tanzania ipate uhuru akiongozwa na Baba wa Taifa akifatiwa na Mzee Mkapa.
JPM anaishi na ataendelea kuishi huyo ras wenu mwambieni akanyoe rasta aache na kuvuta bangiš”
Yaani kama mtu anaenda toilet kuachia kimba afu hajitawazi.???Magufuli alijichafua mwenyewe kwa baadhi ya mambo yake.