Hata sasa hivi ukileta ujinga mwendo ni huo huo tu. Ndiyo maana umeamua kurudi CCM na kusifu kila kinachofanywa na Rais wetu Mama Samia. Hebu jaribu kuleta utopolo uone kilichomtoa kenge manyo....!!?Naumwa ugonjwa wa furaha atuamini kama sasa tupo huru mliozoea kuona viroba baharini,ubambikaji, utekaji,maigizo ya mapapai, chips,mahindi mnapata tabu Sana zama hizi
Utopolo ufanywa na wasafisha mikojo kama nyie.Hata sasa hivi ukileta ujinga mwendo ni huo huo tu. Ndiyo maana umeamua kurudi CCM na kusifu kila kinachofanywa na Rais wetu Mama Samia. Hebu jaribu kuleta utopolo uone kilichomtoa kenge manyo....!!?
Sauti yake ilikuwa wapi kama mwakilishi wa wananchi wakifanyiwa madhira ?, pathetic!
Sisi tunaendelea kula kwa mrija tu hatuna shida na sasa kazi imekuwa rahisi sana kwa sababu wanasaccos nao wameikimbia Saccos yao ya Chadema wamerudi CCM wanasifu kuliko hata wana CCM.Utopolo ufanywa na wasafisha mikojo kama nyie.
Mpangaji mpya ataki chawa mtateseka sana
Hakuna kuimba kwaya Ili uishi zilishapita zama hizoSisi tunaendelea kula kwa mrija tu hatuna shida na sasa kazi imekuwa rahisi sana kwa sababu wanasaccos nao wameikimbia Saccos yao ya Chadema wamerudi CCM wanasifu kuliko hata wana CCM.
Sasa ni zamu yenu kuimba mkuu sisi tumepumzika!!Hakuna kuimba kwaya Ili uishi zilishapita zama hizo
Mama ni civilized educated matured haitaji kwaya na mapambio Ili akamilikeSasa ni zamu yenu kuimba mkuu sisi tumepumzika!!
Angefuata haya uyasemayo si ajabu leo angekuwa kanisani saa hizi, ila ndio hivyo tena amefungiwa mahali hadi saa ytisa muda wa msosi. kesho ndio atatoka kwenda kufanya kazi (ngumu kama ambavyo mbuyu wake uliwahi kupendekeza wafungwa wafanyishwe kazi ngumu) za kujenga taifaHawa wananchi walifanyiwa madhira na nani? Je wakati huo hakukuwa serikali yenye lengo la kusimamia wananchi na kupinga uonevu? Au serikali ya wakati huo ilikuwa chini ya Mbowe? Kuendelea kumtumia Mbowe kama kete yako kisiasa haitakusaidia, kwanza inakosa mantiki lakini pia utawala wa awamu ya sita haupo huko kabisa. Ni vizuri ukabadilka vinginevyo hata kwneye chama chako utafukuzwa.
Daaah uvccm punguzeni unafki, aibu naona mimiSabaya ni presidential material , over
Bahati mbaya hata unyapara hapatiKamanda acha kutukana basi ujibu issues alizozieleza. Kumtukana tu bila kujibu hoja zake kunamwongezea ujiko, usishangae akapewa ukuu wa mkoa kwa kueleza jinsi alivyoshughurikia issues hizo na kuonekana ni kweli!
Mkuu, kesho si kwamba ni tarehe ya kesi ile nyingine inayoendelea?. Nadhani kesho atakuwa mahakamani tena.Angefuata haya uyasemayo si ajabu leo angekuwa kanisani saa hizi, ila ndio hivyo tena amefungiwa mahali hadi saa ytisa muda wa msosi. kesho ndio atatoka kwenda kufanya kazi (ngumu kama ambavyo mbuyu wake uliwahi kupendekeza wafungwa wafanyishwe kazi ngumu) za kujenga taifa
Kesho mahakamani atakuwa amevalia ila suti nyeusi mkuu?Mkuu, kesho si kwamba ni tarehe ya kesi ile nyingine inayoendelea?. Nadhani kesho atakuwa mahakamani tena.
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Wee acha tu. Kumfunga sabaya wengi tunatafakari na kufanya usanifu kama muelekeo wa mama kiitikadi ni upi. Je ni ule wa ccm asilia au yeye ni kitu tofauti kile cha awamu ya jk.🤔🤔Kwa Mujibu wa maelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds, hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .
Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo.
Kwa maelezo yake ni kama ilikuwa zone fulani ya gangstar.
Kwakuwa hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na Watanzania wengi ,ajitokeze Mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu, maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla, sababu mbunge ni sauti ya wananchi.
Atakuwa ndani ya uniform mpya ya njanoMkuu, kesho si kwamba ni tarehe ya kesi ile nyingine inayoendelea?. Nadhani kesho atakuwa mahakamani tena.
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Muda si mrefu anarudi ulingoniMnampa sana airtime huyu mtu.
Kwa gavoo hii anything can happenMuda si mrefu anarudi ulingoni
Kwenye kutafuta,hasa maslahi hakuna adui wa kudumuKwa gavoo hii anything can happen