Ole Sabaya: Hai iliendeshwa kihuni sana, mimi nimekuwa mwarobaini

Ole Sabaya: Hai iliendeshwa kihuni sana, mimi nimekuwa mwarobaini

Kwa Mujibu wamaelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds, hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .

Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo.

Kwa maelezo yake ni kama ilikuwa zone fulani ya gangstar.

Kwakuwa hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na Watanzania wengi ,ajitokeze Mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu, maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla, sababu mbunge ni sauti ya wananchi.
Kwani yeye kaongea tu au katoa takwimu? Angetoa takwimu halisi ingekua rahis kuandika hayo uloandika sasa kuongea tu kama vile shida nini?

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka wewe ni mwizi na mkwepa kodi.
Watu wanaomdiss ole sabaya nawaona wapuuzi! Jamaa anachapa kazi na siku zote ukiwa strict katika mafasi ya utawala lazima utakuwa na maadui wengi!

Maadui lazma wengi sababu jamaa hacheki na kima! Wabongo wanafurahia uongozi wa kubembelezana na kuombana ombana kwenye utekelezaji wa majukumu na ndio maana wanamfurahia mama sababu wanajua kuna room yw kufanya uzembe na bado wasiathirike!
 
Nimeandika mara nyingi humu kua mwenyekiti ni 'ntu ya dili' naishiwa kutukanwa. Huwezi kupokea ruzuku ya milioni 300 per month for more than 5 yrs halafu ushindwe kujenga ofisi. Wabunge zaidi ya 60 walikua wanakatwa milioni mbili na ushee kuchangia chama, lakini matumizi hayaeleweki, na wanaogopa kuhoji.

Ukithubutu kuhoji kama alivyofanya Zitto, Mkumbo, Sumaye nk yatakukuta makubwa. Mwenyekiti ni zaidi ya dikteta... Ana timu za kumtetea humu mitandaoni mpaka unashangaa..
Hivi hii Ruzuku ni kwa kila mwezi kumbe aisee😳😳😳!!! Huyu jamaa avunjiwe Chama tu kama hataki kuachia uenyekiti kwa miaka yote hio!

Ruzuku kwa mwaka its almost 3.6B halafu mtu awe hana hata ofisi! Maana kwa level hii ya ubinafsi chama kitakuwa hakipati hata sh.100 mbovu
 
Kwa Mujibu wa maelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds, hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .

Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo.

Kwa maelezo yake ni kama ilikuwa zone fulani ya gangstar.

Kwakuwa hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na Watanzania wengi ,ajitokeze Mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu, maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla, sababu mbunge ni sauti ya wananchi.
Atakaepingana nae ni baada ya mkeka wa uteuzi kushuka na jina lake kutokuwepo
 
Watu wanaomdiss ole sabaya nawaona wapuuzi! Jamaa anachapa kazi na siku zote ukiwa strict katika mafasi ya utawala lazima utakuwa na maadui wengi!

Maadui lazma wengi sababu jamaa hacheki na kima! Wabongo wanafurahia uongozi wa kubembelezana na kuombana ombana kwenye utekelezaji wa majukumu na ndio maana wanamfurahia mama sababu wanajua kuna room yw kufanya uzembe na bado wasiathirike!
Duh! Wewe jamaa bhana hata huwa sikuelewagi hata kidogo. Ndo nini ulichoandika hapa?
 
Nimemsikiliza katoa facts tupu tena kwa data ,hili limewakera sana wafuasi wa Mbowe,

Inatakiwa serikali ilinde hivi vipaji kwa nguvu nyingi sana
Mazuzu kama wewe kule North Korea mnapigwa risasi za kwenye masaburi mfululizo
 
Kamanda acha kutukana basi ujibu issues alizozieleza. Kumtukana tu bila kujibu hoja zake kunamwongezea ujiko, usishangae akapewa ukuu wa mkoa kwa kueleza jinsi alivyoshughurikia issues hizo na kuonekana ni kweli!
vimada wa Ole Sabaya mnatapatapa
 
Kwa Mujibu wa maelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds, hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .

Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo.

Kwa maelezo yake ni kama ilikuwa zone fulani ya gangstar.

Kwakuwa hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na Watanzania wengi ,ajitokeze Mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu, maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla, sababu mbunge ni sauti ya wananchi.
Kwani hiyo Hai haikuwa na mkurugenzi kabla ya yeye
Haikuwa na mkuu wa wilaya kabla yake
Haikuwa na tendaji wengine wa serikali kabla ya yeye
Kilimanjaro haikuwa na mkuu wa mkoa
Unazijua kazi za mbunge ww jinga
Hizo makitu unazosemea hapo kulikuwa hakuna wizara husika kutatia hayo makitu yako ya uongo
Na kwa taarifa yako Hai ilikuwa vizuri sana tena yenye umoja na ushirikiano
Ila huyu jinga na yule bwana ndo mloleta shida huku hai
 
Kwani hiyo Hai haikuwa na mkurugenzi kabla ya yeye
Haikuwa na mkuu wa wilaya kabla yake
Haikuwa na tendaji wengine wa serikali kabla ya yeye
Kilimanjaro haikuwa na mkuu wa mkoa
Unazijua kazi za mbunge ww jinga
Hizo makitu unazosemea hapo kulikuwa hakuna wizara husika kutatia hayo makitu yako ya uongo
Na kwa taarifa yako Hai ilikuwa vizuri sana tena yenye umoja na ushirikiano
Ila huyu jinga na yule bwana ndo mloleta shida huku hai
thetallest , wakatanta , jingalao , Idugunde , Nigrastratatract na wengine wengi tu sijawa mention, wote ni Sabaya na kundi lake.
 
Mambo aliyoongea Ole Sabaya ni mazito kweli kweli kuanzia ukusanyaji/uzalishaji hafifu wa Kodi kutoka nafasi ya 112 (_kwa wilaya za Tanzania) hadi nafasi ya 6, matumizi ya mihadarati, uporaji wa ardhi za wananchi wanyonge na uongozi mbovu wa mbunge (Mhe.Freeman Mbowe) katika mambo mengi sana!

Sasa mtu makini pamoja na mapungufu ya Ole Sabaya ungetegemea CHADEMA au Mhe.Mbowe wajiandae/ajiandae kuleta counter report itakayo disqualify facts za Ole Sabaya (ziambatane na takwimu), lakini unaweza kukuta eti wameamua kususia kuangalia Clouds TV ! Too Myopic!

Hatua yoyote tofauti na ku- face facts za Ole Sabaya ni sawa na kupulizia mzoga pafyumu ukidhani unadhibiti harufu, it's just a matter of time!
Alikuwa anawadanganya kwenye TV huyo dogo
 
Mambo aliyoongea Ole Sabaya ni mazito kweli kweli kuanzia ukusanyaji/uzalishaji hafifu wa Kodi kutoka nafasi ya 112 (_kwa wilaya za Tanzania) hadi nafasi ya 6, matumizi ya mihadarati, uporaji wa ardhi za wananchi wanyonge na uongozi mbovu wa mbunge (Mhe.Freeman Mbowe) katika mambo mengi sana!

Sasa mtu makini pamoja na mapungufu ya Ole Sabaya ungetegemea CHADEMA au Mhe.Mbowe wajiandae/ajiandae kuleta counter report itakayo disqualify facts za Ole Sabaya (ziambatane na takwimu), lakini unaweza kukuta eti wameamua kususia kuangalia Clouds TV ! Too Myopic!

Hatua yoyote tofauti na ku- face facts za Ole Sabaya ni sawa na kupulizia mzoga pafyumu ukidhani unadhibiti harufu, it's just a matter of time!
Vipi hali huko?
 
Back
Top Bottom