Hujui hata majukumu ya mbunge, ukikuwa utaachaPangueni hoja zake acheni vituko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui hata majukumu ya mbunge, ukikuwa utaachaPangueni hoja zake acheni vituko
hata Serikali haikuwepo nadhani.Yaani mmbunge ndio anawajibika? kipindi hayo yanafanyika hakukuwa na mkuu wa wilaya kabla yake?
Wakati mwingine kukaa kimya ni hekima. Mfano muone manywele a.k.a EDO. Wote waliomtukana hawapo lakini yeye bado anadunda tu. Na atadunda sana sana. Hata alivyorudi nyumbani sijui kama aliwatukanaCDM kama hao wengine wanavyofanya. Binafsi sijasikia. CDM wasijibu wakae kimya tu historia inajieleza vizuri sana. 2015 Mbowe hakupiga kampeni kabisa jimboni kwake, alizunguka na aliyerudi nyumbani lakini alichaguliwa tu. Hizo za Ole S. ni siasa za kitoto. Nasubiri Mbowe adai fidia ya kuvunjiwa greenhouse zake. Sijui kwa nini anachelewa kudai.Kwa Mujibu wamaelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds, hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .
Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo.
Kwa maelezo yake ni kama ilikuwa zone fulani ya gangstar.
Kwakua hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na watanzania wengi ,ajitokeze mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu, maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla, sababu mbunge ni sauti ya wananchi.
Usizungumze kwenye Jamhuri ya JF kudaganya watu, sisi ni wakazi wa Hai, iliyo sema Sabaya hajakosea. Naanza kuamini tatizo na haya majibizano ni Mbowe kukosa ubunge.Ni shule kongwe tu ndizo zilipewa peas kwa ajili ya ukarabati. Machame sec school. Lyamungo sec school. Hakuna cha hospital wala zahanati kituo cha afya.
Hapo tatizo ni mkuu wa wilaya au mbunge aliepita?Sabaya ni mfano wa uongozi..tunajua madudu aliyafichua Hai...Hai ilikuwa inaongoza kwa udhlumati wa Ardhi....matajiri walikuwa wanapora wanyonge.
Unaelewa maana ya TAKWIMU? Hivi vitu alivyotaja ni MEASURABLE kwa hiyo alipaswa kueleza kwa QUANTITY na QUALITY (Idadi na Ubora).Kwa Mujibu wamaelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds, hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .
Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo.
Kwa maelezo yake ni kama ilikuwa zone fulani ya gangstar.
Kwakua hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na watanzania wengi ,ajitokeze mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu, maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla, sababu mbunge ni sauti ya wananchi.
Hivi Clouds wamefikia kiwango cha kuuza kipindi kwa Sabaya ili afanye kampeni za kuteuliwa tena kuwa DC, hizo pesa anatoa wapi za kulipia kipindi ...na kutoka kituo chake cha kazi kuja kufanya hizo propaganda.Kwa Mujibu wamaelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds, hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana...
Endeleeni kumtetea kuu la majambanokaHivi Clouds wamefikia kiwango cha kuuza kipindi kwa Sabaya ili afanye kampeni za kuteuliwa tena kuwa DC , hizo pesa anatoa wapi za kulipia kipindi ...na kutoka kituo chake cha kazi kuja kufanya hizo propaganda..
Mkuu wa wilaya, mkurugenzi, das waliokuwepo kabla watakuwa walikuwa wa ovyo Sana... Bila kumsahau mbunge wa sasa... Naye ni wa ovyo.. HONGERA SANA KAKA JAMBAWAZ SABAYA...Nimemsikiliza katoa facts tupu tena kwa data ,hili limewakera sana wafuasi wa Mbowe,
Inatakiwa serikali ilinde hivi vipaji kwa nguvu nyingi sana
Mpuuzi wewe, maanake Mbunge ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya?Kwa Mujibu wamaelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds, hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .
Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo.
Kwa maelezo yake ni kama ilikuwa zone fulani ya gangstar.
Kwakuwa hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na Watanzania wengi ,ajitokeze Mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu, maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla, sababu mbunge ni sauti ya wananchi.
RightUlichokiandika wewe na alichokiongea sabaya ni kuonyesha tu ni jinsi gani taifa limetamalaki siasa zakishamba.Sana sana mnaidhalilisha tu serikali ya ccm iliyoongoza nchi toka uhuru.Huyo sabaya angekutana na waandishi wa habari wanaojielewa angepigwa maswali ya maana mawili tu angeweweseka sema ndo hivyo lengo lake lilikua kumchafua mbowe, akajisahau kua mbowe alikua mbunge tu na Hai ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania nchi ambayo iko chini ya chama cha mapinduzi,chama ambacho sabaya ni mwanachama na kiongozi ndani ya hiyo serikali.Kwahiyo mapungufu au umasikini wa Hai wakwanza kuwajibika ni serikali.Kauli kama zile zilitakiwa zitolewe na mtu anayetaka kugombea ubunge dhidi ya mbowe na sio kiongozi mtendaji anayeiwakilisha serikali.Kwa wenye akili tunawaona mbulula tu.
Mkuu wanajua wanachokifanya, ni mkakati maalum..wanajua kuna panga pangua ya wakuu wa wilaya inakuja... Bila kujiandaa Mapema inakula kwao..Hivi mbunge ninserikali? Kwa ufinyu wako wa mawazo hata kazi za mbunge huzijui. Akili yako ni sawa na ya Sabaya.
Mbunge ana husikajena ujambazi, uvuta bangi, kuuza mihadharati?
Hii ni kuonyesha mnavyo idharaulisha serikali yenu na vyombo vya ulinzi na usalama.
Mbona hakiongelea kwenda kuvamia hoteli za watu usiku kutafuta wanawake?
Mbona haja zungumzia kuingia mabaa na kurusha huduma anazo tumia? Mbona haja zungumzia kufanya fujo disco na kupiga watu risasi?
Niwaambie kitu.
Mnazidi kuharibu. Acheni kujaribu kumpa kick Sabaya.
Maana yake ni kuwa wakuu wa wilaya waliomtangulia (Byakanwa, Antony Mtaka, novatus makunga na wengineo) walikuwa wahuni/wanaendesha wilaya kihuni? walikuwa wanapora mashamba ya wanyonge, wanauza mihadarati, walikuwa wanafadhili ujambazi na hawakuwa wanakusanya kodi?Kwa Mujibu wamaelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds, hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .
Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo.
Kwa maelezo yake ni kama ilikuwa zone fulani ya gangstar.
Kwakuwa hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na Watanzania wengi ,ajitokeze Mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu, maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla, sababu mbunge ni sauti ya wananchi.