Ole Sabaya: Hai iliendeshwa kihuni sana, mimi nimekuwa mwarobaini

Ole Sabaya: Hai iliendeshwa kihuni sana, mimi nimekuwa mwarobaini

Kwa Mujibu wamaelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds ,hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .

Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri,mihadarati,wananchi wanyonge kuporwa mashamba ,makusanyo hafifu ya kodi ,uhaba wa vituo vya afya ,miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo .

Kwa maelezo yake ni kama ilikuwa zone flani ya maganstar.

Kwakua hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na watanzania wengi ,ajitokeze mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu ,maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla ,sababu mbunge ni sauti ya wananchi
Kama wa kumpinga inabidi atumie takwimu, za kwake ziko wapi?
 
Nimemsikiliza katoa facts tupu tena kwa data ,hili limewakera sana wafuasi wa Mbowe ,
Inatakiwa serikali ilinde hivi vipaji kwa nguvu nyingi sana
Nimecheka kwa nguvu vibaya sana, hapa unaelezea hizo unazoita facts za Sabaya, lakini inakuwa kama Sabaya alikuwa anafanya hayo ili kushindana na Mbowe. Halafu kwa jinsi usivyo na jipya unamfananisha mbunge, tena wa upinzani dhidi ya mkuu wa Wilaya mwenye kiburi cha madaraka. Hapa naona ni uzi wa kumsafisha Sabaya dhidi ya maovu yake, huku ukitaka tuamini Mbowe alikuwa tatizo huko Hai. Labda utuambie Sabaya alipofika alikuta huko Hai hakuna shule, kituo chochote cha afya, barabara nk, alipofika ndio vikaanza.

Ni wapi nchi hii hakuna mgogoro wa ardhi, ni wilaya ipi haina shule, kituo cha afya nk, ili tumpeleke Sabaya akaanze kutekeleza hayo? Bado mna balance shobo za ccm kwa kutumia mgongo wa cdm?
 
Ni shule kongwe tu ndizo zilipewa peas kwa ajili ya ukarabati. Machame sec school. Lyamungo sec school. Hakuna cha hospital wala zahanati kituo cha afya.
 
Mambo aliyoongea Ole Sabaya ni mazito kweli kweli kuanzia ukusanyaji/uzalishaji hafifu wa Kodi kutoka nafasi ya 112 (_kwa wilaya za Tanzania) hadi nafasi ya 6, matumizi ya mihadarati ,uporaji wa ardhi za wananchi wanyonge na uongozi mbovu wa mbunge (Mhe.Freeman Mbowe) katika mambo mengi sana!
Sasa mtu makini pamoja na mapungufu ya Ole Sabaya ungetegemea CHADEMA au Mhe.Mbowe wajiandae/ajiandae kuleta counter report itakayo disqualify facts za Ole Sabaya (ziambatane na takwimu),lakini unaweza kukuta eti wameamua kususia kuangalia Clouds TV ! Too Myopic!
Hatua yoyote tofauti na ku- face facts za Ole Sabaya ni sawa na kupulizia mzoga pafyumu ukidhani unadhibiti harufu, it's just a matter of time!
Huyu ni chenga kodi zinakusanywa na mkurungezi na timu ya wataalam chini yake, ulinzi unafanywa na OCD wakissimamiwa na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wa wilaya ambaye ni DC anajipendekeza hizo siyo kazi za mbunge jitambuee
 
Nimecheka kwa nguvu vibaya sana, hapa unaelezea hizo unazoita facts za Sabaya, lakini inakuwa kama Sabaya alikuwa anafanya hayo ili kushindana na Mbowe. Halafu kwa jinsi usivyo na jipya unamfananisha mbunge, tena wa upinzani dhidi ya mkuu wa Wilaya mwenye kiburi cha madaraka. Hapa naona ni uzi wa kumsafisha Sabaya dhidi ya maovu yake, huku ukitaka tuamini Mbowe alikuwa tatizo huko Hai. Labda utuambie Sabaya alipofika alikuta huko Hai hakuna shule, kituo chochote cha afya, barabara nk, alipofika ndio vikaanza.

Ni wapi nchi hii hakuna mgogoro wa ardhi, ni wilaya ipi haina shule, kituo cha afya nk, ili tumpeleke Sabaya akaanze kutekeleza hayo? Bado mna balance shobo za ccm kwa kutumia mgongo wa cdm?
Mleta uzi na sabaya wote hawajui kazi za mbunge? sabaya anadanganya kazi za mkurungezi anataka zifanywe na mbunge?
 
Mambo aliyoongea Ole Sabaya ni mazito kweli kweli kuanzia ukusanyaji/uzalishaji hafifu wa Kodi kutoka nafasi ya 112 (_kwa wilaya za Tanzania) hadi nafasi ya 6, matumizi ya mihadarati ,uporaji wa ardhi za wananchi wanyonge na uongozi mbovu wa mbunge (Mhe.Freeman Mbowe) katika mambo mengi sana!
Sasa mtu makini pamoja na mapungufu ya Ole Sabaya ungetegemea CHADEMA au Mhe.Mbowe wajiandae/ajiandae kuleta counter report itakayo disqualify facts za Ole Sabaya (ziambatane na takwimu),lakini unaweza kukuta eti wameamua kususia kuangalia Clouds TV ! Too Myopic!
Hatua yoyote tofauti na ku- face facts za Ole Sabaya ni sawa na kupulizia mzoga pafyumu ukidhani unadhibiti harufu, it's just a matter of time!
Unashida ya akili hoja za mkuu wa wilaya ajibu mbunge kwani mkuu wa wilaya ni mwanasiasa au raisi wa nchi alikuwa haongozi ilo eneo
 
Kwani wana hai wao wanasemaje

Wanataka maendeleo ya watu au wanataka maendeleo ya vitu??
 
Halafu huyu dogo mwambieni ajiandae ile Kesi yake ya jinai ya kufoji kitambulisho cha tiss na kutapelia kwenye mahoteli inaenda kufufuliwa upya. Kwani aliyemtetea ameshakwendazake motoni.
 
Kwa Mujibu wamaelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds ,hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .

Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri,mihadarati,wananchi wanyonge kuporwa mashamba ,makusanyo hafifu ya kodi ,uhaba wa vituo vya afya ,miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo .

Kwa maelezo yake ni kama ilikuwa zone flani ya maganstar.

Kwakua hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na watanzania wengi ,ajitokeze mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu ,maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla ,sababu mbunge ni sauti ya wananchi
Who is Sabaya? Kwamba eye Sasa ndo anaona ndo mkuu wa wilaya bora kuliko wote waliopita pale? Mbona tuhuma lukuki zinamkabili amekua akizipitia juu bila kutozitolea ufafanuzi wa kina
WATU husema
Ukiona mtu anajisifia kufanya kitu JUA hakuna alilofanya ,Kama umefanya nyamaza tu uliyoyafanya yatajieleza yenyewe, CHEC WATU KAMA MTAKA ,
Tz awamu ya tano imazalisha WATU wa ajabu hasa wengi waliokaa katika kivuli Cha ukatili ili kujipendekeza kulinda vyeo, ila mda ni MWALIM hawatakuja amini macho yao wataondoka dunian kwa mateso ,mungu ni fundi
 
Back
Top Bottom