Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hawajui kwa kufanya hivi wanaonyesha wazi kuwa serikali iliyokuwa madarakani haikuwatendea haki watu wa Hai? Hata kama madiwani wote walitoka Chadema, jukumu la yote haya ni ya serikali kuu.Anayesimamia ukusanyaji wa mapato ni mbunge au DED? Na kama ni ded tukisema serikali ya magu ndio ilikua shida tutakua tumekosea? Anayetakiwa kutoa fedha za ujenzi wa miundombinu sio serikali kweli? Na kama haikujenga miundombinu tukisema shida alikua na magu na serikali yake tutakua tumekosea?
Utetezi mfu kabisaAnayesimamia ukusanyaji wa mapato ni mbunge au DED? Na kama ni ded tukisema serikali ya magu ndio ilikua shida tutakua tumekosea? Anayetakiwa kutoa fedha za ujenzi wa miundombinu sio serikali kweli? Na kama haikujenga miundombinu tukisema shida alikua na magu na serikali yake tutakua tumekosea?
Makonda?kuna candidates wazuri zaidi yake. but not sabaya
Unatukana na kutisha wakati uko verified!!?His days are numbered
Hawa jamaa wanalipwa kutetea ujinga ,nahsi hawajitambuiKama mbunge hana role ya kuplay kuzuia ujambazi, mihadarati na uvutaji bango je kuna ulazima wa kuwepo wabunge?
Wakuu wa Mikoa na Wilaya hawawezi kufanya anachofanya mbunge na zaidi?
Kaenda kupiga propaganda radioni Ili kitumbua kisiote.Vidikteta uchwara hivi vingeondoka na dikteta mwenzaoJibu hoja zake,acha kuongea kitu ambacho huna ushahidi nacho.
Nadhani anataka Mama amuone. Amechelewa List imeshafungwaMambo aliyoongea Ole Sabaya ni mazito kweli kweli kuanzia ukusanyaji/uzalishaji hafifu wa Kodi kutoka nafasi ya 112 (_kwa wilaya za Tanzania) hadi nafasi ya 6, matumizi ya mihadarati...
Uondoke kwanza wewe!Kaenda kupiga propaganda radioni Ili kitumbua kisiote.Vidikteta uchwara hivi vingeondoka na dikteta mwenzao
Kwa tuhuma alizonazo huyo DCkuendelea kulipwa kodi zetu ni dharau kubwa kwa ss walipa kodiKwa Mujibu wamaelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds ,hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana...
Seriously unataka Mbowe au Chadema wajibishane na Ole Sabaya? Watu waliompuuza Spika ndio wajibishane na DC? Kwa sababu mafanikio yote yanayotajwa yamepatikana wakati Mbowe akiwa mbunge basi dhahiri halikuwa kwake bali kwa utawala uliokuwepo wa wilaya.Mambo aliyoongea Ole Sabaya ni mazito kweli kweli kuanzia ukusanyaji/uzalishaji hafifu wa Kodi kutoka nafasi ya 112 (_kwa wilaya za Tanzania) hadi nafasi ya 6, matumizi ya mihadarati ,uporaji wa ardhi za wananchi wanyonge na uongozi mbovu wa mbunge (Mhe.Freeman Mbowe) katika mambo mengi sana...
Sabaya ni mla rushwa anayeshirikiana na afisa mmoja wa ardhi kwa jina anaitwa Jacob. Nitashangaa kama huyu bwana bado yuko kazini kwani kwa sasa Inawezekana yupo jela!!Kwa Mujibu wamaelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds ,hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana...
Endeleeni kutetea upumbavuHapo HAI mkuu wa Mkoa na Wilaya kabla ya Sabaya alikuwa Mbowe?...
Mimi na faida duniani thus na dunda bado.Dikteta akiondoka dunia upumuaUondoke kwanza wewe!