Ole Sabaya: Hai iliendeshwa kihuni sana, mimi nimekuwa mwarobaini

Ole Sabaya: Hai iliendeshwa kihuni sana, mimi nimekuwa mwarobaini

Mambo aliyoongea Ole Sabaya ni mazito kweli kweli kuanzia ukusanyaji/uzalishaji hafifu wa Kodi kutoka nafasi ya 112 (_kwa wilaya za Tanzania) hadi nafasi ya 6, matumizi ya mihadarati ,uporaji wa ardhi za wananchi wanyonge na uongozi mbovu wa mbunge (Mhe.Freeman Mbowe) katika mambo mengi sana.
Kwani mkusanya kodi ni nani? Anayeongoza kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ni nani?

Alipopelekwa kuwa mkuu wa Wilaya alienda kuchukua nafasi ya Mbowe? Kwamba Mbowe ndiye alikua mkuu wa Wilaya kabla ya Sabaya?
Mwambie aina hiyo ya siasa zake hazina nafasi kipindi hiki, asipoteze muda wa kufanya kampeni ili ateuliwe tena.

Ajue tu zama zimeshabadilika.
 
Hivi mbunge ninserikali? Kwa ufinyu wako wa mawazo hata kazi za mbunge huzijui. Akili yako ni sawa na ya Sabaya.
Mbunge ana husikajena ujambazi, uvuta bangi, kuuza mihadharati?...
Huyu Sabaya ndio anaharibu kabisa bora ingekuwa mjanja ange kaa kimya kabisa ,
 
Mambo aliyoongea Ole Sabaya ni mazito kweli kweli kuanzia ukusanyaji/uzalishaji hafifu wa Kodi kutoka nafasi ya 112 (_kwa wilaya za Tanzania) hadi nafasi ya 6, matumizi ya mihadarati...
Halmashauri ya Hai ilikua chino ya CHADEMA so mapato yakipanda mna credit kwa sabaya ila yakitokea failures then lawama kwa Mbowe kama Mbunge!

Kama Mkuu wa wilaya ndio kila kitu basi halmashauri na wabunge hawapaswi kuwepo sababu hata wakifanya kitu credit ni kwa DC!

Tuelewe kwanza majukumu ya mbunge na DC ni mawili tofauti...... Mwakilishi wa wananchi ni tofauti na mteule wa Rais. Mmoja ana mamlaka ya kuwakilisha Rais, mwingine kazi yake ni kuisimamia serikali kuwajibika.

Sasa kuna mentality ilijengwa na JPM kwamna mbunge anapaswa kujenga barabara, achimbe mitaro n.k ilihali mbunge anapimwa kwa jinsi alivyowajibika bungeni kwenye kusimamia serikali kuleta maendeleo kama ilivyojicommit kwenye sheria ya bajeti husika.

Kuna tatizo ya elimu ya uraia mahala
 
Ile video yake akiwabananisha wale wafanyabiashara Arusha alishaiweka sawa?
 
Hivi mbunge ninserikali? Kwa ufinyu wako wa mawazo hata kazi za mbunge huzijui. Akili yako ni sawa na ya Sabaya.
Mbunge ana husikajena ujambazi, uvuta bangi, kuuza mihadharati?....
Sauti yake ilikuwa wapi kama mwakilishi wa wananchi wakifanyiwa madhira ?, pathetic!
 
Kwa Mujibu wamaelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds ,hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .
Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri,mihadarati,wananchi wanyonge kuporwa mashamba ,makusanyo hafifu ya kodi ,uhaba wa vituo vya afya ,miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo...
Mbunge anawajibikaje hapo? Mbunge ana nafasi gani ktk kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya? Kwanini asiwajibike DC, OCD, OCID, DSO na DAS
 
Kipindi kabla hajakabidhiwa Hai palikuwa mahali tulivu na salama sana, hakukuwa na matukio ya kinyama ya watu kutekwa, kupigwa, kuumizwa na hata wengine kuuliwa na kutupwa mabarabarani.

Pia wana Hai walikuwa wamoja sana bila kujali tofauti zao kwenye itikadi za kisiasa.. Na wafanyabiashara walikuwa wanafanya biashara zao Kwa amani sana wala hawakuwa wanafuatwa na mitutu ya Bunduki na kulazimishwa kutoa Pesa Kwa Mkuu Wa wilaya.

Akiondoka Hai patakuwa mahali salama tena.
 
Hivi mbunge ninserikali? Kwa ufinyu wako wa mawazo hata kazi za mbunge huzijui. Akili yako ni sawa na ya Sabaya.
Mbunge ana husikajena ujambazi, uvuta bangi, kuuza mihadharati?...
Kama mbunge hana role ya kuplay kuzuia ujambazi, mihadarati na uvutaji bango je kuna ulazima wa kuwepo wabunge?

Wakuu wa Mikoa na Wilaya hawawezi kufanya anachofanya mbunge na zaidi?
 
Kwakua hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na watanzania wengi ,ajitokeze mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu ,maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla ,sababu mbunge ni sauti ya wananchi
Mbunge anakusanya Kodi? Mbunge ndio Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya? Huyu mbwa ni mpuuzi na naamini Mama Samia atamtendea haki
 
Kwa Mujibu wamaelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds ,hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana ....
Anayesimamia ukusanyaji wa mapato ni mbunge au DED? Na kama ni ded tukisema serikali ya magu ndio ilikua shida tutakua tumekosea? Anayetakiwa kutoa fedha za ujenzi wa miundombinu sio serikali kweli? Na kama haikujenga miundombinu tukisema shida alikua na magu na serikali yake tutakua tumekosea?
 
Back
Top Bottom