Ole Sabaya kutinga tena mahakamani Oktoba 18 kwa kesi ya Uhujumu Uchumi

Maaamaaaayeeeeeee!

Hapumzishwi, watamnyeshea mvua iwe fundisho, kwa wengine, ukipewa cheo usijisahau SANA. Iko siku watakunyang'anya na kukufilimba.

Everyday is Saturday................................😎
Mtu mmoja anipe mawasiliano ya Nyampara wa Sabaya nimpe kazi maalum
 
Maaamaaaayeeeeeee!

Hapumzishwi, watamnyeshea mvua iwe fundisho, kwa wengine, ukipewa cheo usijisahau SANA. Iko siku watakunyang'anya na kukufilimba.

Everyday is Saturday................................😎
Kile kisengerema kilijisikia sana maa.mae. Acha kinyee kwemye ndoo na bebi wake anyee kwenye naniliu za malegendare
 
Napenda kujuwa wako watatu miaka 30, kila mmoja, au wanagawana miaka10 kila? Na iwapo wanagawana wangekuwa waliohukumiwa kwa kesi hiyo wapo thelathini, inamaana kila mmoja mwaka mmoja! Na kama 60 basi miezi sita?
Samahani ila wewe bado mtoto mdogo sana ila sikulaumu unaendelea kujifunza. Hapo kila mmoja ni 30 years
 
Kazi iendelee
 
Hivi kumbe huwa ni kweli etiee!! Mbabe akishakamatiwa chini ndipo wanyonge wake huinuka ghafla ili walao wapigepo japo kakofi au hata wamtemee mate???[emoji15] Teh-Teh Teh Khaaaaaaaaa.
Haya mambo hutokea sana hata kwenye nchi zilizoendelea. Tafuta habari za Jeffrey Epstein, Bill Cosby na Harvey Weinstein.
 
hahaha
 
Huyu kijana Sabaya kweli alikuwa na maadui wengi, mitandao yote watu wanafurahia adhabu aliyopata huyu jamaa najiuliza kawafanyia nini lakini, huo sio ubinadamu kabisa
Naona umeanza tabia kama zake! Yakikufika utajua hujui!
 
Maaamaaaayeeeeeee!

Hapumzishwi, watamnyeshea mvua iwe fundisho, kwa wengine, ukipewa cheo usijisahau SANA. Iko siku watakunyang'anya na kukufilimba.

Everyday is Saturday................................😎
😁😁😁
 
Uku nondo kule kuni
aina mbaya chaliangu
Wanavuna walichopanda
 
Genge Darisalama NDANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…