Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Hata hvy wakali wa zile mambo siwatakuwa washatanua tunduz na kuelegeza lindaz.... it would be a lesson already!!Unadhani haiwezekani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hvy wakali wa zile mambo siwatakuwa washatanua tunduz na kuelegeza lindaz.... it would be a lesson already!!Unadhani haiwezekani?
Wamepotelea wapi?
Hao vijana watano ndio walipelekwa maeneo yenye upinzani wa kweli na kazi walifanya kwa kweli.
Huyu Lengai ndio alipendwa zaidi kwanza ndio mdogo miongoni mwa hao big 5 lakini pia alikuwa ni DC tu japo majukumu yake yalikuwa ya kitaifa zaidi sawia na KUB Mbowe.
The big 5 ndio watailinda legacy ya awamu ya 5!
Fact.Siku zote mtu huwapenda watu wanaofanana naye. Uovu wa hawa watu unaashiria uovu wa marehemu.
Ukiwa na kiongozi muuaji, atazungukwa na wasaidizi wauaji.
Na hawa vijana ndio wanapata tabu zaidi baada ya mungu wao kufa, hapi anashindwa mwangalia JK usoniHao vijana watano ndio walipelekwa maeneo yenye upinzani wa kweli na kazi walifanya kwa kweli.
Huyu Lengai ndio alipendwa zaidi kwanza ndio mdogo miongoni mwa hao big 5 lakini pia alikuwa ni DC tu japo majukumu yake yalikuwa ya kitaifa zaidi sawia na KUB Mbowe.
The big 5 ndio watailinda legacy ya awamu ya 5!
Hata Mimi ninavyoyaona mambo ni kama Sabaya aliwahi kuchefuana na huyu mama maana kama ni kwenda kinyume na maadili ya kazi zake wako viongozi wengi tu wametokea kufanya hivyoLengai huenda aliwahi kumletea dharau bi mkubwa, katupiwa kwenye mto wenye mamba wengi sasa hivi anagala gala tu
Sabaya alikuwa anamdharau sana mwana mama Anna Mghwira na hata alipoonywa alionyesha dharau kwa wale waliomuonya.Hata Mimi ninavyoyaona mambo ni kama Sabaya aliwahi kuchefuana na huyu mama maana kama ni kwenda kinyume na maadili ya kazi zake wako viongozi wengi tu wametokea kufanya hivyo
Kwa kifupi alisahau kuwa hiyo statement maana yake ni kuwa amekiri kuyafanya hayo ila kwa kutumwa. Alisahau top man alikuwa na kinga. Wacha akaliwe na nyapara.Na hapo mamlaka lazima ikukane. Kajifungisha mwenyewe huyo dogo.
Kama kuna mtu alimpa hip udhauri alimpoteza sana
Lengai Yule Jambazi Huenda alimtapeli Bi MkubwaHao vijana watano ndio walipelekwa maeneo yenye upinzani wa kweli na kazi walifanya kwa kweli.
Huyu Lengai ndio alipendwa zaidi kwanza ndio mdogo miongoni mwa hao big 5 lakini pia alikuwa ni DC tu japo majukumu yake yalikuwa ya kitaifa zaidi sawia na KUB Mbowe.
The big 5 ndio watailinda legacy ya awamu ya 5!
Kaaya huyu huyu aliyemuomba papuchi bibi yake mwenye miaka 60? No wonder mabalaa yalimuanzia hapo akakaa lupango zaidi ya mwaka [emoji12][emoji12]Lengai anashinda rufaa yake keshokutwa.
Utajua Haujui na utajuta kumfahamu Kaaya!
Hata alipodakwa mlisema hivi hivi kesi haifiki kokote mara ooh sijui nini...Unaamini kabisa Lengai kala mvua 30?!!!
Na Mnyeti umemwacha wapiHao vijana watano ndio walipelekwa maeneo yenye upinzani wa kweli na kazi walifanya kwa kweli.
Huyu Lengai ndio alipendwa zaidi kwanza ndio mdogo miongoni mwa hao big 5 lakini pia alikuwa ni DC tu japo majukumu yake yalikuwa ya kitaifa zaidi sawia na KUB Mbowe.
The big 5 ndio watailinda legacy ya awamu ya 5!
Atakata rufaa mpaka afie jela. Hii kesi ya Sasa ya kupora hela kwenye akaunti Kwa mtutu na huku CCTV zikirekodi inampiga tena 30, Ile nyingine nayo 30.Lengai anashinda rufaa yake keshokutwa.
Utajua Haujui na utajuta kumfahamu Kaaya!
Kweli kabisa; binafsi nilikuwa naona kama anaonewa, alivyotoa tu hiyo kauli nikajua kwisha habari yake.Kwa kifupi alisahau kuwa hiyo statement maana yake ni kuwa amekiri kuyafanya hayo ila kwa kutumwa. Alisahau top man alikuwa na kinga. Wacha akaliwe na nyapara.