Ole Sabaya: Rais Samia atatuvusha


umeenda nje ya topic bro, mi sijamtaja magu, lissu, msigwa wala lema.
Tunamuongelea sabaya bro[emoji16]
Halafu hao kumbuka hao wapinzani ndo walikuwa wanaongoza kuibua scandals za ufisadi nchi hii.
Anyway, turudi kwa Ole[emoji23][emoji23]
 
😂😂😂
 
Kwa hii taarifa ya sabaya kusimamishwa kazi ama kweli mama atatuvusha.
 
Anafaa sana huyu kijana. Kutoka 192 hadi ya 4. Ni zaidi ya maendeleo
Kwani kwenye kazi za mkuu wa wilaya kuna mandate ya kukusanya mapato? Hizo zilikuwa porojo zake tu.

Kuongezeka kwa mapato ya wilaya ya hai kunaweza kuwa kumechangiwa na mgodi wa mererani na sababu zingine siyo Sabaya.
 

Mleta mada huyu yupo? Au anapita kimya kimya kwenye nyuzi zote za mwana mkiwa huyu?

 

Basi Sawa .kweli mama amekuvusha.
 
Ndugu tangy Elitweege na Etweege bahati mbaya kwenu siku zote ni kuwa mnaofikiria Watawavusha wanaishia kuwadumbukiza shimoni ,tokeni usingizini,msiendelee kukwamia awamu ambayo haipo tena,ingieni swamy mpya.
 
Basha wako kashatumbuliwa
 
Mama kamtupilia mbali
Naona sabaya alikuwa anajikomba
Kwa mama tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…