thegreen
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 369
- 171
Malori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.
Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .
Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.
umeenda nje ya topic bro, mi sijamtaja magu, lissu, msigwa wala lema.
Tunamuongelea sabaya bro[emoji16]
Halafu hao kumbuka hao wapinzani ndo walikuwa wanaongoza kuibua scandals za ufisadi nchi hii.
Anyway, turudi kwa Ole[emoji23][emoji23]