Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo

Too late, akachunge ng'ombe. Zama zimebalika. Mwenyezi Mungu hulipa waja wake hapa hapa duniani.
Huyu jamaa alikuwa alijifanya kidume sana!!!....akili zake za kuchunga ng'ombe na kuwinda nyamapori alizihamishia kwenye mamlaka za u-DC akidhani Watu ni sawa na Wanyama.......Shame on Ole Sabaya!!
 
Ole sabaya ni tapeli wa siku nyingi. Aliwachangisha hela wanafunzi pale St.John kwajili ya tamasha la wanafunzi akakimbia na hela zote. Tuhuma zake ni nyingi huyu bwanamdogo.
 
Jokate hata akilamba ukuu wa Mkoa poa tu hana show kama za akina Sabaya
 
Yule wa Iringa ndio aliwaambia wastaafu ataaavunja vunja
Dah
Halafu leo bi mkubwa kamnukuu mstaafu aliyeambiwa atavunjwa vunjwa
Sijui wana hali gani hawa jamaa
Yule jamaa sijui alirogwa kuongea vile.Atakuwa anatamani kauli yake ifutike
 
Tusimsahau OCD wa Hai aliekuwa anampa mibunduki kuzunguka nayo mitaani usiku......lazima waende wote
 
Yametimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…