Sendeka hana tofauti na nyumbu wa Serengeti, anaona maslahi ya chama cgake na yeye binafsi ni bora kuliko maslahi ya Taifa. Haoni uchungu gharama zilizo tumika hadi sasa kuandaa hii katiba, hafikiri kwamba hii katiba ni ya kizazi kijachi na sii kwa ajili yake. Ccm mtake msitake, mkilazumisha mnayo yataka lei, iko siku kizazi kihachi kitarekwbisha tu!!!
Hulo liko wazi na nilazima historia itawahukumu.