Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimya kingi kina mshindo mkuu, utanisikia tu muda sio mrefu MKUFUNZI wangu... Asante kwa kwa yote kiongozi...Kaka siku hizi mbona kimya!!!! Ulinikoshaga sana na ile kauli yako ya kipindi kile cha uchaguzi, 2010.. Temeke!!!!
Hajaona waraka wa Kakobe kwani? Hayo ni matokeo tu ya kuwasaliti watz..e
Kwamba anaipenda Tanzania sana? Ole kumbe gamba gumu kiasi hicho!
Iko hivi Emboloi murtangos damu imemwagika sana si yeye wala Nangoro wala nani walioamka kusimamia kumaliza mgogoro!!!!!
Kwa damu ya ardhi ile hao bado wana mengi ya kulipa huu mwanzo tu!!!!!
Kama ni kweli hilo unalolisema huyo atakuwa na matatizo yake tu ya kifamilia...alishindwa kulia wakati wezi wa Epa ,Richmond na sasa IPTL analia kuhusu kura za siri.Halafu kwamuda wamiaka 26 ya kukaa karibu na watu wa kabila hili sija wahi kuona mmasai mwanaume anayelialia ovyo kama nikweli basi itabidi tumripoti kwa wakuu wake wa Mila nadhani LEIGWANANI MKUU NI LOWASA kwamba anaaibisha watu warika lake wake kwa hiyo aitwe apewe kale kaadhabu ka kupelekwa mtoni na kutandikwa fimbo sabini kamtembeleee kumkumbusha mafunzo ya Jandoni na umuhimu wa ukakamavu kama mkuu wa familia.
Na kwa uzembe huu kwa sababu amewahi kuwa kiongozi wa UKWATA anastahili adhabu ya kibiblia ambayo kama sikosei vi viboko 39