Ole Sendeka atoka kwenye Ukumbi wa Bunge kwenda kulilia nje

Ole Sendeka atoka kwenye Ukumbi wa Bunge kwenda kulilia nje

Hiki kimasai mpaka katiba ipatikane nacho kitakuwa kumeaga ulimwengu
 
Iko hivi Emboloi murtangos damu imemwagika sana si yeye wala Nangoro wala nani walioamka kusimamia kumaliza mgogoro!!!!!

Kwa damu ya ardhi ile hao bado wana mengi ya kulipa huu mwanzo tu!!!!!
 
Kaka siku hizi mbona kimya!!!! Ulinikoshaga sana na ile kauli yako ya kipindi kile cha uchaguzi, 2010.. Temeke!!!!
Kimya kingi kina mshindo mkuu, utanisikia tu muda sio mrefu MKUFUNZI wangu... Asante kwa kwa yote kiongozi...
 
Hakuna amani katika kura za wazi. Wao CCM wakazitumie kwenye vikao vyao
 
Hajaona waraka wa Kakobe kwani? Hayo ni matokeo tu ya kuwasaliti watz..e

Mmmmh, huo waraka wengine hatuujui! Japo kwa muhtasari, nini muktadha/ maudhui yake huo waraka kwa wanajamii aliowalenga! Mwenye data atuambie!
 
huyu mnafiki mkubwa na muhuni mkubwa analia kwani katiba ni mali ya ccm.
 
Ukiwa ccm lazima utaahira ukunyemelee.......akafie mbali na unafiki wake
 
ukiwa ccm akiri inakuwa kitahiratahira kama sendeka au kibwegebwege
 
Iko hivi Emboloi murtangos damu imemwagika sana si yeye wala Nangoro wala nani walioamka kusimamia kumaliza mgogoro!!!!!

Kwa damu ya ardhi ile hao bado wana mengi ya kulipa huu mwanzo tu!!!!!

umefaham mada?
 
Ukiona mtu ana kitambi halaf kafungasha ujue hana bullet proof 🙂
 
Lipeleke mbele huo UCHURO wake, kumbe lijamaa lipuuzi sana hilo nilikuwa sijalijuwa.
 
Kama ni kweli hilo unalolisema huyo atakuwa na matatizo yake tu ya kifamilia...alishindwa kulia wakati wezi wa Epa ,Richmond na sasa IPTL analia kuhusu kura za siri.Halafu kwamuda wamiaka 26 ya kukaa karibu na watu wa kabila hili sija wahi kuona mmasai mwanaume anayelialia ovyo kama nikweli basi itabidi tumripoti kwa wakuu wake wa Mila nadhani LEIGWANANI MKUU NI LOWASA kwamba anaaibisha watu warika lake wake kwa hiyo aitwe apewe kale kaadhabu ka kupelekwa mtoni na kutandikwa fimbo sabini kamtembeleee kumkumbusha mafunzo ya Jandoni na umuhimu wa ukakamavu kama mkuu wa familia.

Na kwa uzembe huu kwa sababu amewahi kuwa kiongozi wa UKWATA anastahili adhabu ya kibiblia ambayo kama sikosei vi viboko 39

mh mbona sio kweli
 
Back
Top Bottom