Ole Sendeka atoka kwenye Ukumbi wa Bunge kwenda kulilia nje

Hiki kimasai mpaka katiba ipatikane nacho kitakuwa kumeaga ulimwengu
 
Iko hivi Emboloi murtangos damu imemwagika sana si yeye wala Nangoro wala nani walioamka kusimamia kumaliza mgogoro!!!!!

Kwa damu ya ardhi ile hao bado wana mengi ya kulipa huu mwanzo tu!!!!!
 
Kaka siku hizi mbona kimya!!!! Ulinikoshaga sana na ile kauli yako ya kipindi kile cha uchaguzi, 2010.. Temeke!!!!
Kimya kingi kina mshindo mkuu, utanisikia tu muda sio mrefu MKUFUNZI wangu... Asante kwa kwa yote kiongozi...
 
Hakuna amani katika kura za wazi. Wao CCM wakazitumie kwenye vikao vyao
 
Hajaona waraka wa Kakobe kwani? Hayo ni matokeo tu ya kuwasaliti watz..e

Mmmmh, huo waraka wengine hatuujui! Japo kwa muhtasari, nini muktadha/ maudhui yake huo waraka kwa wanajamii aliowalenga! Mwenye data atuambie!
 
Yeye na wenzake waachwe walie maana ndio walichokuwa wanataka. Kura ya siri ndio demokrasia
 
Kuchelewa kuingia mjini kunamtesa huyu
 
huyu mnafiki mkubwa na muhuni mkubwa analia kwani katiba ni mali ya ccm.
 
Ukiwa ccm lazima utaahira ukunyemelee.......akafie mbali na unafiki wake
 
ukiwa ccm akiri inakuwa kitahiratahira kama sendeka au kibwegebwege
 
Iko hivi Emboloi murtangos damu imemwagika sana si yeye wala Nangoro wala nani walioamka kusimamia kumaliza mgogoro!!!!!

Kwa damu ya ardhi ile hao bado wana mengi ya kulipa huu mwanzo tu!!!!!

umefaham mada?
 
Ukiona mtu ana kitambi halaf kafungasha ujue hana bullet proof 🙂
 
Lipeleke mbele huo UCHURO wake, kumbe lijamaa lipuuzi sana hilo nilikuwa sijalijuwa.
 

mh mbona sio kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…