Ole Sendeka atoka kwenye Ukumbi wa Bunge kwenda kulilia nje

Ametimiza masharti, ya kutoa mchozi.
Anafaa kuwa waziri mkuu!
 

Anajua Sheria ipi huyu kilaza wa form IV failure pale Old Moshi Sec.
 

Umeandika wakati mbili tatu mkichwa? Basi walau ungekua unapitia pitia kabla hujapost mkuu. Maneno mengi hayaeleweki
 
Watalia sana tuu,Tanzania kwanza vitambi baadae
Mmasai gani anafuga kitambi?
Tumechoka sasa,na ipigwe kura ya siri pumbavvu zao;hadi inakera jamani!

mkuu umenena sendeka anaangalia maslahi ya kitambi chake nyambafu zake anataka uwaziri huyu pimbi kweli kura ni siri ya mtu analazimisha kura ya wazi
 
Ole unamatatizo gani?kama ni uwaziri kwa boss wako umeukosa.shame on you old man.
 
VIP hilo wazo la mbunge lilikubaliwa na mwenyekiti?
 
Hivi wanaCCM kwa nini mnaogopana kiasi hicho? Wote ni Watanzania,fanyeni maamuzi kama Watanzania. Au pengine nyie ni Watanzania zaidi ya wengine? Kwa umoja wenu mnavyoweweseka, mnatia aibu. Hatuwaelewi, kinawaliza nini. Siku tukingamua, itabidi wengine muukane uTZ.
 
inawezeka hili sio limasai halisi au mzee piga alishawawazuia kulilia bungeni ila yeye mwenyewe tu kwa haya yote huwa haya kawii
 
Watalia sana tuu,Tanzania kwanza vitambi baadae
Mmasai gani anafuga kitambi?
Tumechoka sasa,na ipigwe kura ya siri pumbavvu zao;hadi inakera jamani!

Hahahaha! Umenichekesha sana mkuu, wammasai hawawagi na vitambi..
 
Nasikia hana mke wala watoto sasa na sisi watanzania tunachekesha, tumemruhusu vipi kwenda kuamua hatima ya maisha ya watoto wetu? si tunafahamu wahenga walisema uchungu wa mwana aujuae mzazi?
 
Mungu kaanza kuonesha mkono wake juu ya CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…