Ole Sendeka: Waziri Pindi Chana anataka Simanjiro, Ngorongoro na Longido kuwa Mapori ya akiba. Wamasai hatutakubali kamwe!

Ole Sendeka: Waziri Pindi Chana anataka Simanjiro, Ngorongoro na Longido kuwa Mapori ya akiba. Wamasai hatutakubali kamwe!

National interests goes way beyond that. Wamasai ni sehem ya taifa yes but si maslah ya taifa.
Serikal yoyote dunani haijalish tajir au maskin likija suala la national interest they will not stop at anythinf until lengo lifanikiwe.

Unaochoongelea hapa ni maslah ya wananchi wa tanzania wanaitwa masai ambao impact yao nchini si kubwa kwamba goverment iweke attention yote kwao.
That how serikal inavyofanya kazi
Hayo masilahi mapana ni yepi sasa, kwa upande wa Ngorongoro? Impact kubwa ni ccm, waziri na rais wa nchi? Au una maanisha, wanyama?! Kwamba nchi inapata kipato kupitia utalii?! Alafu hicho kipato kinafabyia nini taifa? Na taifa lisonge mbele kwa gharama za maisha ya wachache? Kama nchi ni yetu sote, ijengwe na sisi sote, siyo kwa damu za maasai wachache!
 
Amebanwa aeleze lakini ameishia kujikanyaga kanyaga baadae ya kujifanya anajua sheria akakutana na mwanasheria madam Speaker [emoji51][emoji51].

Hakuna mtu alizaliwa na ardhi, Pindi Ardhi ikihitajika Kwa Maslahi ya Nchi lazima kupisha.

Tanzania hii ni Kubwa,kama itahitajika hizo Wilaya zote kuwa sehemu tengefu itafanyika hivyo.

Nyerere amewahi hamisha watu kutoka maeneo yao nakuwapeleka kwingine Kwa Maslahi hayo hayo ya Nchi.

Ukienda Pangani, Tanga Kuna wabena kibao walihamishwa kutoka Njombe Hadi kule.
Masilahi ya nchi au ya Wazungu? Kuna masilahi ya nchi pale?
 
Hao Wamasai wapo kila kona ya nchi, mnasahau kwamba nao wananufaika na uhuru wa kila Mtanzania ana haki ya kuishi popote ali mradi asivunje sheria?.

Wao wenyewe wameshaona ni ngumu kubaki sehemu moja wakati wote.
 
..hatuna utamaduni wa kusikiliza hoja mpaka mwisho bila kumkatisha-katisha mchangiaji.

..mimi nimeona kuna kitu alichokuwa nacho Ole Sendeka lakini kwasababu ya kusakamwa na Spika ameshindwa kuchangia na hoja yake kueleweka.
Alikuwa anapotosha na akinukuu vifungu ambavyo havifahamu na anaweka tafsiri zake
 
Amebanwa aeleze lakini ameishia kujikanyaga kanyaga baadae ya kujifanya anajua sheria akakutana na mwanasheria madam Speaker 😬😬.

Hakuna mtu alizaliwa na ardhi, Pindi Ardhi ikihitajika Kwa Maslahi ya Nchi lazima kupisha.

Tanzania hii ni Kubwa,kama itahitajika hizo Wilaya zote kuwa sehemu tengefu itafanyika hivyo.

Nyerere amewahi hamisha watu kutoka maeneo yao nakuwapeleka kwingine Kwa Maslahi hayo hayo ya Nchi.

Ukienda Pangani, Tanga Kuna wabena kibao walihamishwa kutoka Njombe Hadi kule.
Wamasai wanataka kujifanya ardhi ya nchi hii hasa Arusha ni ya kwao...KAmwe hii haitakubalika
 
Alikuwa anapotosha na akinukuu vifungu ambavyo havifahamu na anaweka tafsiri zake

..hili suala sio la kisheria peke yake, ni la kijamii, na kiuchumi vilevile.

..huu mgogoro umekuwa ukiibuka na kutulia ktk kila awamu ya Uraisi wa Tanzania.

..Kwanini hatujaweza kupata suluhisho la kudumu?
 
Wanaondolewa kimabavu na sio kuhamishwa maana hawataki.
Tafautisha kuhama na kuhamishwa. Kuhama ni kwa hiari, kuhamishwa ni kuondolewa kwenye eneo fulani, uwe unapenda au hupendi.

Ni mara nyingi haya yametokea kwa wwtu wengi,wa maene9 mengi na makabila mengi. Siyo ajabu jambo hilo kutokea kwa wamasai.
 
Amebanwa aeleze lakini ameishia kujikanyaga kanyaga baadae ya kujifanya anajua sheria akakutana na mwanasheria madam Speaker 😬😬.

Hakuna mtu alizaliwa na ardhi, Pindi Ardhi ikihitajika Kwa Maslahi ya Nchi lazima kupisha.

Tanzania hii ni Kubwa,kama itahitajika hizo Wilaya zote kuwa sehemu tengefu itafanyika hivyo.

Nyerere amewahi hamisha watu kutoka maeneo yao nakuwapeleka kwingine Kwa Maslahi hayo hayo ya Nchi.

Ukienda Pangani, Tanga Kuna wabena kibao walihamishwa kutoka Njombe Hadi kule.
Wabena walihamishwa kutoka Njombe au walihamia wenyewe kwa hiari?
 
Alikuwa anapotosha na akinukuu vifungu ambavyo havifahamu na anaweka tafsiri zake

..waziri anafahamu vifungu vya sheria lakini halijui eneo la Ngorongoro na watu wake.

..mbunge hajui vifungu vya sheria lakini anawalijua eneo lake na watu wake.

..mkiona mpaka wabunge wa Ccm ambao kazi yao ni kusifia kila kitu wanawagomea jambo la serikali mjue kuna tatizo.
 
Yaani wilaya nne zigeuzwe mapori ili waarabu wawinde na kusafirisha wanyama wetu bila bughudha!! Na watu wanakuja na justification!!! Kweli rushwa inapofusha macho, hata hao waarabu wanatuna sisi manyani kweli
 
National interests goes way beyond that. Wamasai ni sehem ya taifa yes but si maslah ya taifa.
Serikal yoyote dunani haijalish tajir au maskin likija suala la national interest they will not stop at anythinf until lengo lifanikiwe.

Unaochoongelea hapa ni maslah ya wananchi wa tanzania wanaitwa masai ambao impact yao nchini si kubwa kwamba goverment iweke attention yote kwao.
That how serikal inavyofanya kazi
Maslahi gani hayo?
 
..waziri anafahamu vifungu vya sheria lakini halijui eneo la Ngorongoro na watu wake.

..mbunge hajui vifungu vya sheria lakini anawalijua eneo lake na watu wake.

..mkiona mpaka wabunge wa Ccm ambao kazi yao ni kusifia kila kitu wanawagomea jambo la serikali mjue kuna tatizo.
Serikali imeweka azima ya Wamasai kuondoka na inatakiwa hivyo..

Hoja ya msingi ni kwamba sheria ya kuchukua maeneo ya Vijijini iligutwa kwa mujibu wa Sendeka jambo ambalo ni uongo..

Ugumu wa Masai kuhama unatoka wapi ikiwa wananchi wa maeneo mengine wamehamishwa?
 
Back
Top Bottom