Ole wenu mnaopanga kuvuruga Msiba wa Rais Benjamin W. Mkapa, Kesho Kichapo hadi mtachakaa


Sia ajabu wewe ndiye umemuombea mzee wa watu akafariki sasa unajikosha. Na hata ukiongea hivi, wala haikufanyi uonekane na uchungu. Wanaokwenda kumpokea mpendwa wao wanaweza kuwa na uchungu na marehemu kuliko wewe. Sanasana hapa unadhihirisha namna umejaa ubinafsi na fikra mgando.
 
Heee sasa mnataka maandamano ya nini chadema si walitoka bungeni kuna corona sasa huo msongamano wa kumpokea lisu hawaogopi corona?
 
Naona kama umeumbuka vile
 
chuma kimetia timu mjini.

kuna maswali?
 
Heee sasa mnataka maandamano ya nini chadema si walitoka bungeni kuna corona sasa huo msongamano wa kumpokea lisu hawaogopi corona?
Mzee hiyo corona bado ipo kama awali? Muulize mkuu wa nchi kwanini shule zilifungwa na sasahivi zimefunguliwa?
 
Naona limekushuka. Ogopa nguvu ya umma.
 
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa

Sipendi upuuzi mimi
Vipi unayaonaje mapokezi ya mpendwa wetu? Ogopa nguvu ya umma. Wananchi wakiamua hakuna wa kuwazuia. Jifunze historira ya nchi zingine.
 
Kiazi wahed! Nina uhakika una tumbo la kuharisha! Swain wewe!
 
Wakati nyie mko bize na mzoga wenu, sisi tuko hapa jknia tunampokea raisi mtarajiwa,

Leo tunapata somo kubwa ya tulichochuma kwenye kubomoa Umoja wa Kitaifa
Ukitazama Mwamko wa wananchi kwenye Huu msiba unagundua kuuwa tumegawanya Taifa
Wananchi wanaona kama hauwahusu
Tunaomba RAIS ajifunze kwenye hili ; tunajua atashinda Lakini ajirekebishe
 
Mkuu vipi? Huyu muda wake imeisha October ataapishwa TAL
 
Dogo vipi? Maumivu
 

Mkuu maelekezo kwa wakuu wa vituo vya polisi ulikuwa ukiyatolea tokea kituko kipi?

Wa namna yenu tumbuzi ilikuwa halali yenu.

Kwa hakika mu-mizigo na hamtufai kabisa sisi kama taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…