Ole wenu mnaopanga kuvuruga Msiba wa Rais Benjamin W. Mkapa, Kesho Kichapo hadi mtachakaa

Majonzi peleka kwa mama yako sisi inatuhusu nn
 
Leo ni eiku nzuri sana.Mwenye enzi Mungu amedhihirisha ukuu na utukufu wake. Wale waliopanga, kuratibu na kutekeleza shambulio lile la kikatiliq,Leo watashuhudia ukuu wa Mungu aliye juu.Karibu nyumbani mwana wa nchi hii ndugu Tundu Antipas Lissu.
 
Bashite unahofia usalama wako assasin squad yako bado ipo baada ya kitunguliwa
 

Kwani Kumpokea Mtanzania Mwenzetu ambaye tena aliondoka nchini kwa Matatizo ambayo yametokea ndani ya Tanzania hii hii ni Dhambi Ndugu?
 
Kwani msiba kila mtu si Ana namna yake yakuhudhunika na nani amekulazimisha kwenda kumpokea Lisu mbona alipopigwa risasi kuna waliofurahia na wengine wakahudhunika lakini watu walitulia kaeni kwakutulia kila mtu ashinde game zake
 
Wewe uboya kwelikweli.

Nani atavuruga huo msiba wenu?

Hatumsamehe Mkapa kwa aliyotufanyia WA Zanzibar.

Ingekuwa tunapewa ruhusa ya kukoleza moto uwake ningeuchechea kwa ajili yake.
 
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa

Sipendi upuuzi mimi
Baba yako nimuhuni ndio akatoa matone yake ukapatikana muhuni mwengine usiye na adabu.

Lissu anakuja kafanye unachoweza ikiwa unajiamini.
 
Kwa jirani yako kukiwa na msiba unaweza kuahirisha sherehe ya arobaini ya mwanao?
 
Kule Zanzibar Mbona mwinyi alipokelewa na umati mkubwa?
 
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa

Sipendi upuuzi mimi
Ahahahaaaaa yani mziki unalia kwa jirani kukatika mnakatika nyie
 
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa

Sipendi upuuzi mimi
Ccm maslahi. Unajioendekeza wee uhamishwe hapo buza ulipo ili uingie dslam jijini. Alafu hata kwa bodaboda viungo huvunjika.
 
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa

Sipendi upuuzi mimi

Kwanini hukubadili kituo cha kazi kwenda kuwakamata watia nia wa ccm wanaogawa rushwa kama njugu? Au kwako watoa rushwa sio wahuni kwakuwa hiyo ni kawaida vya ccm, bali wafuasi wa Cdm wanaotaka kumpokea mwenzao ndio wahuni?
 
Nakwambia hakuna mtu atakaye enda kuhatarisha uhai wake.Afu usikie keshokutwa Tundu Lissu anahamia CCM.
 
Nakwambia hakuna mtu atakaye enda kuhatarisha uhai wake.Afu usikie keshokutwa Tundu Lissu anahamia CCM.
Huwa hawaendi CCM kiwepesi wengi hutishiwa kupigwa risasi na kulazimishwa kuchukua pesa hununuliwa sanjari na vitisho
 
Wewe endelea kuota,undhani wote waliomo humu ni wakulima wa simiyu? ,sina muda wa kukuaminisha Mimi ni nani na sihitaji unijue,ila jichanganyeni kesho ndo mtakijua kilichomzui kuku kukojoa
Wewe ni mungu? hivi hii mikwara ya kishamba hujui mimi ni nani bado ipo siku hizi? hakuna wa kuhitaji kukujua wewe kwani siyo malaika wala mungu endelea kuonea watanzania ipo siku yatafika mwisho, hakuna mabaya yasiyo na mwisho, walikuwepo akina Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, Abacha, chiluba, mabutu, Elbashiri, Idd Amin Dada leo wapo wapi ?
 
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa

Sipendi upuuzi mimi
Kuna wahuni wengine wako msibani wanaaga muhuni mwenzao aliyekufa kwa malaria sugu
 
Tena itapendeza na wanajeshi watumike kuwathibiti waandamanaji na kama inawezekana watumie vifaru kuwateketeza
 
Kwanini wapigwe ?!. Shida ni nini ?! .

Ni upuuzi kutaka kuwafungia watu kisa mwenda zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…