Ole wenu mnaopanga kuvuruga Msiba wa Rais Benjamin W. Mkapa, Kesho Kichapo hadi mtachakaa

Ole wenu mnaopanga kuvuruga Msiba wa Rais Benjamin W. Mkapa, Kesho Kichapo hadi mtachakaa

Wamechanganyikiwa maana ni mwendo wa matukio yaani Bashite now yupo powerless,jembe la kubadili upepo wa uchaguzi ndo hivyo Mungu kampenda zaidi ! watu wanasahau kuishi maisha ya ubinadamu huku hawataki kuamini lililo na mwanza halikosi mwisho wake !
Kwa hatua waliyofikia watanzania hamuwezi fanya lolote. Mlifanya makosa sana kumpiga risasi mkifikiri mmemmaliza. Haya ndo matokeo ya kutumia nguvu badala ya akili.

Pambaneni na Lissu mliyemjenga wenyewe. Na si utani huyu mtu anapendwa kweli
 
Enhe Wale Jamaa Wa Magari Meusi na Matambara Mekundu looooh


Yetu Macho
 
Mwambie huyo kupe maana anadhani anayo mamlaka juu ya uhai wa mtu mwingine
The army can’t defeat people ndugu. Huwezi vunja miguu au kupiga risasi watu 2000. Hakuna anayeweza kufanya hivyo na hata waliojaribu hawakufanikiwa
 
Kazi Imeanza Mapema Yote Hii doooh 10:50 alfajiri Majamaa Na Mabuti Yao Wanarandaranda Karakata toooooh leloo leeelooo...

Wameawahi Kabla Makomandoo Wa Mitandaoni Hawajaamka na Hangover ya FARU JOHN mmmmmh

Sisi Yetuuuu Machoooo
 
Toooooh Kazi Imeanza Karata Alooh Majamaa wa Kazi Migari Meusi Bendera Nyekundu Leo Mapeeemaaa hapa KARAKATA mmmh Yaani Wamewawahi Makomandoo Wa Mitandaoni Kabla Hawajakurupuka Na Hangover za FARU John toooh mijamaa noma iko siriaz....

Aaagh niwahi Zangu Feri Miye Nikawatafutie Wanangu Riziki.....

Nitayasikia kwenye Redio...

Yetuuuu Macho.


Nchi Kwanza
Uzalendo Unalazimishwa.
 
Wewe endelea kuota,undhani wote waliomo humu ni wakulima wa simiyu? ,sina muda wa kukuaminisha Mimi ni nani na sihitaji unijue,ila jichanganyeni kesho ndo mtakijua kilichomzui kuku kukojoa
Bora ungekubali mkulima wa Simiyu kuliko hiyo kazi unayojimwambafai ni vile hujui wakulima wanapata nini na wewe unapata nini ..
 
Acha upotoshaji wewe. Kumpokea mpendwa wetu kuna husiana vipi na msiba? Wewe hujawahi kumpokea mpendwa wako airport? Acha mikwara mbuzi.
Hapa ndipo mnapojitafutia matatizo kwa Serikali yetu ya kidikteta harafu mnaanza kulalamika baadaye.Kwani wakienda watu wachache kumpokea Airport kinyakimya mtapungukiwa na nini?
 
Title na contents za uzi ni za kizushi. Huu uzi ulistahili kufutwa.

Kwa hakika si kweli kuwa pana mtu yeyote amepanga kuvyuruga msiba wa mpendwa wetu rais mstaafu Benjamin Mkapa (rip).

Huu ni mfano halisi wa nyuzi za uchochezi zisizoitakia mema nchi hii.

Uwekwe ushahidi vinginevyo huu uzi hausimami mithili ya gunia tupu tu.
 
Tatizo wafuasi wa chadema huwa nadhindwa kuelewa ilimu zenu ni za kiwango gani,unajua màana ya neno Tanzania is a sovereignty state,?
Hata Irak ilikuwa sovereignty lakini kutokana na uminywaji wa haki za binadamu na uhuru wa habari, Saddam Hussein yalimkuta yaliyomkuta.
 
Tundu akishafika airport atashangaa sana kuona tazara kuna flyover za ajabu kuwahi kutokea katika hii nchi yenye tunu za kipekee duniani
 
Hakutakuwa na mikusanyiko yoyote,msubirini huyo mhuni wenu afike nyumbani mkamsalimie kwake sio kufanya mikusanyiko iliyopigwa marufuku,nawambia kesho maji mtayaita mma.

Eti lissu ,mtu mmoja hawezi leta karaha kwa raia milioni 50,tena ole wenu na huo waraka wenu sijui wa umoja wa mataifa au umoja wa facebook
Ongeza nguo povu la kutosha
 
Hapa ndipo mnapojitafutia matatizo kwa Serikali yetu ya kidikteta harafu mnaanza kulalamika baadaye.Kwani wakienda watu wachache kumpokea Airport kinyakimya mtapungukiwa na nini?

Kwani wakienda wengi kumpokea mpendwa wao na hata na kwa shamrashamra inawahusu nini nyie?

Mbona hawa wengine hawasumbuliwi wala kutishwa tishwa?



Ama kweli mkuki kwa nguruwe!
 
Waambie wamkumbe Akwilina tu watapata majibu na jifanyen mpendwa wenu hivyohivyo dunian hkn mpendwa watu wanafanya watakula mkiwa na akili mtatafakar wale wote mliopanga kumpokea mpendwa wenu ila mkumbuke mkiwa na furaha wenzenu wanahuzuni
 
Waambie wamkumbe Akwilina tu watapata majibu na jifanyen mpendwa wenu hivyohivyo dunian hkn mpendwa watu wanafanya watakula mkiwa na akili mtatafakar wale wote mliopanga kumpokea mpendwa wenu ila mkumbuke mkiwa na furaha wenzenu wanahuzuni
Vyovyote vile, Lisse tunampokea kishujaa tena kwa amani, watanzania wanaona na dunia inaona. Kama mnaweza tupigeni risasi wote
 
Hapa ndipo mnapojitafutia matatizo kwa Serikali yetu ya kidikteta harafu mnaanza kulalamika baadaye.Kwani wakienda watu wachache kumpokea Airport kinyakimya mtapungukiwa na nini?
Kwanza Mwinyi Zanzibar alipokewa kimyakimya?
 
Back
Top Bottom