Olengurumwa: Uhaini waliopewa akina Dkt. Slaa unatia doa taifa na taswira ya Rais

Olengurumwa: Uhaini waliopewa akina Dkt. Slaa unatia doa taifa na taswira ya Rais

Serikali inashangaza sana ,yaani unamshitaki mtu kwa makosa ya uhaini kisa ametamka kwenye Luninga au interview au kwenye whatsapp ,hivi walifatilia mapinduzi aliyofanya Mu7 wa UG au Desire Laurent Kabila? Kwani kuna nia ovu kwenye yale matamshi? Alipanga mikakati gani ,hivi watu watatu wanaweza kumpindua rais ikulu?
Acha kujidhalilisha soma Sheria kilaza wewe ujue maana ya uhaini kisheria
Screenshot_20230816_173725_Adobe Acrobat.jpg
 
Acha kujidhalilisha soma Sheria kilaza wewe ujue maana ya uhaini kisheriaView attachment 2719515
Sheria na busara huenda sambamba, ukifuata sheria kama zilivyo kwa 100% unaweza kujikuta unafunga kijiji kizima, imagine trafiki wakiamua wafuate sheria kama zilivyo ni magari mawili tu yatabaki barabarani maana takriban 90% ya magari yana makosa..
 
Sheria na busara huenda sambamba, ukifuata sheria kama zilivyo kwa 100% unaweza kujikuta unafunga kijiji kizima, imagine trafiki wakiamua wafuate sheria kama zilivyo ni magari mawili tu yatabaki barabarani maana takriban 90% ya magari yana makosa..
Ulishangaa kwa nini wameshtakiwa?
Ukaenda mbali kuleta tafsiri yako uchwara ya neno uhaini.

Sasa nimekupa tafsiri ya kosheria unaanza kuleta sijui busara.

Acheni ujinga jifunzeni kusoma
 
Hii ni mbinu ya kuwatisha CDM, ukweli IGP hana mpango wa kuwafungulia mashitaka kina Slaa maana kwanza hakuna hoja yenye mashiko, anachofanya ni very psychological, anatuma ujumbe Kwa Mbowe na Lisu indirectly, nafikiri ujumbe umefika, angalia wiki hizi mbili, wapo wapi kina Mbowe na Lisu? Wamekuwa makini sana kwenye hotuba zao, tofauti na mwanzo
 
Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa amesema.

Pamoja na serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu kupongezwa na wadau mbali mbali wa haki za binadamu katika maeneo mengi ikiwemo kutoa uhuru wa kujieleza na kutoa maoni uhuru, sakata la kukamatwa wakosoaji wakubwa ba wa bandari kuanzia kwa Wakili Madeleka sasa Slaa na wenzake litatutia doa kama Taifa, tunawashauri viongozi wetu kabla ya kufika mbali katika hatua hii ,hawa watu wasifunguliwe jalada la uhaini.”
Walitakiwa kutumia maneno ya staha na sio kutukana na kutishia kupindua Serikali. Mbona wewe Ole Ngurumwa umeongea vizuri na umekosoa na hujakamatwa? Ebu na wewe tishia uone?
 
Ulishangaa kwa nini wameshtakiwa?
Ukaenda mbali kuleta tafsiri yako uchwara ya neno uhaini.

Sasa nimekupa tafsiri ya kosheria unaanza kuleta sijui busara.

Acheni ujinga jifunzeni kusoma
Nilishangaa wapi, mimi nakupa darasa kivyangu vyangu.
 
Acha kujidhalilisha soma Sheria kilaza wewe ujue maana ya uhaini kisheriaView attachment 2719515

Wewe ndiyo kilaza ,rudia kusoma tena doc uliyoweka hapa ,Dr Slaa/Mwabukusi/Mdude hawajakidhi vigezo vya kushitakiwa kwa uhaini.....Tatizo mnalazimisha kesi sizizo na kichwa wala miguu na mnaenda kudondokea pua ,Kibatala anakuja Mbeya huko ,yaani hii case hata Mtu asiyejua sheria anawadondosha mahakamani.
 
Walitakiwa kutumia maneno ya staha na sio kutukana na kutishia kupindua Serikali. Mbona wewe Ole Ngurumwa umeongea vizuri na umekosoavna hujakamatwa? Ebu na wewe tishia uone?

Wapi Dr Slaa ametishia? Umeisikiliza ile clip vizuri? kauli aliyoitoa siyo uhaini ,alikuwa anajibu swali la mtangazaji inaamisha kwamba asingeulizwa asingejibu.

Madaraka yanatoka kwa watu na ndiyo wenye mamlaka ya kupindua serikali(iwe field au sanduku la kura) ,hakusema mimi nitaorganise na wananchi tuipindue serikali na hata kama akisema bado si uhaini mpaka kuwe na nia OVU(Mikakati ya kutekeleza ambayo imegundulika).....Wanasiasa siku zote huwa wanasema maamuzi mnayo nyinyi wananchi wa kuiondoa Serikali madarakani.
 
Walitakiwa kutumia maneno ya staha na sio kutukana na kutishia kupindua Serikali. Mbona wewe Ole Ngurumwa umeongea vizuri na umekosoavna hujakamatwa? Ebu na wewe tishia uone?
Enzi za utawala wa Mwinyi Mtikila aliwahi kumwambia Rais Mwinyi arudi mwenyewe Zanzibar kabla hajarudishwa kwenye jeneza, hakufunguliwa kesi yeyote kutokana na matamshi hayo, ingekuwa leo enzi za Samia angenyongwa kabisa. Sheria na Busara ni mapacha.
 
Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa amesema.

Pamoja na serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu kupongezwa na wadau mbali mbali wa haki za binadamu katika maeneo mengi ikiwemo kutoa uhuru wa kujieleza na kutoa maoni uhuru, sakata la kukamatwa wakosoaji wakubwa wa mkataba wa bandari Balozi Mstaafu Dkt. Willbroad Slaa, Wakili Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali kunaweza kutia dosari mazuri hayo pamoja na kuchafua taswira ya Rais Samia kimataifa endapo akikubali watuhumiwa hao kuwa na kesi ya uhaini.

Amesema, itakuwa ni historia katika awamu hii ya sita na pia itakuwa ni kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi kupata watu wanashtakiwa kwa makosa ya uhaini.

"Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kila mtu anao uhuru wa kutoa maoni na kueleza fikra zake, katiba imetulinda, Wakili Mwabukusi, Mdude na Balozi Dkt. Slaa walikuwa wanafanya kwa mujibu wa katiba na kama kuna mahali popote waliteleza kwa maneno ya hapa na pale isiwe ni sababu ya kuwafungulia kesi kubwa kama hii na kuwazuia wao na Watanzania wengine wasikosoe" alisema Wakili Olengurumwa na kuongeza

"Kuanza kuwakamata wote wanaopinga mkataba wa bandari kuanzia kwa Wakili Madeleka sasa Slaa na wenzake litatutia doa kama Taifa, tunawashauri viongozi wetu kabla ya kufika mbali katika hatua hii ,hawa watu wasifunguliwe jalada la uhaini.”
Huu ni mpangomkakati wa wahafidhina wa CCM kumtengenezea Samia ajali ya kisiasa sidhani kama mwenyewe anauona mtego huu.yaani amesahau mara moja hii jinsi kesi ya ugaidi ya Mbowe ilivyomchafua.
 
Unaelewa maana ya UHAINI we fala?
Watu watatu wasio na connection yoyote na majeshi wala taasisi za kiserikali wanaweza kuipindua nchi yenye majeshi yote?

Muwe mnatumia kichwa kufikiri badala ya matumbo?

Jamaa ni wapuuzi sana ,uhaini mpaka kuwe na NIA OVU ambayo ipo confirmed kabisa kwamba walitaka kupindua serikali either kwa kupanga mikakati ya kumuua rais au kuorganise vita na huwa ni siri kwa wanaofanya ,sasa cha kushangaza eti wanamkamata mtu kwa uhaini kisa ametamka waziwazi kwenye TV(Yaani hakuna Siri kabisa).

Wangejua Mapinduzi waliyofanya kina Mu7 na Kabila wasingepoteza muda kutumia resorces/kodi za walalahoi kuendesha cases za kijinga.
 
Jamaa ni wapuuzi sana ,uhaini mpaka kuwe na NIA OVU ambayo ipo confirmed kabisa kwamba walitaka kupindua serikali either kwa kupanga mikakati ya kumuua rais au kuorganise vita na huwa ni siri kwa wanaofanya ,sasa cha kushangaza eti wanamkamata mtu kwa uhaini kisa ametamka waziwazi kwenye TV(Yaani hakuna Siri kabisa).

Wangejua Mapinduzi waliyofanya kina Mu7 na Kabila wasingepoteza muda kutumia resorces/kodi za walalahoi kuendesha cases za kijinga.
Kila mara tunashuhudia watu wakitamka kwa mfano "John must go!"
Hii ni slogan ya kisiasa kwamba mtu fulani hatumtaki.....

Sasa haya ma dupee- world yanatuona nchi nzima kama majuha kabisa!

Wacha hiyo kesi iungurume waaibike Duniani
 
Unaelewa maana ya UHAINI we fala?
Watu watatu wasio na connection yoyote na majeshi wala taasisi za kiserikali wanaweza kuipindua nchi yenye majeshi yote?

Muwe mnatumia kichwa kufikiri badala ya matumbo?
Soma kesi ya Uhaini ya mwaka 1985. Kuna waliokuwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wasiokuwemo kwenye hivyo vyombo na hata serikalini ambao walikutwa na hatia.
 
Kwa Hili hata Mimi sioni sababu ya kupoteza Fedha Kwa kesi Hii..Tutadharaulika saaana kimataifa.Polisi Hasa IGP atumie Hekima Kwa Hili.Hata wananchi hawatawaamini ,,ni Vizuri kuaminika
Hili dude la igp, very soon ataondolewa nafasi yake na atapewa mwanamama hahahahahahahaha
 
Wanakurupuka kutengeneza makosa kwa ushahidi wa kupika studio bika kujua matokeo yake.
 
Back
Top Bottom