Kigera Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,448
- 1,311
Mbona una makasiriko mkuu?Kwa hiyo makosa ya Uhaini yanaenda kwa historia?
Jinga kabisa hili Masai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona una makasiriko mkuu?Kwa hiyo makosa ya Uhaini yanaenda kwa historia?
Jinga kabisa hili Masai
Umenifurahisha sana leo....hakika na apewe, watu wanakosa maarifa, sasa wa nini? 🙂Hili dude la igp, very soon ataondolewa nafasi yake na atapewa mwanamama hahahahahahahaha
Kauli gani sasa hii.....jaribu kuwa mwerevu kidogo.... 🙂huyo masai mchumia tumbo akae kimya, hao ni vibaraka wa maadui zetu ndivyo wanavyopata kula yao, hawana uzalendo zaidi ya matumbo yao.wapuuzwe hao washenzi
Hakuna anayemwamini IGP hata ndani ya serikaliKwa hili hata Mimi sioni sababu ya kupoteza Fedha kwa kesi Hii. Tutadharaulika saaana kimataifa. Polisi Hasa IGP atumie hekima kwa Hili. Hata wananchi hawatawaamini, ni vizuri kuaminika
Ccm ni chama cha mapimduzi kishawahi kumpindua Nani? Neno mapimduzi kwenye siasa ni neno la kawaida, pamoja na hayo baada ya kusema hivyo Nani amehamasika na kuanza hayo mapimduzi, najua mnakenua meno kushangilia hiyo kesi lakini mmejipanga? Haya haya ndo yalitokea kwenye kesi ya ugaidi mpaka mkaanza kutafuta matundu ya kuchomokea,sitaki aibu Tena mie.Sheria ni msumeno, kama wao wana haki ya kutangaza kupindua na serikali ina haki ya kuzuia kupinduliwa. Au sivyo?
Maandamano bila ruksa ya OCD ni kosa, usijitoe ufahamu.Maandamano sii kosa
Kupindua serikali sii kosa, Serikali zinapinduliwa Kwa njia nyingi halali , maandamano halali yanaweza kupindua serikali kihalali, acheni kukariri
Wahuni mnajuanawe unaona unafit nafasi yake, nyie kima utafikiri mnajua kila kitu
Sheria na busara huenda sambamba, ukifuata sheria kama zilivyo kwa 100% unaweza kujikuta unafunga kijiji kizima, imagine trafiki wakiamua wafuate sheria kama zilivyo ni magari mawili tu yatabaki barabarani maana takriban 90% ya magari yana makosa..