Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Acha kujidhalilisha soma Sheria kilaza wewe ujue maana ya uhaini kisheriaSerikali inashangaza sana ,yaani unamshitaki mtu kwa makosa ya uhaini kisa ametamka kwenye Luninga au interview au kwenye whatsapp ,hivi walifatilia mapinduzi aliyofanya Mu7 wa UG au Desire Laurent Kabila? Kwani kuna nia ovu kwenye yale matamshi? Alipanga mikakati gani ,hivi watu watatu wanaweza kumpindua rais ikulu?
Jaribu kama ni rahisiNa ipo siku watapinduliwa tu
Sheria na busara huenda sambamba, ukifuata sheria kama zilivyo kwa 100% unaweza kujikuta unafunga kijiji kizima, imagine trafiki wakiamua wafuate sheria kama zilivyo ni magari mawili tu yatabaki barabarani maana takriban 90% ya magari yana makosa..Acha kujidhalilisha soma Sheria kilaza wewe ujue maana ya uhaini kisheriaView attachment 2719515
Ulishangaa kwa nini wameshtakiwa?Sheria na busara huenda sambamba, ukifuata sheria kama zilivyo kwa 100% unaweza kujikuta unafunga kijiji kizima, imagine trafiki wakiamua wafuate sheria kama zilivyo ni magari mawili tu yatabaki barabarani maana takriban 90% ya magari yana makosa..
Yote hayo ni kwa ajili ya kuhakikisha kuwa Mwarabu anachukua Bandari.Sheria ni msumeno, kama wao wana haki ya kutangaza kupindua na serikali ina haki ya kuzuia kupinduliwa. Au sivyo?
Walitakiwa kutumia maneno ya staha na sio kutukana na kutishia kupindua Serikali. Mbona wewe Ole Ngurumwa umeongea vizuri na umekosoa na hujakamatwa? Ebu na wewe tishia uone?Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa amesema.
Pamoja na serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu kupongezwa na wadau mbali mbali wa haki za binadamu katika maeneo mengi ikiwemo kutoa uhuru wa kujieleza na kutoa maoni uhuru, sakata la kukamatwa wakosoaji wakubwa ba wa bandari kuanzia kwa Wakili Madeleka sasa Slaa na wenzake litatutia doa kama Taifa, tunawashauri viongozi wetu kabla ya kufika mbali katika hatua hii ,hawa watu wasifunguliwe jalada la uhaini.”
Nilishangaa wapi, mimi nakupa darasa kivyangu vyangu.Ulishangaa kwa nini wameshtakiwa?
Ukaenda mbali kuleta tafsiri yako uchwara ya neno uhaini.
Sasa nimekupa tafsiri ya kosheria unaanza kuleta sijui busara.
Acheni ujinga jifunzeni kusoma
Acha kujidhalilisha soma Sheria kilaza wewe ujue maana ya uhaini kisheriaView attachment 2719515
Walitakiwa kutumia maneno ya staha na sio kutukana na kutishia kupindua Serikali. Mbona wewe Ole Ngurumwa umeongea vizuri na umekosoavna hujakamatwa? Ebu na wewe tishia uone?
Enzi za utawala wa Mwinyi Mtikila aliwahi kumwambia Rais Mwinyi arudi mwenyewe Zanzibar kabla hajarudishwa kwenye jeneza, hakufunguliwa kesi yeyote kutokana na matamshi hayo, ingekuwa leo enzi za Samia angenyongwa kabisa. Sheria na Busara ni mapacha.Walitakiwa kutumia maneno ya staha na sio kutukana na kutishia kupindua Serikali. Mbona wewe Ole Ngurumwa umeongea vizuri na umekosoavna hujakamatwa? Ebu na wewe tishia uone?
Unaelewa maana ya UHAINI we fala?Kwa hiyo makosa ya Uhaini yanaenda kwa historia?
Jinga kabisa hili Masai
Huu ni mpangomkakati wa wahafidhina wa CCM kumtengenezea Samia ajali ya kisiasa sidhani kama mwenyewe anauona mtego huu.yaani amesahau mara moja hii jinsi kesi ya ugaidi ya Mbowe ilivyomchafua.Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa amesema.
Pamoja na serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu kupongezwa na wadau mbali mbali wa haki za binadamu katika maeneo mengi ikiwemo kutoa uhuru wa kujieleza na kutoa maoni uhuru, sakata la kukamatwa wakosoaji wakubwa wa mkataba wa bandari Balozi Mstaafu Dkt. Willbroad Slaa, Wakili Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali kunaweza kutia dosari mazuri hayo pamoja na kuchafua taswira ya Rais Samia kimataifa endapo akikubali watuhumiwa hao kuwa na kesi ya uhaini.
Amesema, itakuwa ni historia katika awamu hii ya sita na pia itakuwa ni kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi kupata watu wanashtakiwa kwa makosa ya uhaini.
"Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kila mtu anao uhuru wa kutoa maoni na kueleza fikra zake, katiba imetulinda, Wakili Mwabukusi, Mdude na Balozi Dkt. Slaa walikuwa wanafanya kwa mujibu wa katiba na kama kuna mahali popote waliteleza kwa maneno ya hapa na pale isiwe ni sababu ya kuwafungulia kesi kubwa kama hii na kuwazuia wao na Watanzania wengine wasikosoe" alisema Wakili Olengurumwa na kuongeza
"Kuanza kuwakamata wote wanaopinga mkataba wa bandari kuanzia kwa Wakili Madeleka sasa Slaa na wenzake litatutia doa kama Taifa, tunawashauri viongozi wetu kabla ya kufika mbali katika hatua hii ,hawa watu wasifunguliwe jalada la uhaini.”
Unaelewa maana ya UHAINI we fala?
Watu watatu wasio na connection yoyote na majeshi wala taasisi za kiserikali wanaweza kuipindua nchi yenye majeshi yote?
Muwe mnatumia kichwa kufikiri badala ya matumbo?
Kila mara tunashuhudia watu wakitamka kwa mfano "John must go!"Jamaa ni wapuuzi sana ,uhaini mpaka kuwe na NIA OVU ambayo ipo confirmed kabisa kwamba walitaka kupindua serikali either kwa kupanga mikakati ya kumuua rais au kuorganise vita na huwa ni siri kwa wanaofanya ,sasa cha kushangaza eti wanamkamata mtu kwa uhaini kisa ametamka waziwazi kwenye TV(Yaani hakuna Siri kabisa).
Wangejua Mapinduzi waliyofanya kina Mu7 na Kabila wasingepoteza muda kutumia resorces/kodi za walalahoi kuendesha cases za kijinga.
Mapinduzi yanahamishwa na hao wanaojiita chama cha Mapinduzi au nalo ni kosa?Tunapotezaje pesa wakati watu wanahamasisha mapinduzi?
Na ni kweli wametupindua wananchi!Mapinduzi yanahamishwa na hao wanaojiita chama cha Mapinduzi au nalo ni kosa?
Soma kesi ya Uhaini ya mwaka 1985. Kuna waliokuwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wasiokuwemo kwenye hivyo vyombo na hata serikalini ambao walikutwa na hatia.Unaelewa maana ya UHAINI we fala?
Watu watatu wasio na connection yoyote na majeshi wala taasisi za kiserikali wanaweza kuipindua nchi yenye majeshi yote?
Muwe mnatumia kichwa kufikiri badala ya matumbo?
Hili dude la igp, very soon ataondolewa nafasi yake na atapewa mwanamama hahahahahahahahaKwa Hili hata Mimi sioni sababu ya kupoteza Fedha Kwa kesi Hii..Tutadharaulika saaana kimataifa.Polisi Hasa IGP atumie Hekima Kwa Hili.Hata wananchi hawatawaamini ,,ni Vizuri kuaminika