bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Wewe kwa ufahamu wako ili mtu ashitakiwe kwa kesi ya Uhaini afanye mambo gani ili uwe uhaini?Wewe ndiyo kilaza ,rudia kusoma tena doc uliyoweka hapa ,Dr Slaa/Mwabukusi/Mdude hawajakidhi vigezo vya kushitakiwa kwa uhaini.....Tatizo mnalazimisha kesi sizizo na kichwa wala miguu na mnaenda kudondokea pua ,Kibatala anakuja Mbeya huko ,yaani hii case hata Mtu asiyejua sheria anawadondosha mahakamani.
Wewe kwa ufahamu wako ili mtu ashitakiwe kwa kesi ya Uhaini afanye mambo gani ili uwe uhaini?
Mambo ya mkataba wa bandari yako Mahakama ya Rufaa. Hao wameshikwa kwa kauli zao za kuchochea maandamano ya kupindua nchi.nchi haiwezi kutulia kwa mtindo huo. Hakuna anayetaka kuipindua serikali. ambacho hakitakiwi ni mkataba mbovu wa bandari. kufunga watu sio suluhisho. inatujengea chuki zaidi baina yetu, tunajichafua kimataifa. wanaomshauri Rais wanampoteza. majitu machumia tumbo ndio yanayoiharibu hii nchi.
Mkataba na DPW uvunjwe, watu waachiwe huru, maisha yaendelee! VINGINEVYO.
Maandamano sii kosaMambo ya mkataba wa bandari yako Mahakama ya Rufaa. Hao wameshikwa kwa kauli zao za kuchochea maandamano ya kupindua nchi.View attachment 2719643
Maandamano sii kosaMambo ya mkataba wa bandari yako Mahakama ya Rufaa. Hao wameshikwa kwa kauli zao za kuchochea maandamano ya kupindua nchi.View attachment 2719643
Sasa unajipatia jibu wewe mwenyewe!Soma kesi ya Uhaini ya mwaka 1985. Kuna waliokuwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wasiokuwemo kwenye hivyo vyombo na hata serikalini ambao walikutwa na hatia.
Na hichi ndio kiini cha tatizo watu wameshakula hela za muarabu matumbo joto wapo tayari hata kuua ili mkataba upitenchi haiwezi kutulia kwa mtindo huo. Hakuna anayetaka kuipindua serikali. ambacho hakitakiwi ni mkataba mbovu wa bandari. kufunga watu sio suluhisho. inatujengea chuki zaidi baina yetu, tunajichafua kimataifa. wanaomshauri Rais wanampoteza. majitu machumia tumbo ndio yanayoiharibu hii nchi.
Mkataba na DPW uvunjwe, watu waachiwe huru, maisha yaendelee! VINGINEVYO.
Waliowakama Dk Slaa, Mwabhukusi na Mdude ndio walioanza kuwatumia meseji za kutaka kuwaua kwa hiyo wakamataji ni majambazi dhidi ya binadamu (crime against person).
DP world imewatoa akili kbs, mnajua mapinduzi nyie?Kwa hiyo makosa ya Uhaini yanaenda kwa historia?
Jinga kabisa hili Masai
Dp world ishawala akili mazima 🤣🤣🤣Sheria ni msumeno, kama wao wana haki ya kutangaza kupindua na serikali ina haki ya kuzuia kupinduliwa. Au sivyo?
Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa amesema.
Pamoja na serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu kupongezwa na wadau mbali mbali wa haki za binadamu katika maeneo mengi ikiwemo kutoa uhuru wa kujieleza na kutoa maoni uhuru, sakata la kukamatwa wakosoaji wakubwa wa mkataba wa bandari Balozi Mstaafu Dkt. Willbroad Slaa, Wakili Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali kunaweza kutia dosari mazuri hayo pamoja na kuchafua taswira ya Rais Samia kimataifa endapo akikubali watuhumiwa hao kuwa na kesi ya uhaini.
Amesema, itakuwa ni historia katika awamu hii ya sita na pia itakuwa ni kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi kupata watu wanashtakiwa kwa makosa ya uhaini.
"Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kila mtu anao uhuru wa kutoa maoni na kueleza fikra zake, katiba imetulinda, Wakili Mwabukusi, Mdude na Balozi Dkt. Slaa walikuwa wanafanya kwa mujibu wa katiba na kama kuna mahali popote waliteleza kwa maneno ya hapa na pale isiwe ni sababu ya kuwafungulia kesi kubwa kama hii na kuwazuia wao na Watanzania wengine wasikosoe" alisema Wakili Olengurumwa na kuongeza
"Kuanza kuwakamata wote wanaopinga mkataba wa bandari kuanzia kwa Wakili Madeleka sasa Slaa na wenzake litatutia doa kama Taifa, tunawashauri viongozi wetu kabla ya kufika mbali katika hatua hii ,hawa watu wasifunguliwe jalada la uhaini.”
Ukicheka na nyani utavua mabua. Hawa kina Dr Slaa wameshindwa kutumia uhuru wa maoni ipasavyo. Wameshindwa kuuelewa uungwana wa Rais Samia wakadhani ni UDHAIFU.
Wacha wanyee ndoo na nchi itulie. Mwambieni Olengurumwa aache vyombo vifanye kazi. Kama ana utetezi aende Mahakamani
nchi haiwezi kutulia kwa mtindo huo. Hakuna anayetaka kuipindua serikali. ambacho hakitakiwi ni mkataba mbovu wa bandari. kufunga watu sio suluhisho. inatujengea chuki zaidi baina yetu, tunajichafua kimataifa. wanaomshauri Rais wanampoteza. majitu machumia tumbo ndio yanayoiharibu hii nchi.
Mkataba na DPW uvunjwe, watu waachiwe huru, maisha yaendelee! VINGINEVYO.
Eti mhaini anajitangazaSerikali inashangaza sana ,yaani unamshitaki mtu kwa makosa ya uhaini kisa ametamka kwenye Luninga au interview au kwenye whatsapp ,hivi walifatilia mapinduzi aliyofanya Mu7 wa UG au Desire Laurent Kabila? Kwani kuna nia ovu kwenye yale matamshi? Alipanga mikakati gani ,hivi watu watatu wanaweza kumpindua rais ikulu?
Kauli zenye kuhamasisha umma, kuandamana na kuyatwaa madaraka, pengine watu wanashindwa kuelewa, mapinduzi sio lazima silaha za moto au majeshi yatumike, umma unaweza kuchochewa na kauli za kichochezi na hatimaye serakali ikapinduliwa!
Kauli, kauli, kauli..
Serikali inashangaza sana ,yaani unamshitaki mtu kwa makosa ya uhaini kisa ametamka kwenye Luninga au interview au kwenye whatsapp ,hivi walifatilia mapinduzi aliyofanya Mu7 wa UG au Desire Laurent Kabila? Kwani kuna nia ovu kwenye yale matamshi? Alipanga mikakati gani ,hivi watu watatu wanaweza kumpindua rais ikulu?
huyo masai mchumia tumbo akae kimya, hao ni vibaraka wa maadui zetu ndivyo wanavyopata kula yao, hawana uzalendo zaidi ya matumbo yao.wapuuzwe hao washenziMratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa amesema.
Pamoja na serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu kupongezwa na wadau mbali mbali wa haki za binadamu katika maeneo mengi ikiwemo kutoa uhuru wa kujieleza na kutoa maoni uhuru, sakata la kukamatwa wakosoaji wakubwa wa mkataba wa bandari Balozi Mstaafu Dkt. Willbroad Slaa, Wakili Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali kunaweza kutia dosari mazuri hayo pamoja na kuchafua taswira ya Rais Samia kimataifa endapo akikubali watuhumiwa hao kuwa na kesi ya uhaini.
Amesema, itakuwa ni historia katika awamu hii ya sita na pia itakuwa ni kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi kupata watu wanashtakiwa kwa makosa ya uhaini.
"Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kila mtu anao uhuru wa kutoa maoni na kueleza fikra zake, katiba imetulinda, Wakili Mwabukusi, Mdude na Balozi Dkt. Slaa walikuwa wanafanya kwa mujibu wa katiba na kama kuna mahali popote waliteleza kwa maneno ya hapa na pale isiwe ni sababu ya kuwafungulia kesi kubwa kama hii na kuwazuia wao na Watanzania wengine wasikosoe" alisema Wakili Olengurumwa na kuongeza
"Kuanza kuwakamata wote wanaopinga mkataba wa bandari kuanzia kwa Wakili Madeleka sasa Slaa na wenzake litatutia doa kama Taifa, tunawashauri viongozi wetu kabla ya kufika mbali katika hatua hii ,hawa watu wasifunguliwe jalada la uhaini.”
we ndio unadharaulika kwa huo ujinga wakoKwa hili hata Mimi sioni sababu ya kupoteza Fedha kwa kesi Hii. Tutadharaulika saaana kimataifa. Polisi Hasa IGP atumie hekima kwa Hili. Hata wananchi hawatawaamini, ni vizuri kuaminika
Wewe ndiyo kilaza ,rudia kusoma tena doc uliyoweka hapa ,Dr Slaa/Mwabukusi/Mdude hawajakidhi vigezo vya kushitakiwa kwa uhaini.....Tatizo mnalazimisha kesi sizizo na kichwa wala miguu na mnaenda kudondokea pua ,Kibatala anakuja Mbeya huko ,yaani hii case hata Mtu asiyejua sheria anawadondosha mahakamani.