Olengurumwa: Uhaini waliopewa akina Dkt. Slaa unatia doa taifa na taswira ya Rais

Kauli za uchochezi, za chuki, za kibaguzi na kwamba tutaiondoa serikali hii kabla ya 2025 ina uhusiano gani na mkataba wa bandari? Rwanda mambo yalianza hivi hivi mpaka kanisani chuki zilienezwa wakaishia kwenye mauaji ya halaiki. Navipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kazi nzuri. Funga wajinga hao, pumbavu kabisa.
 

Wangetamka kwa siri tungejua serikali imewaonea kumbe hata wew umeskia kauli zao.mtu akikutishia kwa maneno tuh anataka kukuua kuna sheria na kanuni za kumshtaki kwa kutishia maisha yako.sio hadi aje na kisu kukukimbiza uponee chupuchupu ndio ukashtaki
 
Hatuna IGP mweledi. Kingai siyo mweledi
Pale anapaswa kutenguliwa apishe wenye uwezo wa kazi.

JEshi la.polisi linahitaji maboresho makubwa kimfumo na kiutendaji.
we unaona unafit nafasi yake, nyie kima utafikiri mnajua kila kitu
 
Wanakurupuka kutengeneza makosa kwa ushahidi wa kupika studio bika kujua matokeo yake.

Studio [emoji23][emoji23][emoji23]ebu ingia YouTube uangalie press zao ndio uje hapa
 
Mbona mlikaa kimyaa wakati wao wanatoa maneno ya uhaini?
 

Wanaowatetea utaskia ooh wako watatu kwa hio waachwe mpka wawe wengi ndio washughulikiwe au
Yaani watz cjui tukoje
 
Kwa kauli hii yaonesha hata mahakamn ujawai simama.usipojua sheria utaona mahakama inakuonea maana wew utaleta ushahidi wa hisia wenzako wanakuja na hoja na vifungu vya sheria
Msubirini kibatala aje kuwagalagaza mahakamani.
 
Ndio maana ya kupelekwa mahakamani ili ukweli ujidhihiri.
 
Enzi za utawala wa Mwinyi Mtikila aliwahi kumwambia Rais Mwinyi arudi mwenyewe Zanzibar kabla hajarudishwa kwenye jeneza, hakufunguliwa kesi yeyote kutokana na matamshi hayo, ingekuwa leo enzi za Samia angenyongwa kabisa. Sheria na Busara ni mapacha.
Hiyo kauli Ina tatizo gani?
 
Unajuaje kama Polisi hawana? Kwa Tanzania, Sheria zetu zinasema,"Innocent until proven guilty"! Wacha waende mahakamani kitajulikana huko kuliko kuleta ushabiki humu JF!

ok tu-assume wanavyo ndiyo maana wamepelekwa na upelelezi ushakamilika.
 
Ndo huyo anataka kusuluhisha kinya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…