Oliver N’goma: Mmoja kati ya wanamuziki bora zaidi wa kiume wa miondoko ya Zuku

Oliver N’goma: Mmoja kati ya wanamuziki bora zaidi wa kiume wa miondoko ya Zuku

Producer wake mkuu alikua Manu Lima ambaye ni mpiga kinanda hodari sana. Katika baadhi ya nyimbo zake akiwashirikisha wakali wa magitaa akina.Dally Ndala Kimoko-Solo na Denis Khasia a.k.a Lokassa Ya Mbongo-Rhythm. Nyimbo kama Lusa na.Mayumba mipini hio ya gitaa imesikika vema na katika wimbo Alfoncine kinanda cha Manu Lima kimetamalaki sawia

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikiliza LUSA kwenye Gitaa yupo Dally Kimoko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoma zake kali sana zinaniburudisha nikiwa kwenye ndinga langu. Muetse,Julie,Helena,Lusa,Nge,Fely,Betty,Alphonsina,Lili,Mayumba nk
Sijui kwa ninj nyimbo zake nyingi ni majina ya wanawake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa naenda job kwenye gari huwa naanza na “Mugetu Gole” ikifuatiwa na “Passi” namalzia na “Saga”
 
Producer wake mkuu alikua Manu Lima ambaye ni mpiga kinanda hodari sana. Katika baadhi ya nyimbo zake akiwashirikisha wakali wa magitaa akina.Dally Ndala Kimoko-Solo na Denis Khasia a.k.a Lokassa Ya Mbongo-Rhythm. Nyimbo kama Lusa na.Mayumba mipini hio ya gitaa imesikika vema na katika wimbo Alfoncine kinanda cha Manu Lima kimetamalaki sawia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye “Mayumba” guitar alicharanga Dally Kimoko pia kwenye “Muendu” guitar likikua makini
 
Kuna wimbo unaitwa "kusu"
Aisee ule wimbo ni mkali sn
Nitauleta nikifika home
“Kussu” unapatikana kwenye album yake ya mwisho “Saga” mimi nazipenda Betty, Nelly, Nge’be, Saga, Mukulli na Muaye kutoka kwenye album hiyo
 
Wakuu mimi ni moja kati ya mashabiki zake kindaki ndaki Uzima ukiwepo ipo siku nitaenda kuhiji huko Mayumba na Lebreville Gabon japo nione hata kaburi lake huyu mfalme wa Zouk aisee
Oliver N'goma alikua na miondoko na vionjo adimu sana sana sijawahi experience mziki mtamu wenye mixing na beat amazing Kama za Huyu mwamba aisee vibao kama
Bane
Adia
Icole
Betty
Lusa
Alphonsine
Saga
Noli
Betty
Mayumba
Mukuili
Ngebe
Julie
Lili
Melia
Seva
Nge
Lina
Noli
Mayumba
Na nyingine nyiiingi hakika ni moja ya vibao bora sana ambavyo sijapata kuona toka nianze kuujua mziki
Niseme tu hongera mtoa mada kwa kutambua mchango wa burudani wa huyu nguli
Mimi now nipo around miaka kama 23 tu hivi ila najua mziki mzuri hua napenda sana kufuatilia old music yaani kuhusu vijana wenzangu hawa wakina nani hua siwaelewi kabisaaaaaa
Anyway R.I.P oliver N'goma a.k.a Noli
King of Zouk!😢😢
 
Wakuu mimi ni moja kati ya mashabiki zake kindaki ndaki Uzima ukiwepo ipo siku nitaenda kuhiji huko Mayumba na Lebreville Gabon japo nione hata kaburi lake huyu mfalme wa Zouk aisee
Oliver N'goma alikua na miondoko na vionjo adimu sana sana sijawahi experience mziki mtamu wenye mixing na beat amazing Kama za Huyu mwamba aisee vibao kama
Bane
Adia
Icole
Betty
Lusa
Alphonsine
Saga
Noli
Betty
Mayumba
Mukuili
Ngebe
Julie
Lili
Melia
Seva
Nge
Lina
Noli
Mayumba
Na nyingine nyiiingi hakika ni moja ya vibao bora sana ambavyo sijapata kuona toka nianze kuujua mziki
Niseme tu hongera mtoa mada kwa kutambua mchango wa burudani wa huyu nguli
Mimi now nipo around miaka kama 23 tu hivi ila najua mziki mzuri hua napenda sana kufuatilia old music yaani kuhusu vijana wenzangu hawa wakina nani hua siwaelewi kabisaaaaaa
Anyway R.I.P oliver N'goma a.k.a Noli
King of Zouk!😢😢
Tutaenda wote asee, nasikiliza ‘Barre’ hapa
 
Huyu ni mmoja ya kati ya wanamuziki bora zaidi wa kiume wa miondoko ya Zuku kuwahi kutokea katika hii dunia.
Embu tujikumbushe kidogo na hii ngoma yake Inaitwa Ng’e. Btw wale watoto wa bongo flavor sikilizeni hii ngoma alafu mlinganishe na muziki wa sasa wa wavaa suruali chini ya makalio.



“Nge’” maana yake You (wewe) kwenye hii nyimbo Inamhusu binti aliyechoshwa na hali ya kuwa mpango kando “side chick” anatamani naye kuwa na mpenzi wake mwenyewe hivyo anaomba Mungu amuonyeshe huyo mtu maana kachoshwa na aina ya mahusiano yake ya sasa. Oliver anamtia moyo kwa kumwambia yeye ni mzuri hivyo aombe na kusubiri.
RIP “NOLI” son from Mayumba
 
Back
Top Bottom