Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Naipenda Sana aidiah
Wale jamaa wa kwenye video staili zao za kipekee Sana wanavyocheza
Wale jamaa wa kwenye video staili zao za kipekee Sana wanavyocheza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Monique seka ngoma yake ya missoumwa nzuri kusikiliza Ana sauti nzuri sanaMimi nikiskia mtu anamfananisha ngoma na takataka hasa yule Monique seka naua huyo
kwako Massoud Massoud
manu lima anaonekana alikuwa fundi sana
Hadi wakina bongo wapoteee madarakaniMkuu asante kwa uchambuzi aisee Oliver N'goma ni moja ya kipaji Cha ajabu kuwahi tokea duniani nitashangaa sana Kama
Wagabon hawajamjengea sanamu la kumbukumbu nguli huyu aisee!
[emoji122][emoji122][emoji106][emoji106]
Aisee Viongozi wa kiafrika Bora uwaguse makalio watakupotezea ila ukigusa madaraka Yao watakupoteza nusu sekunde tu,Hadi wakina bongo wapoteee madarakani
Nasikia Omar na Ali bongo walikuwa wanahisi atawapoka kijiti
Monique Seka yupo vizuri pia,,Vibao kama Adeba,Okaman na Missounwa ni vya moto hadi Leo hiiMimi nikiskia mtu anamfananisha ngoma na takataka hasa yule Monique seka naua huyo
kwako Massoud Massoud
manu lima anaonekana alikuwa fundi sana
Pia kuna Adeba na Okaman ni[emoji95][emoji95][emoji378]Monique seka ngoma yake ya missoumwa nzuri kusikiliza Ana sauti nzuri sana
Na alikuwa mchakataji wa papuchi sana. Ma miss hawa, kuna file lake fulani lilimwagwa na mlimbwende mmojaAisee Viongozi wa kiafrika Bora uwaguse makalio watakupotezea ila ukigusa madaraka Yao watakupoteza nusu sekunde tu,
Yaani rais wa kiafrika ni nusu mungumtu Aisee!
Kama yule rais wao Omari Bongo jamaa yupo Hadi kwenye kumbukumbu za Dunia Kama ndio rais aliyekaa madarakani muda mrefu kuliko rais yeyote duniani imagine miaka Kama 40 Hivi alikua rais mbaka akafia madarakani!
Hatari!
Kuna moja inaitwa NG'e sijajua kaimba nini hasa ila kuna mashairi analalamika kuhusu moyo wakeKumbe ni Mgabon..!!Nilijuaga ni M'Congo..Icole na Bane ni tamu sana izi ngoma ni everlast,,Pia kuna Lusa na iyo Aidiah daaah jamaa ni fundi
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Ngija ntaitafuta iyo NgeKuna moja inaitwa NG'e sijajua kaimba nini hasa ila kuna mashairi analalamika kuhusu moyo wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Oriver N'goma alikua ni MGabonese alizaliwa katika mji wa pwani unaitwa Mayumba,mtoto wa ticha wakahamia Libreville mji Mkuu wa nchi hiyo ndipo akaanza harakati za mziki baada ya kuhitimu elimu ya juu!Kumbe ni Mgabon..!!Nilijuaga ni M'Congo..Icole na Bane ni tamu sana izi ngoma ni everlast,,Pia kuna Lusa na iyo Aidiah daaah jamaa ni fundi
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Mara nyingi tunaelewa maudhui ila sio maana, unajua ALL MY LIFE ya Kci and Jojo walimuimbia baby daughter wa Jojo lakini kibongo ni dedication kwa babyBane nilijua ni wimbo wa mapenzi..kumbe nilikuwa op.
Ooooh sawa sawa mkuuOriver N'goma alikua ni MGabonese alizaliwa katika mji wa pwani unaitwa Mayumba,mtoto wa ticha wakahamia Libreville mji Mkuu wa nchi hiyo ndipo akaanza harakati za mziki baada ya kuhitimu elimu ya juu!
Na alikuwa mchakataji wa papuchi sana. Ma miss hawa, kuna file lake fulani lilimwagwa na mlimbwende mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna moja inaitwa NG'e sijajua kaimba nini hasa ila kuna mashairi analalamika kuhusu moyo wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi tunaelewa maudhui ila sio maana, unajua ALL MY LIFE ya Kci and Jojo walimuimbia baby daughter wa Jojo lakini kibongo ni dedication kwa baby
Kuna chuma kinaitwa Icole ni noma na nusu.... mpaka nimeweka ringtone
Kuna chuma kinaitwa Icole ni noma na nusu.... mpaka nimeweka ringtone