victor moshi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 829
- 1,061
mkuuu na subiri tafsiri yakeeNtakupa tafsiri yake ni my most favorite song from Oliver N’Goma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuuu na subiri tafsiri yakeeNtakupa tafsiri yake ni my most favorite song from Oliver N’Goma
Usisahau na Shilenko naipenda sanaMonique Seka yupo vizuri pia,,Vibao kama Adeba,Okaman na Missounwa ni vya moto hadi Leo hii
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app[/U
Ndio mkuu binafsi kwangu ndo producer bora wa miondoko ya zouk!!alimjulia sana OliverMkuu isidingo55 Baada ya Uzi wako huu wa nguli wa ZOUK Africa, nimefurahi sana ulivyomtaja producer Manu Lima, kwa sababu nilikua natamani kwa muda mrefu kujua nani alikua mitamboni kupika instrumentals kali sana za zouk ambazo mkali Oliver Ngoma alikua akijinafasi. Leo nimepata muda wa kumfuatilia Manu Lima kwa kina, aisee huyu Manu Lima alikua ana balaa sana, ni jamaa mzaliwa wa senegal ila mwenye asili ya cape verde, ni mtaalam haswa katika maswala ya production kwenye miondoko ya Zouk, cabo-zouk, funana, cabo love, cola-dance, afrozouk and kizomba music. Pia jamaa ni mtunzi, mtafsiri, na mwanamuziki. Ni mbobezi mkubwa katika ZOUK. Ndio maana midundo aliyokua akimsukia Oliver Ngoma na wasanii wengine Africa kama Madilu System ule wimbo Ya Jean n.k ilikua mikali mnoo.
View attachment 1889911
Manu Lima
kumbe mpaka ile ya jean alisuka huyu mwambaMkuu isidingo55 Baada ya Uzi wako huu wa nguli wa ZOUK Africa, nimefurahi sana ulivyomtaja producer Manu Lima, kwa sababu nilikua natamani kwa muda mrefu kujua nani alikua mitamboni kupika instrumentals kali sana za zouk ambazo mkali Oliver Ngoma alikua akijinafasi. Leo nimepata muda wa kumfuatilia Manu Lima kwa kina, aisee huyu Manu Lima alikua ana balaa sana, ni jamaa mzaliwa wa senegal ila mwenye asili ya cape verde, ni mtaalam haswa katika maswala ya production kwenye miondoko ya Zouk, cabo-zouk, funana, cabo love, cola-dance, afrozouk and kizomba music. Pia jamaa ni mtunzi, mtafsiri, na mwanamuziki. Ni mbobezi mkubwa katika ZOUK. Ndio maana midundo aliyokua akimsukia Oliver Ngoma na wasanii wengine Africa kama Madilu System ule wimbo Ya Jean n.k ilikua mikali mnoo.
View attachment 1889911
Manu Lima
wakamnyima kibali akatibiwe njeHadi wakina bongo wapoteee madarakani
Nasikia Omar na Ali bongo walikuwa wanahisi atawapoka kijiti
Ndio alihusika mule, ndio maana wimbo unavyoanza tu madilu anamtaja Manu Limakumbe mpaka ile ya jean alisuka huyu mwamba
Inaonekana alikuwa mtaalam wa kinanda sana
Sanaa bro, hana mpinzani Manu Lima kwenye miondoko ya Zouk.Ndio mkuu binafsi kwangu ndo producer bora wa miondoko ya zouk!!alimjulia sana Oliver
Thanks kuna nyingne anaimba ndani ya gari...jina limenitoka 😀Ingia youtube andika Manu Lima, zitakuja baadhi ya nyimbo alizoimba pia na live show akipiga vyombo piano n.k, kuna wimbo utauona Manu Lima Falal nha amigo kizomba bonge ya wimbo humo manu lima kaimba mnoooo. Alafu bonge moja la beat kalitengeneza, nikawaza kama hilo beat angepita nalo Oliver Ngoma ingekua balaaa. Nimeweka picha ya screenshot ya huo wimbo.
View attachment 1892505
Balaaa sanaa nafikiri ipo youtube pia.Thanks kuna nyingne anaimba ndani ya gari...jina limenitoka 😀
Poa kaka ndo uzi utakaofuata week hii hii BROTH5RKiongozi isidingo55 tunaomba utupe tafsiri ya wimbo wa Oliver Ngoma - Nge
Poa poa tunaungojea sanaPoa kaka ndo uzi utakaofuata week hii hii BROTH5R
Mwanaume WA shokaNa alikuwa mchakataji wa papuchi sana. Ma miss hawa, kuna file lake fulani lilimwagwa na mlimbwende mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa , muongeze na Franco hapoOliver Ngoma, Oliver Mtukuduzi moja ya vipaji bora sana kutokea tangu Africa iumbwe