TANZIA Olivia Hussey, Aliyewahi kuigiza kama Bikira Maria (Mama wa Yesu) afariki dunia

The Catholics are the state. Ile ni dola kamili ya warumi..
 
Kama kuna doctorine zinazopingana na mapenzi ya MUNGU kwa mfano kuabidu sanamu tutazipinga tuu tutasimama na ukweli regardless nani kakosea
 
Sali Novena ya Mt.Ritha wa kashia kijana πŸ˜‚
Umenikumbusha hii novena wakati nipo seminari, Tulikuwa tuna isali sana.

Tukiamini kwamba mtakatifu Rita ni mtakatifu wa mambo yaliyo shindikana.

Basi baada ya kufunga na kusali kwelikweli kwa kutia nia na imani thabiti kabisa, unabaki kusubiri miujiza itendeke, Lakini Holaaaa!! πŸ˜‚

Unahamia tena kwenye novena nyingine ya mtakatifu Filomena, ikibuma unapiga novena ya mtakatifu Theresia, ikibuma unapiga novena ya Bikira Maria wa mlima wa Karmeli, ikibuma unapiga sala kwa Padri pio, ikibuma unapiga novena kwa watakatifu wote wa mbinguni, malaika, maserafi mpaka kwa makerubii....🀣🀣
 
That's what nikaweka pale he is not smart enough
And yet he did criticize, which makes him smart (if smartness is needed in criticism and if you measure the smartness by capability to criticize), and technically those who do not criticize are the ones who ain't smart enough..., The only way to get out of this rabbit hole is to criticize the criticisms and not the critic...
 
Haya tuma salamu kwa watu watatu.... 🎀
 
Thread closed..✍️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…