Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo

Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo

Habarini waumini..

Jana katika sherehe za uzinduzi wa mashindano ya Olimpiki, tuliona matukio mengi na moja ya tukio lililo acha maswali mengi ni lile la kuigiza picha ambayo ina maudhui yanayo fanana na dini ya kikiristo.

Matumizi ya watu wa upinde kama wahusika katika picha hii ni ishara kwamba hawajali na wanadharau waumini pamoja na kitabu chao. (Biblia).

View attachment 3053686

View attachment 3053713

Tukio lingine ni matumizi ya picha au alama ya kichwa cha ng'ombe, hii inafanana kabisa na ishara ya kuabudiwa kwa mungu aitwaye BAAL' ambaye anatambulika kwa alama ya kinyago chenye sura ya ng'ombe.

View attachment 3053699

Huu ni ushetani, hawana nia njema na waumini wa dini na wanafaya kila wawezalo kudhalilisha dini hizo.Lakini jambo la kushangaza ni kwamba, waumini wa dini bado ndyo mashabiki namba moja wa michezo hiyo.

Ni wakati sasa wa kuona na kujua kwamba adui yupo anafanya kila awezalo kutimiza malengo yake. Anatumia michezo kama jukwaa la kuonyesha na kudhalilisha waumini wa dini husika.
Hii dini imetokea ulaya na ulaya ndo wanao jua ukweli kuhusu mafundisho haya
 
Kama wana ubavu basi wajaribu hizi parody kule upande mwingine wakione cha moto wajinga hawa. Ajenda za ushoga kila mahali. Hovyo kabisa!

View attachment 3053706

Huo ndio ukristo SS kama mlikua hamjui ushoga na ushetani alaf mnakuja kuleta mapovu kwenye dini zingine akat mmejaa ushenzi na kupelekeshwa na kanisa kama kondoo
 
Marastafari kwao upinde ni ishara ya upendo na amani

Katika biblia upinde : inasema: Mwanzo 9:12-15 “Mungu akasema, Hii ndiyo ishara ya agano ninalofanya kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi, agano la vizazi vyote vijavyo; mawingu, nayo itakuwa ishara ya agano kati yangu na dunia.

Na katika baadhi ya imani Upinde wa mvua angani inasemekana Simba anazaa muda huo

South Afrika alama ya upinde wa mvua ni kauli mbiu ya umoja baina ya raia wa Afrika ya Kusini wenye nasaba ya weusi, chotara, wazungu, wahindi, wachina

Hiyo ni mifano michache kati ya lukuki, sasa kikundi au jamii moja kujimilikisha alama ya upinde wa mvua na kutaka wote tuamaini mambo yao ni upungufu wa maarifa.
Hao LGBTQ wenyewe hayo maneno na hizo rangi wamezidandia baada ya kuona maana yake nzuri na wao wakaamua kuitumia ili kujitangaza na ku justify existence yao. Bendera yenye rangi hizo ilinuniwa tangu miaka ya 1929, mwaka 1961 huko Italy ikatumika kama alama ya amani na kuiunganisha dunia huku wakipinga silaha za nuklia na 1994 LGBTQ wakaanza rasmi kutumia ingawa tangu miaka ya 70s walikua wanazitumia tumia na sasa wameanza kuchukua hadi rangi za kufundishia watoto mashuleni.
Kwa kifupi ni kutowaendekeza jamii haipaswi kuzitambua hizo rangi au bendera kama ni za LGBTQ, haipaswi kuacha kuzitumia hizo rangi na alama bali ni kuendelea kuzitumia kila jamii kwa tafsiri yake, watu wanavyokimbia na kuwaachia wao hizo rangi, ndiyo wanafanikiwa maana wanakuwa wame set standard kwa kutengeneza universal definition ya alama na rangi zao na tunakuwa tumekubali kuzitambua alama zao.

Peace Flag
IMG_2467.jpeg


IMG_2466.jpeg


LGBTQ Flag

IMG_2469.jpeg
IMG_2468.jpeg


Walichofanya ni kuichukua kama ilivyo, wakaipindua chini juu na kupunguza rangi moja (blue mpauko).
Mwaka 200 huko nchini ujerumani LGBTQ walianzisha mgigoro na kulililalamikia Kanisa Katoliki kwa kutumia rangi hizo zinazofanana na wanazotumua wao wakidai Kanisa linafifisha jitihada za utambulisho wao.
So hawa dawa yao ni kutowakimbia,
 
Mashindano ya Olympics ya Paris 2023 yamefunguliwa rasmi Kwa maonyesho yakiwemo ya Kufuru Kwa Ukristo hususan Yesu Kristo.

Meza ya bwana ambayo Yesu alishiriki na Mitume wake imewakilishwa hivi;

Yesu; Mwanamke
Mitume; Gays (Mashoga) na Transgenders (waliobadili Jinsia)

20240728_095555.jpg
20240728_095559.jpg


Ya Mabuddhist hii hapa

Screenshot_20240728_100204_Parallel Space.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20240728_100204_Parallel Space.jpg
    Screenshot_20240728_100204_Parallel Space.jpg
    358.6 KB · Views: 1
Fanyeni kazi mfanye maisha Mungu/Miungu yenu sio dhaifu mpaka intake sympathy zenu, shortly Kila Mungu/Miungu haihitaji kupiganiwa na binadamu, hayo mambo ya satanism yapo millions Years ago.
 
Una uhakika gani kwamba hiyo picha iliyochorwa na Davinc kuhusu meza ya bwana ndo uhalisia juu ya chakula cha Yesu na mitume wake. Habari za Mbingu hazipo kwenye mtazamo wa michoro na video zinazobuniwa na wanadamu.
 
kwahyo unataka kusema hiyo picha ndio ukweli kwamba yesu ni huyo na wanafunzi wake..

wakristo sjui nn shida ila uzezeta wa imani ni kitu mbaya sana
 
Back
Top Bottom